Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Mkuu Kiranga,

Kuamini Kwako Uwepo Wa Mungu Kuwa Kunajicontradict Ilikuwa Ni Lini?

Na Je, Si Kwamba Ulianza Kuamini ( Kwa Kuwa Umelelewa Katika Familia Ya Kikristo(?) ) Na Kisha Baada Ya Kupata Elimu Ukaona Kuwa Uwepo Wake Unajikanganya?

Na Kama Ungekosa Fursa Ya Kusoma, Hivyo Ukabaki Na Imani Ya Kuambiwa/ Kulelewa Kwayo Ungekuwa Kama Ulivyo Sasa ( Atheist )?
Hoja yako ni nini? Kwamba kuamini katika uwepo wa Mungu huenda ni matokeo ya kukosa elimu kama aliyoipata Kiranga?
 
Mkuu,

Mfano Wako Ni Mzuri Sana, Na Je Kama Ulikula Kamasi Utotoni, Then Ukakua Ukiacha Kula Kamasi.

Je, Nikikuuliza Kuhusu Ulaji Wa Kamasi Utasema Haupo Kwa Kuwa Ulikula Utotoni Na Ukaacha?

Kwanini Usiseme Upo, Ila Wewe Sasa Umekua Na Huwezi Kula Tena?
@kiranga hili swali hukuliona?
 
@kiranga hili swali hukuliona?
Kunradhi sikuliona swali hili. I blame it on Mshana and his petty back and forth.

Asante kwa kulirudisha katika mjadala.

Huyo anayeuliza inaonekana haelewi tofauti ya imani kwamba Mungu yupo, na ukweli kwamba Mungu yupo.

Kama mtu aliamini kwamba Mungu yupo kwa sababu ya kukosa ukomavu wa fikra unaokuja kiasili na utoto, baadaye akaja kuthibitisha Mungu huyo hayupo, kimantiki, ukweli kwamba aliwahi kuamini kitu ambacho hakipo kipo, haukifanyi kitu hicho kiwepo.

Kuna watu walivyokuwa watoto waliamini baba zao ndio watu wenye nguvu kushinda wote duniani.

Wamekua wakubwa wakaacha imani hiyo ya kitoto.

Ukweli kwamba waliamini baba zao ndio watu wenye nguvu kuliko wote duniani, haujawafanya baba zao wawe na nguvu hivyo.

Sijawahi kukanusha kwamba niliwahi kuamini Mungu yupo.

Ninachokanusha ni kwamba Mungu yupo.

Aliyeniuliza swali inaonekana haelewi tofauti ya mawili haya.
 
Kunradhi sikuliona swali hili. I blame it on Mshana and his petty back amd forth.

Asante kwa kulirudisha katika mjadala.

Huyo anayeuliza inaonekana haelewi tofauti ya imani kwamba Mungu yupo, na ukweli kwamba Mungu yupo.

Kama mtu aliamini kwamba Mungu yupo kwa sababu ya kukosa ukomavu wa fikra unaokuja kiasili na utoto, baadaye akaja kuthibitisha Mungu huyo hayupo, kimantiki, ukweli kwamba aliwahi kuamini kitu ambacho hakipo kipo, haukifanyi kitu hicho kiwepo.

Kuna watu walivyokuwa watoto waliamini baba zao ndio watu wenye nguvu kushinda wote duniani.

Wamekua wakubwa wakaacha imani hiyo ya kitoto.

Ukweli kwamba waliamini baba zao ndio watu wenye nguvu kuliko wote duniani, haujawafanya baba zao wawe na nguvu hivyo.

Sijawahi kukanusha kwamba niliwahi kuamini Mungu yupo.

Ninachokanusha ni kwamba Mungu yupo.

Aliyeniuliza swali inaonekana haelewi tofauti ya mawili haya.
Kiranga anamlaumu Mshana..... [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
 
Kunradhi sikuliona swali hili. I blame it on Mshana and his petty back amd forth.

Asante kwa kulirudisha katika mjadala.

Huyo anayeuliza inaonekana haelewi tofauti ya imani kwamba Mungu yupo, na ukweli kwamba Mungu yupo.

Kama mtu aliamini kwamba Mungu yupo kwa sababu ya kukosa ukomavu wa fikra unaokuja kiasili na utoto, baadaye akaja kuthibitisha Mungu huyo hayupo, kimantiki, ukweli kwamba aliwahi kuamini kitu ambacho hakipo kipo, haukifanyi kitu hicho kiwepo.

Kuna watu walivyokuwa watoto waliamini baba zao ndio watu wenye nguvu kushinda wote duniani.

Wamekua wakubwa wakaacha imani hiyo ya kitoto.

Ukweli kwamba waliamini baba zao ndio watu wenye nguvu kuliko wote duniani, haujawafanya baba zao wawe na nguvu hivyo.

Sijawahi kukanusha kwamba niliwahi kuamini Mungu yupo.

Ninachokanusha ni kwamba Mungu yupo.

Aliyeniuliza swali inaonekana haelewi tofauti ya mawili haya.
Kiranga Je unadhani uhai ulianzaje? Je mifumo yote ambayo ina support uhai ilifanyikaje au ilitokeaje? Hufikiri kuwa kuna chanzo fulani hivi? Je hicho chanzo tukikipa jina "Mungu" kuna tatizo? Na labda katika kukielewa hicho chanzo ndipo wengine wakaja na nadharia ya evolution na wengine wakaja na creation kila upande ukijaribu kuelezea chanzo cha uhai katika namna yake. Kwa upande wangu hizo nadharia zote mbili zina mapungufu tena mengi tu kumuelezea huyo "Mungu" (chanzo)

au wewe mkuu unaamini (sijui niseme unajua?) kuwa hamna chanzo kabisa?
 
Kiranga anamlaumu Mshana..... [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
It's nice to see all your teeth. That's rising above petty.
 
Back
Top Bottom