Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,511
- 151,778
Ukizibainisha ninaweza kuzifafanua.
Mara ngapi?
Ukiwa njiapanda, unataka kupinda kulia au kushoto, kabla hujaamua, Mungu anajua utaamua kwenda wapi?
Ukizibainisha ninaweza kuzifafanua.
Ukiwa njia panda ni hakika kabla ya kuwepo hapo ulikwisha kuamua wapi utakwenda. Hiyo tu pekee haitoshi kukufanya kujua kwamba Mungu anajua unaelekea wapi?Ukiwa njiapanda, unataka kupinda kulia au kushoto, kabla hujaamua, Mungu anajua utaamua kwenda wapi?
Mungu anajua kila kwani matendo ya binadamu yameumbwa. Swali kwanini tuna sema matendo ya binadamu yameumbwa,kwa sababu uwezo wa kuyafanya ametupa yeye na anajua hata yale ambayo hayapo laiti yangekuwepo anajua vipi yange kuwa.2. Mtu kuwa na free will kunapingana na uwezo wa Mungu kujua yote, ukiwa unatembea, na hujaamua kwamba utapinda kulia ama kushoto, kama unaamini Mungu yupo na anajua yote, Mungu anajua kwamba utapinda kulia ama kushoto?
Mola wetu ana vitu vitatu mintarafu ufanyaji wa matendo yake. Navyo ni :Kama anajua, na anachojua ni lazima kiwe, hapo mtu ana free will gani?
Mola anajua na hasifiki kwa sifa ya kutokujua na sifa zake ni KAMILI.Kama Mungu hajui, na mtu ana free will, hapo Mungu ana ujuzi wote?
Free will kwa mtu na Mungu mwenye ujuzi wote haviwezi kuwepo pamoja.
Hujajibu swali nililokuuliza.Ukiwa njia panda ni hakika kabla ya kuwepo hapo ulikwisha kuamua wapi utakwenda. Hiyo tu pekee haitoshi kukufanya kujua kwamba Mungu anajua unaelekea wapi?
Unachosema hapa ni kwamba, umeshajua uko njia panda. Zaidi unajua kuna kuamua kwenda kulia au kushoto, huoni hapo maamuzi yanabaki kuwa yako, hata licha ya Mungu kujua?
Kwanini unafikiri kuwa atheist ni lazima mtu agundue kitu peke yake?wewe ni mtu wa pili leo unatuthibitishia kwamba huyu bwana sio atheist ni pretender tu anasoma hypothesis za atheists na kufikia mahitimisho tu lakini hana desa lake mwenyewe
ni maoni tu mkuu usinirogeKwanini unafikiri kuwa atheist ni lazima mtu agundue kitu peke yake?
Maoni ya kijinga.ni maoni tu mkuu usiniroge
huo uatheist umezaliwa nao au ni wa kuambukizwa?,kama ni wa kuambukizwa basi badilika,umezaliwa umesoma komunyo,ukapata kipaimara mwisho wa siku unakuwa kama ulivyo,unaluwa atheist kwa kusoma nadharia za watu wengine,nadhani nikukuuliza unipe facts zinazokufanya usiamini uwepo wa mungu hautakuwa na jipya zaidi ya kuquoteMaoni ya kijinga.
Mimi siamini katika Mungu, uchawi wala kurogana, hivyo siwezi kukuroga.
Nitakuonesha ujinga wa maoni yako tu.
Wewe haya maneno uliyoandika hapa herufi zake umezaliwa nazo au umesoma kwa watu wengine?huo uatheist umezaliwa nao au ni wa kuambukizwa?,kama ni wa kuambukizwa basi badilika,umezaliwa umesoma komunyo,ukapata kipaimara mwisho wa siku unakuwa kama ulivyo,unaluwa atheist kwa kusoma nadharia za watu wengine,nadhani nikukuuliza unipe facts zinazokufanya usiamini uwepo wa mungu hautakuwa na jipya zaidi ya kuquote
Akikujibu nistue.Wewe haya maneno uliyoandika hapa herufi zake umezaliwa nazo au umesoma kwa watu wengine?
Freewill maana yake nini?
Hakuna utata hapo,shida ipo kwenye uchache wa maarifa yako.Kwa nini hujagusa contradiction ya human freewill and God's perfect knowledge? Kama hata umeielewa.
Ndio anajua.Mara ngapi?
Ukiwa njiapanda, unataka kupinda kulia au kushoto, kabla hujaamua, Mungu anajua utaamua kwenda wapi?
Hawa watu wengine wanajiandikia tu bila kufikiri kwa sababu JF hawalipii.Akikujibu nistue.
Hahahaaa, Powa Powa mkuu.Hawa watu wengine wanajiandikia tu bila kufikiri kwa sababu JF hawalipii.
Ridiculously birdbrained!
Kwenye jibu langu la mwanzo kama uko makini utaelewa nimekujibu.Mungu anajua utaamua kwenda kulia au kushoto?
Umakini kwako leo unawe,a kuwa ni ujinga nilioupita mwaka 1999.Kwenye jibu langu la mwanzo kama uko makini utaelewa nimekujibu.
Ndio Mungu anajua.