Hebu nielezee hii philosophical phenomena nliyoitengeneza nikiwa kijana mdogo Unajua shida ina rise wapi dogo
Look at this philosophical phenomena
Imagine , there were many people ambao walkua wanadiscuss kuhusu maswala ya mungu , ghafla katikati ya wale watu wakatokea watu wawili ambao , wakabisha na kusema mungu hayupo
Wale watu bila kujali dini zao wataungana kumpinga yule mmoja ambaye haamini Mungu yupo , bila kujali either ni mkristo mwislamu hili pia tumeliona sana humu jf , mbudha mnani yaani mhindi yaani wote watambishia hao jamaa wawili
Wale jamaa wawili wataona isiwe kesi ngoja tuwaache hawa wanaomwamini Mungu si tuendelee na mambo yetu
Basi bwana wale watu wanaoamini uwepo wa mungu let say wataanza safari ya kwenda sehemu
Mara mwislamu na mkristo wataanzisha hoja , ila nyie wabudha na wahindu mungu wenu siyo , wa kwetu ndo wa ukweli
Hahaha , wabudha wata mind kinoma😅 , watatafuta njia yao na kuwaacha hawa wanaomini mungu wao ni wa kweli
Katikati ya safari , mkristo ataanzisha songombingo , we mwislamu dini yako sio kweli , huyo allah ndo nani
Hapo mwislamu atapanick , na kumwita mwenzake kafiri , kumbuka hawa wametoka safari moja , kutatokea mabishano ya karne hapa , mambo ya vitimoto 😅 , mambo ya muhamad , sijui mambo ya nabii issa
Basi wataona isiwe kesi wataamua kujitenga , hawa waislamu wataenda kule na wakristo wataenda upande wao
Aisee huku kwa wakristo moto utawaka tena 😆😆😆
Mpentekost ataanza kumponda mroma kutobatiza kwa maji mengi , kusali rozali na etc , mroma humo humo watapingana , ndo maana lutheri iliUnajua shida ina rise wapi dogo
Look at this philosophical phenomena
Imagine , there were many people ambao walkua wanadiscuss kuhusu maswala ya mungu , ghafla katikati ya wale watu wakatokea watu wawili ambao , wakabisha na kusema mungu hayupo
Wale watu bila kujali dini zao wataungana kumpinga yule mmoja ambaye haamini Mungu yupo , bila kujali either ni mkristo mwislamu hili pia tumeliona sana humu jf , mbudha mnani yaani mhindi yaani wote watambishia hao jamaa wawili
Wale jamaa wawili wataona isiwe kesi ngoja tuwaache hawa wanaomwamini Mungu si tuendelee na mambo yetu
Basi bwana wale watu wanaoamini uwepo wa mungu let say wataanza safari ya kwenda sehemu
Mara mwislamu na mkristo wataanzisha hoja , ila nyie wabudha na wahindu mungu wenu siyo , wa kwetu ndo wa ukweli
Hahaha , wabudha wata mind kinoma😅 , watatafuta njia yao na kuwaacha hawa wanaomini mungu wao ni wa kweli
Katikati ya safari , mkristo ataanzisha songombingo , we mwislamu dini yako sio kweli , huyo allah ndo nani
Hapo mwislamu atapanick , na kumwita mwenzake kafiri , kumbuka hawa wametoka safari moja , kutatokea mabishano ya karne hapa , mambo ya vitimoto 😅 , mambo ya muhamad , sijui mambo ya nabii issa
Basi wataona isiwe kesi wataamua kujitenga , hawa waislamu wataenda kule na wakristo wataenda upande wao
Aisee huku kwa wakristo moto utawaka tena 😆😆😆
Mpentekost ataanza kumponda mroma kutobatiza kwa maji mengi , kusali rozali na etc , mroma humo humo watapingana , ndo maana lutheri
Imagine , there were many people ambao walkua wanadiscuss kuhusu maswala ya mungu , ghafla katikati ya wale watu wakatokea watu wawili ambao , wakabisha na kusema mungu hayupo
Wale watu bila kujali dini zao wataungana kumpinga yule mmoja ambaye haamini Mungu yupo , bila kujali either ni mkristo mwislamu hili pia tumeliona sana humu jf , mbudha mnani yaani mhindi yaani wote watambishia hao jamaa wawili
Wale jamaa wawili wataona isiwe kesi ngoja tuwaache hawa wanaomwamini Mungu si tuendelee na mambo yetu
Basi bwana wale watu wanaoamini uwepo wa mungu let say wataanza safari ya kwenda sehemu
Mara mwislamu na mkristo wataanzisha hoja , ila nyie wabudha na wahindu mungu wenu siyo , wa kwetu ndo wa ukweli
Hahaha , wabudha wata mind kinoma😅 , watatafuta njia yao na kuwaacha hawa wanaomini mungu wao ni wa kweli
Katikati ya safari , mkristo ataanzisha songombingo , we mwislamu dini yako sio kweli , huyo allah ndo nani
Hapo mwislamu atapanick , na kumwita mwenzake kafiri , kumbuka hawa wametoka safari moja , kutatokea mabishano ya karne hapa , mambo ya vitimoto 😅 , mambo ya muhamad , sijui mambo ya nabii issa
Basi wataona isiwe kesi wataamua kujitenga , hawa waislamu wataenda kule na wakristo wataenda upande wao
Aisee huku kwa wakristo moto utawaka tena 😆😆😆
Mpentekost ataanza kumponda mroma kutobatiza kwa maji mengi , kusali rozali na etc , mroma humo humo watapingana , ndo maana lutheri iliUnajua shida ina rise wapi dogo
Look at this philosophical phenomena
Imagine , there were many people ambao walkua wanadiscuss kuhusu maswala ya mungu , ghafla katikati ya wale watu wakatokea watu wawili ambao , wakabisha na kusema mungu hayupo
Wale watu bila kujali dini zao wataungana kumpinga yule mmoja ambaye haamini Mungu yupo , bila kujali either ni mkristo mwislamu hili pia tumeliona sana humu jf , mbudha mnani yaani mhindi yaani wote watambishia hao jamaa wawili
Wale jamaa wawili wataona isiwe kesi ngoja tuwaache hawa wanaomwamini Mungu si tuendelee na mambo yetu
Basi bwana wale watu wanaoamini uwepo wa mungu let say wataanza safari ya kwenda sehemu
Mara mwislamu na mkristo wataanzisha hoja , ila nyie wabudha na wahindu mungu wenu siyo , wa kwetu ndo wa ukweli
Hahaha , wabudha wata mind kinoma😅 , watatafuta njia yao na kuwaacha hawa wanaomini mungu wao ni wa kweli
Katikati ya safari , mkristo ataanzisha songombingo , we mwislamu dini yako sio kweli , huyo allah ndo nani
Hapo mwislamu atapanick , na kumwita mwenzake kafiri , kumbuka hawa wametoka safari moja , kutatokea mabishano ya karne hapa , mambo ya vitimoto 😅 , mambo ya muhamad , sijui mambo ya nabii issa
Basi wataona isiwe kesi wataamua kujitenga , hawa waislamu wataenda kule na wakristo wataenda upande wao
Aisee huku kwa wakristo
Unajuaa nini mkuu nakupa philosophical phenomena nlyoitengeneza nkiwa kijana mdogo sana
Look at this philosophical phenomena
Imagine , there were many people ambao walkua wanadiscuss kuhusu maswala ya mungu , ghafla katikati ya wale watu wakatokea watu wawili ambao , wakabisha na kusema mungu hayupo
Wale watu bila kujali dini zao wataungana kumpinga yule mmoja ambaye haamini Mungu yupo , bila kujali either ni mkristo mwislamu hili pia tumeliona sana humu jf , mbudha mnani yaani mhindi yaani wote watambishia hao jamaa wawili
Wale jamaa wawili wataona isiwe kesi ngoja tuwaache hawa wanaomwamini Mungu si tuendelee na mambo yetu
Basi bwana wale watu wanaoamini uwepo wa mungu let say wataanza safari ya kwenda sehemu
Mara mwislamu na mkristo wataanzisha hoja , ila nyie wabudha na wahindu mungu wenu siyo , wa kwetu ndo wa ukweli
Hahaha , wabudha wata mind kinoma😅 , watatafuta njia yao na kuwaacha hawa wanaomini mungu wao ni wa kweli
Katikati ya safari , mkristo ataanzisha songombingo , we mwislamu dini yako sio kweli , huyo allah ndo nani
Hapo mwislamu atapanick , na kumwita mwenzake kafiri , kumbuka hawa wametoka safari moja , kutatokea mabishano ya karne hapa , mambo ya vitimoto 😅 , mambo ya muhamad , sijui mambo ya nabii issa
Basi wataona isiwe kesi wataamua kujitenga , hawa waislamu wataenda kule na wakristo wataenda upande wao
Aisee huku kwa wakristo moto utawaka tena 😆😆😆
Mpentekost ataanza kumponda mroma kutobatiza kwa maji mengi , kusali rozali na etc , mroma humo humo watapingana , ndo maana lutheri ilianzishwa
Hapo sijagusia ugomvi wa wasabato na walokole , maana hapo panachafukaga nenda jukwaa la dini uone
Msabato au mroma au mlokole au mlutheri au mpentekost , watabishana sana kuhusu nani ataenda mbinguni na nani atabaki na bado makanisa mengi sijataja hadi la nabii tito 😎🙄
Tuje kwa waislamu , wote tunajua watakavyojigawa , shia na suni
Kwa nini mgawanyiko wote huu utokee
Fikiri tafakari , mwamini Mungu ila usiendeshwe na dini
#scientist
Cc
Kiranga