Unaposema Mungu ametungwa bila kuonyesha uthibitisho ya kuwa alitungwa vipi na ilikuwa lini ? Haya yanabali kuwa madai yasiyo kuwa naashiko.Nikisoma au nikisikia Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, mfano, wa Biblia na Quran)naelewa ni jina la kitu cha kutungwa.
Hivi ili jambo liwepo linatakiwa kukidhi vigezo gani ?Ndiyo maana mpaka sasa hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.
Je ni ipi nafasi ya maarifa au ya kutokuwa na maarifa juu ya kile uanchodai hakipo ?