Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,852
- 131,475
Soma hoja yangu mpaka mwisho,mwisho nimemaizi kwa kumtoa Mola nikasema yeye ndio chanzo.
Sio "nimemaizi" sahihi ni nimemaliza
Sent using unknown device
Soma hoja yangu mpaka mwisho,mwisho nimemaizi kwa kumtoa Mola nikasema yeye ndio chanzo.
Kama umetumia kigezo cha uwepo wa binadamu na ulimwengu ndio uwepo wa Mungu.... je, umetumia kigezo gani kujua kwamba Malaika nao pia wapo????Hapa unapinga au unakubali au unanijuza ?
Zingatia : Sio "zambi" sahihi ni "dhambi"
Nipo ....
Namimi pia nimekuuliza nini kimekufanya ufikiri kua baada ya universal set kuna mambo yalifata??Hapa nimekuuliza wewe,sababu nimeona mfano huu kwako wewe ndio utakuwa mwepesi sana kuuelewa.
Kama yeye aliyeumba hakuna haja ya yeye kua na chanzo, je kilichoumbwa kina haja ya kuwa na chanzo?Umeiparamia vibaya hoja,nimekusudia baada ya kuwepo chanzo aliyeumba je kuna haja ya yeye kuwa na chanzo ?
Kama hakuna haja ya kuwa na chanzo je utajuaje chanzo chake? Haja yakujua chanzo cha kitu ni muhimu na ndio maana ukijua unapata maarifa ambayo mwanzo hukuyajuaHapa ulitakiwa uonyeshe haja ya yule ambaye ni chanzo kuwa na chanzo ? Je kuna weza kuwa na chanzo asili kuwa na chanzo ? Hapa unatakiwa kutuliza akili.
Nakuja kukupa maana ya chanzo / Asili.
Nipo .....
Hapo ndio pale kwenye hoja ya uvivu wa kufikiri.
Asante kwa masahihisho. Lakini pia zingatia hatupo kwenye mjadala wa uandishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishakujibu na hapa narudia tena. Kitu ambacho kina jina lakini hakijawahi kuwepo au hakipo kabisa ni Mungu
Kama yeye aliyeumba hakuna haja ya yeye kua na chanzo, je kilichoumbwa kina haja ya kuwa na chanzo?
Huwezi ulikuwa unamaanisha "Hauwezi" ..... ndio maana nakuelewesha tusiende huko.Msingi wa mijadala ni lugha. Huwezi kutenganisha lugha na mijadala.
@Zuri hapa ulikuwa unahitaji muda gani kunijibu???Kama umetumia kigezo cha uwepo wa binadamu na ulimwengu ndio uwepo wa Mungu.... je, umetumia kigezo gani kujua kwamba Malaika nao pia wapo????
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi ulikuwa unamaanisha "Hauwezi" ..... ndio maana nakuelewesha tusiende huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umetumia kigezo cha uwepo wa binadamu na ulimwengu ndio uwepo wa Mungu.... je, umetumia kigezo gani kujua kwamba Malaika nao pia wapo????
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa makini kaka,sasa hicho kilicho umbwa kwa vipi kisihitaji aliyekiumba ? Haiyumkiniki hili.
Unafikir kingekuwepo vipi pasi na chanzo ?
Unacheka au unajicheka?? Utakua tu unamatatizo ya utaila kama utakua hujanielewaNacheka sana. Huwezi kuthibitisha kutokuwepo kwake.
Sababu malaika nao ni viumbe wameumbwa na Mola muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivgomo.
Hii hoja yako sikuiona,huwa najitahidi kujibu kila swali. Ukamilifu ni wa Mola pekee.
Sasa utajuaje kua kimeumbwa pasipo kutafiti?
Kama haiwezekani kitu kiwepo bila chanzo, kivipi useme Mungu hana chanzo?
Hivi umetumia tafiti gani mpaka ukajua hana chanzo?
Sent using unknown device
Unacheka au unajicheka?? Utakua tu unamatatizo ya utaila kama utakua hujanielewa
Narudia tena
Kitu ambacho hakipo wala hakijawahi kuwepo ila kina jina ni MUNGU
Sent using unknown device
Unathibitishaje kwa kutumia njia ya milango 5 ya fahamu kama...ulivyofanya kwa muumba mbingu na ardhi....? Kwamba tunajua Mungu yupo kwa kijiangalia sisi wenyewe na ulimwengu ulivyo....Sababu malaika nao ni viumbe wameumbwa na Mola muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivgomo.
Hii hoja yako sikuiona,huwa najitahidi kujibu kila swali. Ukamilifu ni wa Mola pekee.
Na ndio makosa ambayo yanakuja kutokana na kuandika kwa kukosea, ulitaka nisikusahihishe kua umekosea kutamka wakati umetumia maandishi kuwasilisha hoja yako?Hilo ni kosa la kiuandishi tu,na si umbile la neno. Sikukusudia kuandika "vilivgomo" wakati wengine wakiandika "zambi" wanajua ndio sahihi.
Na kwanin ulimwengu usiwe ndio chanzo????Sababu yeye ndio chanzo.