Zipoje?ndio nina akili
Hatuwezi kumwambia mpk aseme anazozijua.Mkuu hawatakwambia kamwe maana ya akili japo wamekuuliza kama unayo au huna.
Tunakoelekea ni kujaza mada tu bila hoja za msingi.
[HASHTAG]#Akilininini[/HASHTAG]?
mkuu upo sahihi...kiranga hapa kachemka, sioni hoja zaidi ya porojo za kutaka kila analoulizwa afafanuliwe ndipo atoe majibu, hapa nampa -0%Nimepitia comment zote hapa kwa kifupi tu kiranga umechemka .. na hili swali la mshana linakutafakarisha mengi sana juu ya kutokuamini kwako uwepo wa Mungu.. wanaokusapoti ni wana uwezo mdogo sana wanajua kushabikia tu lkn ukiwaachia wanakimbia yaan kesho ukisema unaamini Mungu yupo na wao wanaamini .. Bendera
Imebid nirud tena kusoma mada nimegundua kiranga a kuchukua neno moja tu akili na kulileta hapa.Nimepitia comment zote hapa kwa kifupi tu kiranga umechemka .. na hili swali la mshana linakutafakarisha mengi sana juu ya kutokuamini kwako uwepo wa Mungu.. wanaokusapoti ni wana uwezo mdogo sana wanajua kushabikia tu lkn ukiwaachia wanakimbia yaan kesho ukisema unaamini Mungu yupo na wao wanaamini .. Bendera
GoodUngekuwa una point au kusema akili inatafsiri nyingi basi ungejibu kwa tafsiri unayoijua ww halafu yeye angekuambia sijauliza kwa mlengo huo nawe ungejitetea kuwa swali lake halikuwa wazi sio kujizungusha zungusha tu ..
Hahahahahahmkuu upo sahihi...kiranga hapa kachemka, sioni hoja zaidi ya porojo za kutaka kila analoulizwa afafanuliwe ndipo atoe majibu, hapa nampa -0%
Anaweza hata kujibiwa maana ya akili, lkn ktk jibu hili kila neno akauliza tena maana yake.mkuu upo sahihi...kiranga hapa kachemka, sioni hoja zaidi ya porojo za kutaka kila analoulizwa afafanuliwe ndipo atoe majibu, hapa nampa -0%
Chamsingi fafanueni vizuri swali mlilo liuliza kwa kiranga lasivyo kiranga hamto mshinda dawa ya kumshinda mjanja nikujifanya mjingaMimi na kiranga hatutofautiani sana kwenye suala la kuwepo au kutokuwepo kwa mungu.
Niliachana na habari za mungu miaka kumi iliyopita, nikiwa na miaka 16 tu.
Kuna maswali mpk leo nimeshindwa kujibiwa, nikaona ni habari za kipuuzi.
Mshana tunatofautiana sana humu kwa habari zake za mungu na uchawi, lkn kwenye mjadala huu nimejikita kwenye swali lake la msingi kwa Kiranga. Naona yupo sawa kabisa.
Lkn nimekuta mjadala, nimeona swali sawia kabisa akiulizwa kiranga Je Ana Akili?
Yeye nae hakujibu bali kauliza apewe maana ya akili kwanza kwani anajua tafsiri nyingi.
Sasa anapaswa atupe hizo tafsiri, sisi tuweze kujua kweli swali lilikuwa halieleweki kwake.
Sasa km hawezi kutupa hata tafsiri mbili tujionee kweli anatafsiri zaifi ya moja huko ni kutuchanganya zaidi.
Angesema hajui maana ya akili au ni msamiati mpya kwake, au aelezwe maana yake kwanza ili ajibu hapa tingesema kweli tumsaidie ili aweze kutujibu swali leti kwa ufasaha.
Sasa kusema ana tafsiri nyingi alafu hazisemi ni kutuhadaa.
mkuu hapa umedhihirisha kile ulichosema kuwa jamaa ni "mbishi na mwepesi wa hoja"Simple n clear
Wewe hata swali hujaweza kuuliza.[emoji3] [emoji3] [emoji3] hoja zipi? Za kushindwa kujibu swali rahisi kabisa!? Ila kwakuwa ni mtazamo wako yote kheri
Honestly mimi sina akiliUna akili?
Nimesoma vibaya au? Wewe ndio umeandika "nakojoaaaa"?[emoji23] [emoji23] [emoji23]nakojoaaaa... Nijibu kwanza kama una akili kisha nitakujibu akili ninini... Naapa mbele ya Mwenyezi Mungu mweza wa yoye nitakujibu
Hapana, swali si mimi ninayeuliza, mimi najibu, sasa ili nijibu swali, inabidi liulizwe.Umesema unajua maana nyingi za akili, zitaje tujue uelewa wako kwanza.
Akojoe akalale tu, ngoma ya wakubwa watoto hawawezi.Nimesoma vibaya au? Wewe ndio umeandika "nakojoaaaa"?
Hatupo hapa kumshinda kiranga, ushindi huo pia hauwezi nisaidia chochote.Chamsingi fafanueni vizuri swali mlilo liuliza kwa kiranga lasivyo kiranga hamto mshinda dawa ya kumshinda mjanja nikujifanya mjinga
lete kalamu na daftari nikuchoree[/QUOTE]Zipoje?
Tumeuliza!Hapana, swali si mimi ninayeuliza, mimi najibu, sasa ili nijibu swali, inabidi liulizwe.
Mmeshindwa kuuliza swali.