Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Here is the answer to which you call and I quote "...intelligent young mind...", tell him/her go and see the oceans.
Kuna namn mbili za kujua kuna Mungu. Kwanza, ni Ulimwengu. Tell a young mind see the universe and creatures in it.
Pili, ni mwanadamu. Mwambie amtazame binadamu: yeye jinsi yake na ndani yake.
Hapa umelazimisha Mungu awe jibu.

Hujathibitisha.

Elewa tofauti ya kulazimisha na kuthibitisha.
 
How does one is simplest forms tell a young one that there is God? all loving , all powerful and this child has lost both parents to war, hunger , crime etc. etc.
Tell a young one that, God created man with a free will. For that case, there are bad people and good people.
 
Tell a young one that, God created man with a free will. For that case, there are bad people and good people.
Free will is a myth.

Nobody chooses parents, place of birth, date of birth etc.

These things are very influential in ones life.

Had Bill Gates been born in Tabora in 1946 as an African farmer, he would have hardly had a shot at being the world's richest man.
 
Kwamba free will ni myth!!!! Unafurahisha sana....

Ni heri kusema free will and pre destination ni very controversial kiasi cha kukosa mstari stahiki wa kuvitenganisha.
Free will is a myth.

Nobody chooses parents, place of birth, date of birth etc.

These things are very influential in ones life.

Had Bill Gates been born in Tabora in 1946 as an African farmer, he would have hardly had a shot at being the world's richest man.
 
Free will is a myth.

Nobody chooses parents, place of birth, date of birth etc.

These things are very influential in ones life.

Had Bill Gates been born in Tabora in 1946 as an African farmer, he would have hardly had a shot at being
Tuelewe kwanza, "Will", ni nini?
Will is defined as a faculty by which a person decides on and initiatives actions.
Utaona kwenye hii maana hapo juu kuna vitu vitatu. Kwanza, Person, pili, decision (decides on) na tatu, initiatives actions. Unavifafanuaje hivi vitu?
Ukitazama mfano huu: nanukuu " No person chooses parents, place and date of birth" mwisho wa kunukuu.
Hakuna wazazi kama kwanza watu hawajaamua, na kama hawatafanya tendo la kuwa wazazi.
Sasa kati ya anaezaa na anaezaliwa, ni nani mwenye maamuzi? Na, ni nani anaefanya hilo tendo?
Utaelewa kwamba, suala la kuzaa ni uamuzi wa wazazi ndiyo wamechagua tendo hilo.
Hivyo, utashi ni uwezo wa mtu mwenyewe kuamua, na kutoka kwenye huo uamuzi huja matendo. Kwa matendo huja destiny.
 
Tuelewe kwanza, "Will", ni nini?
Will is defined as a faculty by which a person decides on and initiatives actions.
Utaona kwenye hii maana hapo juu kuna vitu vitatu. Kwanza, Person, pili, decision (decides on) na tatu, initiatives actions. Unavifafanuaje hivi vitu?
Ukitazama mfano huu: nanukuu " No person chooses parents, place and date of birth" mwisho wa kunukuu.
Hakuna wazazi kama kwanza watu hawajaamua, na kama hawatafanya tendo la kuwa wazazi.
Sasa kati ya anaezaa na anaezaliwa, ni nani mwenye maamuzi? Na, ni nani anaefanya hilo tendo?
Utaelewa kwamba, suala la kuzaa ni uamuzi wa wazazi ndiyo wamechagua tendo hilo.
Hivyo, utashi ni uwezo wa mtu mwenyewe kuamua, na kutoka kwenye huo uamuzi huja matendo. Kwa matendo huja destiny.
Umekubali mtu haamui anapozaliwa, wanaamua wazazi.

Mtu hana freewill ya kuamua anazaliwa wapi.

Free will is an illusion.

It also contradicts Gods perfect knowledge.

Free will cannot exist in humans if God has perfect knowledge of what they will choose.

You can have Gods perfect knowledge or human freewill.

You cannot have both at once.
 
Umekubali mtu haamui anapozaliwa, wanaamua wazazi.

Mtu hana freewill ya kuamua anazaliwa wapi.

Free will is an illusion.

It also contradicts Gods perfect knowledge.

Free will cannot exist in humans if God has perfect knowledge of what they will choose.

You can have Gods perfect knowledge or human freewill.
Kama hauna shida ya kuelewa, una shida ya ubinafsi.
Definition ya "Will" inataja Person 'mtu', kutoka kwake kuna uamuzi na matendo ya maamuzi.
Definition ya Will, inapotaja 'Person', inamaanisha "a human being regarded as an individual".
Nimekubali kwamba, wazazi ndio huamua kwa sababu kwa wakati huo, wazazi ndio wapo. Huyu atakaezaliwa, kabla hajawa person. Hapa ni lazima utazame nyuma kabla ya tendo la kuzaliwa, wazazi hawakuwa na mtoto (mtu) 'person'-hakuwepo,walikuwa wao tu. Wakasema tuwe na mtoto, kutoka kwenye kuwaza 'wazo'. Wakaamua-wakafanya maamuzi. Kwa kuwa maamuzi ni kuwa na mtoto, wakaanza kufanya tendo la kupata mtoto. Ndio kushiriki tendo la ndoa. Hapo mimba ikatungwa, ikakua na, kisha mtoto akazaliwa (anothe person).
Kumbe, utaelewa freewill ni kitu kisicho cha kikundi, bali mtu mwenyewe mmoja katika kuamua na kutenda katika maisha.
Ukitazama katika familia, kwa mfano utaona watoto wa baba na mama mmoja wakiamua na kutenda katika maisha tofaoti kutoka ndugu mmoja hadi mwingine.
 
Kama hauna shida ya kuelewa, una shida ya ubinafsi.
Definition ya "Will" inataja Person 'mtu', kutoka kwake kuna uamuzi na matendo ya maamuzi.
Definition ya Will, inapotaja 'Person', inamaanisha "a human being regarded as an individual".
Nimekubali kwamba, wazazi ndio huamua kwa sababu kwa wakati huo, wazazi ndio wapo. Huyu atakaezaliwa, kabla hajawa person. Hapa ni lazima utazame nyuma kabla ya tendo la kuzaliwa, wazazi hawakuwa na mtoto (mtu) 'person'-hakuwepo,walikuwa wao tu. Wakasema tuwe na mtoto, kutoka kwenye kuwaza 'wazo'. Wakaamua-wakafanya maamuzi. Kwa kuwa maamuzi ni kuwa na mtoto, wakaanza kufanya tendo la kupata mtoto. Ndio kushiriki tendo la ndoa. Hapo mimba ikatungwa, ikakua na, kisha mtoto akazaliwa (anothe person).
Kumbe, utaelewa freewill ni kitu kisicho cha kikundi, bali mtu mwenyewe mmoja katika kuamua na kutenda katika maisha.
Ukitazama katika familia, kwa mfano utaona watoto wa baba na mama mmoja wakiamua na kutenda katika maisha tofaoti kutoka ndugu mmoja hadi mwingine.

Umesema ambaye hajazaliwa si "person".

Aliyezaliwa anajua siku yake ya kufa?
 
Kama ambavyo hajui siku hii au ile anazaliwa, anawezaje kujua siku ya kufa?
Hata kuelewa muktadha wa swali umeelewa?

Unaelewa kwamba mtu asiyejua siku yake ya kufa hawezi kuwa na free will?

Unajua kwamba mtu akiwa na free will, Mungu hawezi kujua yote?
 
Hata kuelewa muktadha wa swali umeelewa?
Uliuliza, na hapa nakunukuu, " aliyezaliwa anajua siku yake ya kufa?". Mwisho wa kunukuu.
Utaona hapa, muktadha ni 'siku', na tukio ni 'kifo'. Hivyo aliyezaliwa kwa hakika anajua atakufa: anaweza kujua circumstances za tukio la kufa, lakini hajui specifically siku atakufa.
 
Uliuliza, na hapa nakunukuu, " aliyezaliwa anajua siku yake ya kufa?". Mwisho wa kunukuu.
Utaona hapa, muktadha ni 'siku', na tukio ni 'kifo'. Hivyo aliyezaliwa kwa hakika anajua atakufa: anaweza kujua circumstances za tukio la kufa, lakini hajui specifically siku atakufa.

Naunga mkono hoja. Bali hata mtu ambae hajafikiwa na dini ukimuuliza "Mungu yupo au Mungu yuko wapi ?" atakujibu "Mungu yupo na kuhusu alipo lazima atakuonyesha kwa Ishara kwamba yuko juu". Haya ni maumbile ambayo tumeumbwa kwayo.

Kwahiyo mtu anae zaliwa anajua tu ipo siku atakufa na hajui ni lini na wapi.

Naendelea kusoma majadiliano yenu.
 
Uliuliza, na hapa nakunukuu, " aliyezaliwa anajua siku yake ya kufa?". Mwisho wa kunukuu.
Utaona hapa, muktadha ni 'siku', na tukio ni 'kifo'. Hivyo aliyezaliwa kwa hakika anajua atakufa: anaweza kujua circumstances za tukio la kufa, lakini hajui specifically siku atakufa.
Hujajibu nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza,

1. Aliyezaliwa hajui siku yake ya kufa, hana freewill yoyote juu ya kifo chake.

2. Mtu kuwa na free will kunapingana na uwezo wa Mungu kujua yote, ukiwa unatembea, na hujaamua kwamba utapinda kulia ama kushoto, kama unaamini Mungu yupo na anajua yote, Mungu anajua kwamba utapinda kulia ama kushoto?

Kama anajua, na anachojua ni lazima kiwe, hapo mtu ana free will gani?

Kama Mungu hajui, na mtu ana free will, hapo Mungu ana ujuzi wote?

Free will kwa mtu na Mungu mwenye ujuzi wote haviwezi kuwepo pamoja.
 
Hujajibu nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza,

1. Aliyezaliwa hajui siku yake ya kufa, hana freewill yoyote juu ya kifo chake.
Nimekunukuu, kisha nikakujibu ulivyouliza. Rejea swali lako na mada yenywe.
Unachoelewa wewe ni kwamba, anaekufa: hajui siku yake ya kufa kwa sababu hana freewill. Hapana! Unaelewa kimakosa maana ya freewill.
Mtu kufa au kutojua atakufa siku gani; au kutojua kesho kitu gani kitatokea, hakuna maana ya kwamba, hana freewill. Freewill anayo na mtu ataendelea kuwa nayo.
Kwa freewill ni ujuzi au uwezo wa mtu kujua mema na mabaya. Mtu anaeweza kujua hili ni jema na lile ni baya, huyo anayo will. Hivyo, will ni uwezo wa mtu wa kujua na wakati huo huo, kutenda mema au mabaya, ambapo kifo ni, nje ya uwezo wa mtu.
Kuelewa hilo, mtu ajue na wakati huo huo, atende mabaya au mema, bado anakufa.
 
Nimekunukuu, kisha nikakujibu ulivyouliza. Rejea swali lako na mada yenywe.
Unachoelewa wewe ni kwamba, anaekufa: hajui siku yake ya kufa kwa sababu hana freewill. Hapana! Unaelewa kimakosa maana ya freewill.
Mtu kufa au kutojua atakufa siku gani; au kutojua kesho kitu gani kitatokea, hakuna maana ya kwamba, hana freewill. Freewill anayo na mtu ataendelea kuwa nayo.
Kwa freewill ni ujuzi au uwezo wa mtu kujua mema na mabaya. Mtu anaeweza kujua hili ni jema na lile ni baya, huyo anayo will. Hivyo, will ni uwezo wa mtu wa kujua na wakati huo huo, kutenda mema au mabaya, ambapo kifo ni, nje ya uwezo wa mtu.
Kuelewa hilo, mtu ajue na wakati huo huo, atende mabaya au mema, bado anakufa.
Freewill maana yake nini?

Kwa nini hujagusa contradiction ya human freewill and God's perfect knowledge? Kama hata umeielewa.
 
Back
Top Bottom