Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,309
- 40,112
Basi sawa upo sahihi kabisa ndugu yangu
Uwe na usiku mwema
Uwe na usiku mwema
Katika wale wawili waliobisha kwamba Mungu hayupo,naona hapa amebakia mmoja,huyo mwingine ameenda wapi ? Unatakiwa kuahariri upya hiki ulichokindika.
Hapa naona wamekuwa wawili tena kama walivyo anza.
Hili la idadi sababu sio la msingi,nimelipuuza ila unatakiwa uwe makini sana.
Haya uliyo yaandika hayakuwa na maana zaidi ya swali la msingi,ni kuwa kwanini kuna utofauti wa dini na mitazamo ? Hili ndio swali la msingi na umetumia muda mwingi sana kuweka wazi jambo ambalo liko wazi,kufanya kwako hivyo kumeonyesha una udhaifu mkubwa sana wa kutafakari mambo na kuyaweka katika hitimisho moja na fupi.