Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Wewe hujauliza swali, umeshindwa kuuliza swali kwa kushindwa kueleza akili ni nini.

Sasa nitajibu vipi swali ambalo umeshindwa kuuliza?
Kiranga una akili au huna akili? Jibu ndio ninazo au hapana sina akili.. Haya nimekuuliza na kukupa mwongozo kabisa
 
Unaposema maneno yana ndani yake asili,hauko sahihi bali usahihi ni kuwa maneno yana asili.
Muktadha wa majadiliano ni Mungu.
Neno linaweza kuwa na asili ya jamii fulani. Mathalani neno 'ugali' asili yake ni Afrika.
Sasa, 'maneno yana ndani yake asili' (hapa fahamu tulikuwa tunasema juu ya biblia), maana yake maneno hayo yamebeba kweli. Kweli hizi kimsingi ni mafundisho ya maadili.
 
so ni binadamu tu ndio alifanya maamuzi ya kuita hivyo wengine wakafata ,na wala yeye mwenyewe hakuna sehemu aliyojiita hivyo
Umeelewa maana ya '...Imeandikwa ndani ya moyo wako...'?
Hakuna mtu alie amua kuiita hivyo. Nguvu hii: Mungu, iko ndani mwako.
Wewe kama huijui au huisikii, hilo sio kosa la Mungu, bali ni lako.
 
Nakupa mfano kati yenu nyinyi mnao dai ni wafuasi wa Yesu na Yesu mwenyewe nani alisema kwamba Yesu ni Mungu
Ni Yesu mwenyewe kwa kifo na ufufuko wake anadhirisha Yeye ni Mungu kweli.
Mababu, Manabii, Mitume na kweli mbalimbali za watakatifu zinadhirisha Yesu ni Mungu.
 
Naposema asili huweza yakawa ya uongo na ukweli pia hii yote ni matini,na asili niliyo itoa humo kwenye Biblia kwa usahihi wake hayakutakiwa yagongane sababu ni maneno ya Mungu.
....Naendelea kufafanua.
Lazima uelewe jambo moja. Masimulizi ya biblia ni rekodi za Mungu na mwanadamu.
Masimulizi haya ya vitabu vya biblia, ndani ya maneno yake yanazungumza Mungu, ambae ndiye asili ya ulimwengu, binadamu na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, na siyo asili ya maneno ya jamii za watu.
 
Unaposema maneno yana ndani yake asili,hauko sahihi bali usahihi ni kuwa maneno yana asili.

Nakushauri kama huelewei ninacho kiandika,usijenge hoja kabla ya kuniuliza sababu unazidi kukosea.

Nakupa mfano kati yenu nyinyi mnao dai ni wafuasi wa Yesu na Yesu mwenyewe nani alisema kwamba Yesu ni Mungu ?
Neno linaweza likawa na asili. Lakini neno hilo hilo linaweza lisiwe na ukweli wa hicho linachokimaanisha.
Mfano, neno gods. Neno hili lina asili, lakini halina ukweli wa hicho linachokimaanisha.
 
Eti Yesu aliwahi kusema (according to maandiko) kuwa kipofu hawezi kuongoza kipofu mwenzie, lakini kanisani unakuta mchungaji ni kahaba na mla rushwa mkubwa, ukihoji kwa waumini wa kanisa lake wanakwambia usifuate mtu fuata mafundisho yake, nna mwaka wa 10 sasa sijui mlango wa kanisa, labda kwenda kuaga misiba,
[emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom