Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Hujathibitisha ni vipi placebo effect haiwezekani kanisani.
Kanisa linahusika na mambo yanayopita akili ya binadamu. Mambo ambayo yapo juu ya sheria ya maumbile ndio kanisa linashughulika nayo. Lakini kanisa hilo hilo haliachi, wakati huo huo, likishughulika na mambo yanayopita akili ya binadamu, kuwaongoza watu wazingatie sayansi, ndiyo sheria ya maumbile.
Kanisa kwa kuwaongoza watu wazingatie sayansi lataka watu waelewe akili ya binadamu ina mipaka na kwamba, iko nguvu au uweza-Mungu aliye juu yao na akili yao.
Kanisa hapo hapo, lataka watu waelewe, akili ya binadamu inafikia huo uwezo kwa uwemo wa Mungu ndani yao.
Tofauti na sayansi inayongozwa na nadharia, Mungu hatuoni anaongozwa.
Kwa mambo yote ya sayansi yanaongozwa na nadharia. Hivi ndivyo ilivyo pia kwa placebo effect.
Tukitazama placebo effect. Tukianza na neno Placebo ni neno linalotokana na neno la Kilatini "placere" maana yake kwa Kiingereza ni, "to please".
Kutoka hapo, placebo may refer as a medicine or regime prescribed for psychological benefit to the patient rather than for any physiological effect. Pia, placebo means a substance that has no therapeutic effect, used as a control in testing new drug. Lakini pia, placebo means a measure designed merely to calm or humour another.
Kutoka kwenye hizi maana tunaona mambo haya yafuatayo: 1. Medicine or Substance, 2. Regime or Measure 3. Patient-stands for any other, 4. Psychologist-which stands for any other expert.
Sasa, placebo effect means a beneficial effect produced by a placebo drug or treatment or measure, due to the patient's belief in that treatment or measure.
Kutoka kwenye hii maana utaona " patient's belief", in that treatment or measure. Hapa kwa mtu anaelewa atajiuliza: huyu mgonjwa, (anaweza kuwa hata mwingine) kabla ya kuwa katika hali hiyo ya ugonjwa au hali nyingine yoyote alikuwa hana imani?
Hapo utakubali kwamba ni jambo la akili ya mgonjwa mwenyewe; au (mtu mwingine yoyote katika halo ya kufanana na hiyo) kukubali bila mashaka kwamba hicho kitu ni kweli.
 
Kanisa linahusika na mambo yanayopita akili ya binadamu. Mambo ambayo yapo juu ya sheria ya maumbile ndio kanisa linashughulika nayo. Lakini kanisa hilo hilo haliachi, wakati huo huo likishughulika na mambo yanayopita akili ya binadamu kuwaongoza watu wazingatie sayansi, ndiyo sheria ya maumbile.
Kanisa kwa kuwaongoza watu wazingatie sayansi lataka watu waelewe akili ya binadamu ina mipaka na kwamba, iko nguvu, uweza-Mungu aliye juu yao.
Kanisa hapo hapo, lataka watu waelewe akili ya binadamu inafikia huo uwezo kwa uwemo wa Mungu ndani yao.
Tofauti na sayansi inayongozwa na nadharia, Mungu hatuoni anaongozwa.
Kwa mambo yote ya sayansi yanaongozwa na nadharia. Hivi ndivyo ilivyo pia kwa placebo effect.
Tukitaza placebo effect. Tukianza na neno Placebo in neno linalotokana na neno la Kilatini "placere" maana yake kwa Kiingereza ni "to please".
Kutoka hapo, placebo may refer as a medicine or regime prescribed for psychological benefit to the patient rather than for any physiological effect. Pia, placebo mean a substance that has no therapeutic effect, used as a control in testing new drug. Lakini pia, placebo means a measure designed merely to calm or humour another.
Kutoka kwenye hizi maana tunaona mambo haya yafuatayo: 1. Medicine or Substance, 2. Regime or Measure 3. Patient-stands for any other, 4. Psychologist-which stands for any other expert.
Sasa, placebo effect means a beneficial effect produced by a placebo drug or treatment or measure, due to the patient's belief in that treatment or measure.
Kutoka kwenye hii maana utaona " patient's belief", in that treatment or measure. Hapa kwa mtu anaelewa atajiuliza: huyu mgonjwa, anaweza kuwa hata mwingine kabla ya kuwa katika hali hiyo ya ugonjwa au hali nyingine yoyote alikuwa hana imani?
Hapo utakubali kwamba in jambo la akili kukubali bila mashaka kwamba hicho kitu ni kweli.
Thibitisha kwamba ni kweli kanisa linahusika na mambo yanayopita akili za binadamu, na kwamba habari hizo si hadithi za uongo tu.
 
Kwa nini unaniambia ni prove 1 + 1 = 3, wakati mimi sijawahi kudai 1 + 1 = 3 ?
Wewe kushindwa ku-prove 1+1=3, hakuna maana kwamba, watu wengine nao hawawezi.
Madai yako, ni sawa na ya mtu yule alishindwa kudhibiti tabia yake. Basi, anaona na kuelewa watu wote wanatabia kama yake. Huo ndio huitwa upumbavu!
 
MKUU Nundu_ Tanzania, in the spirit of understanding please help me to understand

How do we know all the bible stories were real stories and not just people's opinionated ones? (am asking just to know)
How do we know what the church teaches isn't to please the church as an institution ?
How do we believe that the church has the power to deal with things beyond human mind- when those working for the church are humans ?


And by your definition that placebo effect and I quote "placebo may refer as a medicine or regime prescribed for psychological benefit to the patient rather than for any physiological effect. Pia, placebo means a substance that has no therapeutic effect, used as a control in testing new drug" -- How can we differentiate the placebo (pleasing power) used to rest new drugs differs from the placebo given by preachers to please people ? Cause congregants are told to believe what they have not seen or touched rather believe based on the information that seem to please them ie placebo as you claim it.


Now back to the theory of existence of God:
Once a child asked me - Tell me how do we know there is God? now to answer an intelligent young mind you need to prove by showing existence . How does one is simplest forms tell a young one that there is God? all loving , all powerful and this child has lost both parents to war, hunger , crime etc. etc.

Why do we put all the blame that are within our control on this " God theory" eg when a person dies we say God loved him more, when accidents happen we say God knows all. Aren't these escape statements.

Please anyone who knows clarify - and stick to the arguments and questions herewith.
 
O
How do we know all the bible stories were real stories and not just people's opinionated ones? (am asking just to know)
"Opinionated", bila shaka una maanisha 'assertively dogmatic in one's view. Maana hii (assertively dogmatic in one's view) inatupatia maana hii 'seem good, think', kutoka kwenye neno Dogma 'opinion'.
Kwenye haya maneno 'seem good, think', ukiacha maneno ukazingatia kilichomo ndani kwenye hayo maneno utaona sio kitu kingine, isipokuwa " ukweli".
Hivi ndivyo ilivyo kwa masimulizi (stories) ya vitabu vya biblia. Masimulizi ya biblia ni halisi kwa sababu ya ukweli wake uliyomo ndani ya maneno yake. Hivyo yanapingana na dhana ya kwamba, ni maneno ya watu. Ingawa hayaondoi ukweli kwamba yameandikwa na watu.
Masimulizi ya vitabu vya biblia ni mafundisho ya maadili, ambayo ni halisi za maisha ya watu na Mungu katika historia: rekodi za Mungu na mwanadamu, na halisi za wapi mwanadamu anaelekea. Msingi hapa, ni mafundisho ya masimulizi ya biblia, ambao humo, kwa zenyewe na ndani yake, kuna kweli za mwanadamu, na wapi aneelekea: kweli za roho.
Kwa kusema hivyo, ninataka kusema, namna pekee ya kujua masimulizi ya biblia kwamba siyo "opinionated one's", ni ile ya kuona kilichomo ndani ya maneno ya mafundisho ya biblia. Namna hii ni ile ya kuweza kutofautisha stories za biblia na kile kilichomo ndani kwenye stories za biblia.
Katika kuona hilo, sayansi ni knowledge ambayo inatuonyesha kwamba yenyewe ni opinionated one's. Ukitaka kujua hilo, angalia nadharia zilizokuwa zinaongoza jambo hilo hilo kwa wakati fulani katika historia, leo hii na pengine badae, jambo hilo hilo linaongozwa na nadharia nyingine.
Hatahivyo, nisieleweke kwamba napinga sayansi. Hapana!
Ntaendelea kukujibu.
 
How do we know what the church teaches isn't to please the church as an institution ?
Nilimalizia kwa kusema hivi: hatahivyo, nisieleweke kwamba napinga sayansi. Hapana!
Ninaendelea kwa kusema kwamba, Kanisa linajua kweli za maisha ya mwanadamu, na wapi anaelekea, wakati sayansi inatafuta kuzijua kweli hizo.
Utakubali kwamba, Kanisa ndilo linaelewa, linajua na ndilo linafundisha kweli zinazopita akili ya binadamu.
Kweli hizi, hatahivyo, zipo nyingine ambazo zimeelewaka wazi wazi katika sayansi. Sayansi imethibitisha kwamba, kweli, "Kweli hizo za Kanisa", ni za kweli. Mathalani, Kweli za Roho, wafu zimethibitika kisayansi kwamba ni kweli.
Kujibu swali lenyewe kama lilivyoulizwa hapo juu.
Kanisa kwa asili yake, jinsi yake, na kile linachokifundisha siyo suala la kitaasisi, kikundi, jumuiya, jamii, kabila,taifa, utawala, utamaduni,(culture) au rangi, bali ni kweli za watu wote, ambamo humo mwanadamu anajijua maisha yake, na anajua wapi anaelekea.
Unaweza kujua Kanisa kwa njia pekee ya namna yake lilivyoanzishwa. Yesu Kristo ndiye alieanzisha Kanisa. Utaona Yesu anakufa kwanza ndiyo badae Kanisa linaanzishwa. Hadi hapo unaweza kuona siyo tu tofauti ya Kanisa na Institution, bali uzito wa Kanisa. Jiulize: institution inaanzaje.
Utaona maisha ya Yesu (The sublime moral), zaidi utaona kifo cha Yesu kilivyokuwa (sacred death).
Kujua ukweli huu, fikiri na ona matambiko ya jamii zetu, think on the things (animal or birds) provided as sacrifice: kuna nini kwenye hizo sadaka (tambiko)? Kunatoka nini kwenye hizo sadaka (tambiko)? Ni jambo la bure tu?
Kwa kuelewa hilo la matambiko, utaelewa Kifo cha Yesu, utaelewa Kanisa.
Kwa kifo cha Yesu kunatoka nguvu zote, upendo wote, neema zote: uweza mtakatifu wote. Jinsi hii ndiyo kwayo, Kanisa haliwezi kwa vyovyote vile kuwa institution.
 
Swali lako linaonyesha mashaka yako,ni watu wanaotekeleza mambo ya Kanisa.
Ukiangalia katika Kanisa utaona hao wanaofanya mambo ya Kanisa "Wametengwa", hawaonekani kufanana na watu wengine wa kawaida.
Kanisa liliweka sakramenti. Kwa sakramenti hutoka nguvu ya kutekeleza " Uweza Mtakatifu'. Huu (Uweza Mtakatifu) unatoka kwa Mungu pekee, kwa njia ya Yesu Kristo Mwanae. Utakubaliana nami, katika Kanisa wanaotekeleza mambo ya Kanisa wanayo sakramenti.
Mtu ili aweze kufanya mambo ya Kanisa lazima afanyiwe tendo la kidini na kiliturujia la sakramenti, ambalo kwalo humpatia mtu nguvu ya kutekeleza "Uweza Mtakatifu". Kwa njia hii ndiyo Kanisa (watu) linakuwa na nguvu, uweza, na mamlaka ya kufundisha na kushughulika na mambo yanayopita akili ya mwanadamu.
 
Nilimalizia kwa kusema hivi: hatahivyo, nisieleweke kwamba napinga sayansi. Hapana!
Ninaendelea kwa kusema kwamba, Kanisa linajua kweli za maisha ya mwanadamu, na wapi anaelekea, wakati sayansi inatafuta kuzijua kweli hizo.
Utakubali kwamba, Kanisa ndilo linaelewa, linajua na ndilo linafundisha kweli zinazopita akili ya binadamu.
Kweli hizi, hatahivyo, zipo nyingine ambazo zimeelewaka wazi wazi katika sayansi. Sayansi imethibitisha kwamba, kweli, "Kweli hizo za Kanisa", ni za kweli. Mathalani, Kweli za Roho, wafu zimethibitika kisayansi kwamba ni kweli.
Kujibu swali lenyewe kama lilivyoulizwa hapo juu.
Kanisa kwa asili yake, jinsi yake, na kile linachokifundisha siyo suala la kitaasisi, kikundi, jumuiya, jamii, kabila,taifa, utawala, utamaduni,(culture) au rangi, bali ni kweli za watu wote, ambamo humo mwanadamu anajijua maisha yake, na anajua wapi anaelekea.
Unaweza kujua Kanisa kwa njia pekee ya namna yake lilivyoanzishwa. Yesu Kristo ndiye alieanzisha Kanisa. Utaona Yesu anakufa kwanza ndiyo badae Kanisa linaanzishwa. Hadi hapo unaweza kuona siyo tu tofauti ya Kanisa na Institution, bali uzito wa Kanisa. Jiulize: institution inaanzaje.
Utaona maisha ya Yesu (The sublime moral), zaidi utaona kifo cha Yesu kilivyokuwa (sacred death).
Kujua ukweli huu, fikiri na ona matambiko ya jamii zetu, think on the things (animal or birds) provided as sacrifice: kuna nini kwenye hizo sadaka (tambiko)? Kunatoka nini kwenye hizo sadaka (tambiko)? Ni jambo la bure tu?
Kwa kuelewa hilo la matambiko, utaelewa Kifo cha Yesu, utaelewa Kanisa.
Kwa kifo cha Yesu kunatoka nguvu zote, upendo wote, neema zote: uweza mtakatifu wote. Jinsi hii ndiyo kwayo, Kanisa haliwezi kwa vyovyote vile kuwa institution.
Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Nilimalizia kwa kusema hivi: hatahivyo, nisieleweke kwamba napinga sayansi. Hapana!
Ninaendelea kwa kusema kwamba, Kanisa linajua kweli za maisha ya mwanadamu, na wapi anaelekea, wakati sayansi inatafuta kuzijua kweli hizo.
Utakubali kwamba, Kanisa ndilo linaelewa, linajua na ndilo linafundisha kweli zinazopita akili ya binadamu.
Kweli hizi, hatahivyo, zipo nyingine ambazo zimeelewaka wazi wazi katika sayansi. Sayansi imethibitisha kwamba, kweli, "Kweli hizo za Kanisa", ni za kweli. Mathalani, Kweli za Roho, wafu zimethibitika kisayansi kwamba ni kweli.
Kujibu swali lenyewe kama lilivyoulizwa hapo juu.
Kanisa kwa asili yake, jinsi yake, na kile linachokifundisha siyo suala la kitaasisi, kikundi, jumuiya, jamii, kabila,taifa, utawala, utamaduni,(culture) au rangi, bali ni kweli za watu wote, ambamo humo mwanadamu anajijua maisha yake, na anajua wapi anaelekea.
Unaweza kujua Kanisa kwa njia pekee ya namna yake lilivyoanzishwa. Yesu Kristo ndiye alieanzisha Kanisa. Utaona Yesu anakufa kwanza ndiyo badae Kanisa linaanzishwa. Hadi hapo unaweza kuona siyo tu tofauti ya Kanisa na Institution, bali uzito wa Kanisa. Jiulize: institution inaanzaje.
Utaona maisha ya Yesu (The sublime moral), zaidi utaona kifo cha Yesu kilivyokuwa (sacred death).
Kujua ukweli huu, fikiri na ona matambiko ya jamii zetu, think on the things (animal or birds) provided as sacrifice: kuna nini kwenye hizo sadaka (tambiko)? Kunatoka nini kwenye hizo sadaka (tambiko)? Ni jambo la bure tu?
Kwa kuelewa hilo la matambiko, utaelewa Kifo cha Yesu, utaelewa Kanisa.
Kwa kifo cha Yesu kunatoka nguvu zote, upendo wote, neema zote: uweza mtakatifu wote. Jinsi hii ndiyo kwayo, Kanisa haliwezi kwa vyovyote vile kuwa institution.

Mkuu unavyo zungumzia kanisa target yako ni ipi haswa?

Maana nijuavyo neno kanisa ni wigo mpana na kuna aina nyingi ya makanisa na yote hayo yametofautiana kuanzia mafundisho nk. Sasa unavyosema kanisa linaelewa na linafundisha ukweli hapa unakusudia kanisa lipi?

Hata ukiangalia mfumo wa uendeshaji kanisa (biblia) nazo zimetofaitiana, sasa kipi kigezo cha kujua hiki sahihi hiki si sahihi? Utofauti wa biblia huoni kwamba unatia doa kauli yako ya kusema kanisa ni kweli?


Ikiwa kama kuna makanisa zaidi ya moja na yana tofautiana kimafundisho, huoni utofauti huo unaonesha kuna mkanganyiko unaoonesha kua wote hao hawawezi kua wamesimamia ukweli mmoja??


Umejuaje kwamba kanisa lako ni kweli na si la uongo hususani kama lina kinzana mafundisho na kanisa lingine? Utajuaje kwamba lako ndio kweli na si lingine ambalo pengine wewe unaliona kama limepotoka kama wao wanavyokuona wewe???

Kama kanisa ni kweli mbona tunaona watu wanafariki kwa kunyweshwa jiki na mapastor baada ya kufundishwa uongo wakiwa kanisani??
 
Mkuu unavyo zungumzia kanisa target yako ni ipi haswa?

Maana nijuavyo neno kanisa ni wigo mpana na kuna aina nyingi ya makanisa na yote hayo yametofautiana kuanzia mafundisho nk. Sasa unavyosema kanisa linaelewa na linafundisha ukweli hapa unakusudia kanisa lipi?

Hata ukiangalia mfumo wa uendeshaji kanisa (biblia) nazo zimetofaitiana, sasa kipi kigezo cha kujua hiki sahihi hiki si sahihi? Utofauti wa biblia huoni kwamba unatia doa kauli yako ya kusema kanisa ni kweli?


Ikiwa kama kuna makanisa zaidi ya moja na yana tofautiana kimafundisho, huoni utofauti huo unaonesha kuna mkanganyiko unaoonesha kua wote hao hawawezi kua wamesimamia ukweli mmoja??


Umejuaje kwamba kanisa lako ni kweli na si la uongo hususani kama lina kinzana mafundisho na kanisa lingine? Utajuaje kwamba lako ndio kweli na si lingine ambalo pengine wewe unaliona kama limepotoka kama wao wanavyokuona wewe???

Kama kanisa ni kweli mbona tunaona watu wanafariki kwa kunyweshwa jiki na mapastor baada ya kufundishwa uongo wakiwa kanisani??
Angalau umesema juu ya ukweli. Kama ulivyo ukweli ni mmoja. Hivyo hivyo Kanisa ni moja. Hapa ni vizuri kuelewa kwamba Kanisa ni moja, na kuona mgawanyiko kutoka kwenye Kanisa moja.
Huwezi kuelewa Kanisa kama jambo pana nje ya mgawanyiko kutoka Kanisa moja. Utafahamu Kanisa limewekwa na Kristo Mwenyewe.
 
Angalau umesema juu ya ukweli. Kama ulivyo ukweli ni mmoja. Hivyo hivyo Kanisa ni moja. Hapa ni vizuri kuelewa kwamba Kanisa ni moja, na kuona mgawanyiko kutoka kwenye Kanisa moja.
Huwezi kuelewa Kanisa kama jambo pana nje ya mgawanyiko kutoka Kanisa moja. Utafahamu Kanisa limewekwa na Kristo Mwenyewe.
Maswali yangu hujanijibu vile inavyotakiwa, zaidi naona unazidi kunichanganya

Kama kanisa ni ukweli kwanini kuwe na mgawanyiko ambao umeweka utofauti wa kukinzana?
 
Kama kanisa ni ukweli kwanini kuwe na mgawanyiko ambao umeweka utofauti wa kukinzana?
Kuna namna mbili hapa. Mgawanyiko unaweza kumanisha tamaa ya wanadamu kutaka utawala na fedha.
Pili, mgawanyiko wa Kanisa kunaweza kumanisha "Utafiti" wa kutafuta kumjua Mungu zaidi.
Hatahivyo, nieleweke kwamba kile au yule anaegawanyika kutoka kwenye Kanisa, kile anachokianzisha au kinachogawanyika hakiwi tena Kanisa, bali kinakuwa au huitwa "Dhehebu".
Ukichunguza Madhehebu, ambayo wewe unayaita Makanisa utagundua yanaegemea kitu fulani chaweza kuwa Siku ya kuabudu, kupinga mamlaka ya hairakia ya Kanisa au mafundisho ya imani ya kanisa, maombi badala ya sakramenti na kadhalika.
Ukichunguza waanzilishi wenyewe wa Madhehebu haya utaelewa siyo watu wa kawaida. Hawa ukiwafuatilia na kuwachunguza utagundua wanayo elimu na uelewa wa dini.
Ni vizuri kuelewa kwamba Utafiti kwa ajili ya kumjua Mungu vizuri unakubalika.
Mtu kwa mfano, anaweza kufanya utafiti kujua: Nini kitatokea ikiwa watu wataacha sakramenti na kuelekea pekee maombi? Au kuna nini kusali siku ya Jumapili, na kuna nini kusali siku ya Jumamosi? Nini kitatokea kwa watu kuwa na vitabu 73 vya biblia na wengine kuwa na vitabu 69 vya biblia?
Swala hapa, ni kujiuliza inawezekanaje watu wanakiri kitu kile kile,lakini kwa namna inayoweka tofauti kutoka mmoja hadi mwingine? Ukijiuliza swali hili na mengine mengi, nawe fanya utafiti utapata ukweli.
 
And by your definition that placebo effect and I quote "placebo may refer as a medicine or regime prescribed for psychological benefit to the patient rather than for any physiological effect. Pia, placebo means a substance that has no therapeutic effect, used as a control in testing new drug" -- How can we differentiate the placebo (pleasing power) used to rest new drugs differs from the placebo given by preachers to please people ? Cause congregants are told to believe what they have not seen or touched rather believe based on the information that seem to please them ie placebo as you claim it.
What you quoted isn't placebo effect, instead is placebo. About "placebo effect", I stated " a beneficial effect produced by placebo drug, treatment or measure due to the patient's belief in that treatment". I went on describing what exactly placebo effect is by mentioning several things in it named: drug or substance, treatment or measure, patient in this context stands for anya other person alike, and expert which stands for any skilled person, friend or relatives. By all these I want to show first, that placebo effect is a matter of procedure, but secondly placebo effect merely depends on patient's belief in the expert and the treatment.
Here we should be careful to differentiate between "belief and faith". The bible defines faith as a confidence in what we hope for and assurance about what we do not see. It appears here that faith is built in the inner being of the believer. It's not measurable by somebody else. While belief is defined as an acceptance that something exist or true, especially one without proof. I hope from these definition you will be in the position to understand exactly what placebo effect is.
"... Placebo given by preachers to please people...", being a preacher doesn't means zero science. I agree that preachers use scientific method to people feel happy and satisfied. Following our ignorance in science, we perceive those scientific methods as miracle.
The church, however through Jesus Christ has constituted Sacramens from which come the miracle of healing.
 
Why do we put all the blame that are within our control on this " God theory" eg when a person dies we say God loved him more, when accidents happen we say God knows all. Aren't these escape statements.
Kama unachunguza mambo kwa umakini utang'amua kwamba, na hapa nakunukuu "...when person dies we say God loved him more...", uwezo wa mwanadamu bado hauwezi kudhibiti kifo. Hapo hapo, utang'amua kwamba binadamu anakiri kuna nguvu iliyo juu yake.
The claim that those above are escaped statements is wrong following these facts. First, all we know that people dies, but second all we know and we are the witness that accidents happens. Thinking on those statements and the like, you will find that man, first is unable to control those phenomenon. Secondly he/she isn't certainty how these phenomenon happen and still happen despite efforts.
You will understand that what you call " ...blame that are within our control ...", but we put all on God theory aren't within our control, instead shows human imperfections.
Mtu kwa kusema maneno hayo, anasema ukuu wa Mungu. Hapo hapo, anataka afanane na Mungu asifungwe na kifo: awe huru adhibiti hali zote. Hivyo, maneno hayo ya mtu hayakwepi, bali yanakiri mwisho wa uwezo wa mtu na wakati huo huo, yanatafuta kufikia uwezo wa kudhibiti hali hizo na hapa hapo, hayaachi kukiri uwezo na nguvu ya Mungu.
 
Now back to the theory of existence of God:
Once a child asked me - Tell me how do we know there is God? now to answer an intelligent young mind you need to prove by showing existence
Here is the answer to which you call and I quote "...intelligent young mind...", tell him/her go and see the oceans.
Kuna namn mbili za kujua kuna Mungu. Kwanza, ni Ulimwengu. Tell a young mind see the universe and creatures in it.
Pili, ni mwanadamu. Mwambie amtazame binadamu: yeye jinsi yake na ndani yake.
 
Back
Top Bottom