Wewe ulijuaje kama baba ako ni mwanaume ? Ulimchungulia au ilikuwaje ?
Mbona unauliza maswali ya kitoto sana na kijinga mno ? Unajua najitahidi sana kukuvumilia nikujibu maswali yako,lakini naona unazidi kuuliza maswali ya kijinga na kitoto.
Angalizo,kuna hoja zako au maswali yakl ukiona sijakujibu ujue nimeyapuuza ni hila.