Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Nimeshataja.
Kutaja sio kigezo kwamba umethibitisha... wewe unaona umejibu kwa usahihi kabisa.

Ukisema umesoma bado sio jibu.. kwa kuwa unachokisoma kimeandikwa na watu.. bali sema hao watu waliondika wamethibitishaje uwepo wa malaika... tumia reference zao kutuonyesha tuangalie au tusikilize au tuhisi nini ili tutambue uwepo wao....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutaja sio kigezo kwamba umethibitisha... wewe unaona umejibu kwa usahihi kabisa.

Ukisema umesoma bado sio jibu.. kwa kuwa unachokisoma kimeandikwa na watu.. bali sema hao watu waliondika wamethibitishaje uwepo wa malaika... tumia reference zao kutuonyesha tuangalie au tusikilize au tuhisi nini ili tutambue uwepo wao....

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwako wewe ili nithibitishe au nionekane nimethibitisha natakiwa kufanya nini au kukidhi vigezo gani ?
 
Kutaja sio kigezo kwamba umethibitisha... wewe unaona umejibu kwa usahihi kabisa.

Ukisema umesoma bado sio jibu.. kwa kuwa unachokisoma kimeandikwa na watu.. bali sema hao watu waliondika wamethibitishaje uwepo wa malaika... tumia reference zao kutuonyesha tuangalie au tusikilize au tuhisi nini ili tutambue uwepo wao....

Sent using Jamii Forums mobile app

Tafuta vitabu hivi :

1. Reason,Revelation and Reconstitution of Rationality cha Ibn Taymiyyah
2. Ibn Taymiyyah against the Greek logicians
3. Ibn Taymiyyah expounds on Islam
4. Mihaj as- Sunnah cha Ibn Taymiyyah.

Na vingine vingi....!
 
Tafuta vitabu hivi :

1. Reason,Revelation and Reconstitution of Rationality cha Ibn Taymiyyah
2. Ibn Taymiyyah against the Greek logicians
3. Ibn Taymiyyah expounds on Islam
4. Mihaj as- Sunnah cha Ibn Taymiyyah.

Na vingine vingi....!
Vitabu hivyo ndio vinaushahidi wa picha ya Mungu pamoja na malaika wake??

Au vimeeleza chanzo chake humo?

Sent using unknown device
 
Kwako wewe ili nithibitishe au nionekane nimethibitisha natakiwa kufanya nini au kukidhi vigezo gani ?
Kidhi vigezo vya milango ya fahamu... ndio sehemu pekee tunayoweza kuagree au kudisagree... na ndio ambavyo tunaapply kwenye maisha yetu haya ili tuwe tuna-make sense....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa dunia huwezi kumuona kwa macho ila unamuona kupitia nini maana mmempa hadi jinsia je mlijuaje jinsia yake?

Sent using unknown device

Mola amejielezea mwenyewe kupitia Qur'aan na maneno ya mtume wake amani ya Allah iwe juu yake.

Hakuna binadamu anae weza kumuelezea Mola muumba kwa akili yake bila ya msaada wa ufunuo (Qur'aan na maneno ya mtume wake amani ya Allah iwe juu yake).
 
Tafuta vitabu hivi :

1. Reason,Revelation and Reconstitution of Rationality cha Ibn Taymiyyah
2. Ibn Taymiyyah against the Greek logicians
3. Ibn Taymiyyah expounds on Islam
4. Mihaj as- Sunnah cha Ibn Taymiyyah.

Na vingine vingi....!
Hoja zetu hapa hazitumii vitabu.... hivyo fanya rejea huko alafu tuthibitishie....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mola amejielezea mwenyewe kupitia Qur'aan na maneno ya mtume wake amani ya Allah iwe juu yake.

Hakuna binadamu anae weza kumuelezea Mola muumba kwa akili yake bila ya msaada wa ufunuo (Qur'aan na maneno ya mtume wake amani ya Allah iwe juu yake).

Kwaiyo quraan aliyeandika ndiye alimchungulia mungu akajua jinsia yake?



Sent using unknown device
 
Back
Top Bottom