Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Unathibitishaje kwa kutumia njia ya milango 5 ya fahamu kama...ulivyofanya kwa muumba mbingu na ardhi....? Kwamba tunajua Mungu yupo kwa kijiangalia sisi wenyewe na ulimwengu ulivyo....

Kwa malaika umetumia njia gani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa malaika nimetumia milango ya fahamu (macho kwa kusoma,masikio kusikia) nikatumia akili kuelewa na kuweka mafuhumu katika mafungu mafungu na moyo kuhifadhi na ufunuo kuamini.

Ila hii ni faida nakupa,milango ya fahamu haitoshi kukupa maarifa yote.
 
Nimekuuliza ulifanya tafiti gani mpaka ukalijua hilo?

Sent using unknown device

Sio kila jambo linahitaji utafiti. Mathalani suala la Mola na uwepo wake halihitaji itafiti,bali linataka mapokeo na kutafakari kwa umakini na undani zaidi huku ukiwa unazingatia.

Chukulia wewe unataka ufanye utafiti juu ya uwepo au kutokuwepo kwa Mola,utafata njia zipi ili kuweza kufikia hitimisho lako ?
 
Sio kila jambo linahitaji utafiti. Mathalani suala la Mola na uwepo wake halihitaji itafiti,bali linataka mapokeo na kutafakari kwa umakini na undani zaidi huku ukiwa unazingatia.

Chukulia wewe unataka ufanye utafiti juu ya uwepo au kutokuwepo kwa Mola,utafata njia zipi ili kuweza kufikia hitimisho lako ?
Kama halihitaji tafiti wewe uliwezaje kujua kua yupo??

Sent using unknown device
 
Kwa malaika nimetumia milango ya fahamu (macho kwa kusoma,masikio kusikia) nikatumia akili kuelewa na kuweka mafuhumu katika mafungu mafungu na moyo kuhifadhi na ufunuo kuamini.

Ila hii ni faida nakupa,milango ya fahamu haitoshi kukupa maarifa yote.
Kupitia mlango upi wa fahamu uliweza kujua kua malaika wapo?

Sent using unknown device
 
Kwa malaika nimetumia milango ya fahamu (macho kwa kusoma,masikio kusikia) nikatumia akili kuelewa na kuweka mafuhumu katika mafungu mafungu na moyo kuhifadhi na ufunuo kuamini.

Ila hii ni faida nakupa,milango ya fahamu haitoshi kukupa maarifa yote.
Je ni mlango gani unakupa sehemu ya maarifa ambayo hayapatikani kwa 5 senses??? Hallucination??

Na wewe elewa kwamba out of 5 senses is none-sense.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kila jambo linahitaji utafiti. Mathalani suala la Mola na uwepo wake halihitaji itafiti,bali linataka mapokeo na kutafakari kwa umakini na undani zaidi huku ukiwa unazingatia.

Chukulia wewe unataka ufanye utafiti juu ya uwepo au kutokuwepo kwa Mola,utafata njia zipi ili kuweza kufikia hitimisho lako ?

Ukiniambia nifanye utafiti juu ya uwepo wa mola, hapo nitakudai unithibitishie ni kipi kilichokufanya ujue kua kuna kitu kinachoitwa mola?

Siwezi nikakurupuka kuanza utafiti wakati sijakijua kitu gani kilichokufanya useme kua kuna mola. Na hivyo wewe ndiye utakayetakiwa kufanya utafiti halafu mimi nitahitaji uthibitisho kutoka kwako baada ya kufanya tafiti wa uwepo wa kile ulichokidai kua kinaitwa mola

Sent using unknown device
 
Jibu lipo humo humo ulipo ni quote...!
Hakuna jibu lenye kuhusiana na swali langu hapo, kama hayo ni majibu basi hayahusiki na swali langu

Nijibu tena hapa

Je nitafiti gani ulizofanya ukabaini kua mungu yupo?

Na kama swala la uwepo wa mungu halihitaji tafiti wewe uliwezaje kujua kua yupo?



Sent using unknown device
 
Ukiniambia nifanye utafiti juu ya uwepo wa mola, hapo nitakudai unithibitishie ni kipi kilichokufanya ujue kua kuna kitu kinachoitwa mola?

Siwezi nikakurupuka kuanza utafiti wakati sijakijua kitu gani kilichokufanya useme kua kuna mola. Na hivyo wewe ndiye utakayetakiwa kufanya utafiti halafu mimi nitahitaji uthibitisho kutoka kwako baada ya kufanya tafiti wa uwepo wa kile ulichokidai kua kinaitwa mola

Sent using unknown device

Unaweza kuthibitisha ya kuwa Mola muumba hayupo wala hakuwahi kuwepo ?
 
Hakuna jibu lenye kuhusiana na swali langu hapo, kama hayo ni majibu basi hayahusiki na swali langu

Nijibu tena hapa

Je nitafiti gani ulizofanya ukabaini kua mungu yupo?

Na kama swala la uwepo wa mungu halihitaji tafiti wewe uliwezaje kujua kua yupo?



Sent using unknown device

Rejea post # 3,408.
 
Back
Top Bottom