Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Huyo ninayemuuliza hata hajui tofauti ya imani na fact.

Kama wewe.

Unaelewa hilo?
Mimi simuulizii yeye bali nakuuliza wewe.

Wewe umeulizia Mungu anayemuamini na mara zote umekuwa unasema hauzungumzii imani hapa bali fact,sasa huyo akikujibu hapo mtakuwa mnazungumzia Mungu kama fact au kama imani?
 
Mimi simuulizii yeye bali nakuuliza wewe.

Wewe umeulizia Mungu anayemuamini na mara zote umekuwa unasema hauzungumzii imani hapa bali fact,sasa huyo akikujibu hapo mtakuwa mnazungumzia Mungu kama fact au kama imani?
Kwake yeye imani ni fact.

Kwangu mimi namnyumbukishia polepole kutoka mchanyato wa imani=fact kumpeleka kuelewa kwamba imani ni tofauti na fact.

Naanza kwake kwanza. Nikianza kwangu tutabishana milele.

Nimekubali kufanya "immanent critique".

Na solve simultaneous equation.

Ukitaka ku solve simultaneous equation unaruhusiwa kuanza na "let x =..."

That does not mean you are accepting "x = ..."

You have a way of testing and rejecting all tesults still.

Ndiyo maana naweza kusema "Fine, lets say Gid exists (sijakubali yupo, naanza kusolve equation tu hapo)

But if he really exists, why dies the explqnation of his existence harbor so many contradictions? (Contradiction, the litmus test if truth).

I am prepared to accept this God exists (I am prepared to doscard all that I hold to be true as false). But only if you can resolve these contradictions in a logically consistent way.

You haven't done that.

Whether the case be fact/ faith or the exiatence of God.

Ujinga wa arguments za kuwepo Mungu wenu si kwamba ana fail kuwapo kwa standards zangu.

Ujinga wa kuwapo kwa Mungu wenu ni kwamba ana fail kuwapo kwa standards zake mwenyewe.
 
Kwake yeye imani ni fact.

Kwangu mimi namnyumbukishia polepole kutoka mchanyato wa imani=fact kumpeleka kuelewa kwamba imani ni tofauti na fact.

Naanza kwake kwanza. Nikianza kwangu tutabishana milele.

Nimekubali kufanya "immanent critique".

Na solve simultaneous equation.

Ukitaka ku solve simultaneous equation unaruhusiwa kuanza na "let x =..."

That does not mean you are accepting "x = ..."

You have a way of testing and rejecting all tesults still.

Ndiyo maana naweza kusema "Fine, lets say Gid exists (sijakubali yupo, naanza kusolve equation tu hapo)

But if he really exists, why dies the explqnation of his existence harbor so many contradictions? (Contradiction, the litmus test if truth).

I am prepared to accept this God exists (I am prepared to doscard all that I hold to be true as false). But only if you can resolve these contradictions in a logically consistent way.

You haven't done that.

Whether the case be fact/ faith or the exiatence of God.

Ujinga wa arguments za kuwepo Mungu wenu si kwamba ana fail kuwapo kwa standards zangu.

Ujinga wa kuwapo kwa Mungu wenu ni kwamba ana fail kuwapo kwa standards zake mwenyewe.
Unazunguka tu mara kwake yeye mara kwangu,ni kwamba atakapokujibu tu hamtokuwa mkizungumzia fact bali imani.
 
Unazunguka tu mara kwake yeye mara kwangu,ni kwamba atakapokujibu tu hamtokuwa mkizungumzia fact bali imani.
Sawa.

Please allow me some indecency to illustrate a rather delicate point.

Imani ni fact? Mtu akiamini kwamba mavi yake ni Mungu aliyeumba mbingu na nchi, mavi hayo yanakuwa kweli Mungu aliyeumba mbingu na nchi?
 
Sawa.

Imani ni fact? Mtu akiamini kwamba mavi yake ni Mungu aliyeumba mbingu na nchi, mavi hayo yanakuwa kweli Mungu aliyeumba mbingu na nchi?
Wapi hatuelewani ?

Nachosema ni kwamba kitendo cha wewe kumuulizia mtu Mungu anayemuamini na akikujibu hapo mazungumzo yenu yatakuwa ya imani,na hivyo mtakuwa mnajadili Mungu kama imani na si fact.
 
Wapi hatuelewani ?

Nachosema ni kwamba kitendo cha wewe kumuulizia mtu Mungu anayemuamini na akikujibu hapo mazungumzo yenu yatakuwa ya imani,na hivyo mtakuwa mnajadili Mungu kama imani na si fact.
Nishavuka hayo na nimekuuliza maswali wewe ambayo hujayajibu.

Imani ni fact?

Wewe leo ukiamini mavi yako ni Mungu wa kweli aliyeumba mbingu na nchi, mavi yako yatakuwa kweli Mungu aliyeumba mbingu na nchi?
 
Nishavuka hayo na nimekuuliza maswali wewe ambayo hujayajibu.

Imani ni fact?

Wewe leo ukiamini mavi yako ni Mungu wa kweli aliyeumba mbingu na nchi, mavi yako yatakuwa kweli Mungu aliyeumba mbingu na nchi?
Ni yapi uliyoyavuka?
 
First things first.

Unaelewa kwamba mtu kuingia chumbani kwako hivyo hakuhitaji uchawi,ni kitu kinachoweza kuelezewa vizuri tuna sayansi bila kuhitaji uchawi wowote?
Hebu elezea vizuri hii,am curious to know mkuu
 
Hebu elezea vizuri hii,am curious to know mkuu
Kungekuwa na Watanzania wawili kati ya kumi wana utashi kama wako, tungefika mbali.

Nilitarajia swali hili zamani sana.

Sijaliona.

Mpaka sasa najitayarisha kulala nakata tamaa kuna mtu atauliza ndo nakuina unaokoa jahazi.

Ni hivi.

Wewe hapo ulipo. Mwili wako.

Ukuta wa nyumba, ulivyojenhwa.

Nyoye mko 99.99999% empty space.

Tafuta kwenye vitabu vyote vya sayansi vinavyoelewa latest atomic theory na quantum physics.

Sasa kamanwewe ni 99.99999% empty space. Na ukuta nao ni 99.99999% empty space, mtu akijua jinsi ya ku align hiyo 99.99999% yake ya empy space iende sawa na 99.99999% empty space ya ukuta, ili ile 0.000001 yake yenye matter isikutane na ile 0.000001% yenye matter ya ukuta, akapita kwenye ukuta bila mkwaruzo, kwa mujibu wa quantum physics, tutasema huo ni uchawi au quantum physics tu ambayo hatujaijua?

Sisemi kwamba hicho ndicho kilichotokea. La hasha. Sina ushahidi huo.

Naukiza tu.

Kwa nini tuko tayari sana kurukia kukubali uchawi, wakati mambo ambayo tunasema ni ya uchwai hata kwenye sayansi yanaweza kutokea bila mgogoro wowote tu?

Ni sawa na mtu aue kwa sumu 8nayoeleweka vizuri kwa Chemistry, kwamba ukimpulizia mtu hewa hii anakufa, kwa sababu ya chemical rwactions zitakazotokea katika mwili, halafu mtu akitumia sumu ile kuua hivyo hi yo kwa kumpulizia mtu tumuite mchawi.

Huyo atakuwa mchawi kweli au tunampa cheo cha uchawi tu wakati kiukweli pale katumia Chemistry tu?

Sijajibiwa swali hili.
 
Kungekuwa na Watanzania wawilinkatibya kumi wana utashibkama wako, tungefika mbali.

Nilitarajia swali hili zamani sana.

Sijaliona.

Mpaka sasa najitayarisha kulala nakata tamaa kuna mtu atauliza ndo nakuina unaokoa jahazi.

Ni hivi.

Wewe hapo ulipo. Mwili wako.

Ukuta wa nyumba, ulivyojenhwa.

Nyoye mko 99.99999% empty space.

Tafuta kwenye vitabu vyote vya sayansi vinavyoelewa latest atomic theory na quantum physics.

Sasa kamanwewe ni 99.99999% empty space. Na ukuta nao ni 99.99999% empty space, mtu akijua jinsi ya ku align hiyo 99.99999% yake ya empy space iende sawa na 99.99999% empty space ya ukuta, ili ile 0.000001 yake yenye matter isikutane na ile 0.000001% yenye matter ya ukuta, akapita kwenye ukuta bila mkwaruzo, kwa mujibu wa quantum physics, tutasema huo ni uchawi au quantum physics tu ambayo hatujaijua?

Sisemi kwamba hicho ndicho kilichotokea. La hasha. Sina ushahidi huo.

Naukiza tu.

Kwa nini tuko tayari sana kurukia kukubali uchawi, wakati mambo ambayo tunasema ni ya uchwai hata kwenye sayansi yanaweza kutokea bila mgogoro wowote tu?

Ni sawa na mtu aue kwa sumu 8nayoeleweka vizuri kwa Chemistry, kwamba ukimpulizia mtu hewa hii anakufa, kwa sababu ya chemical rwactions zitakazotokea katika mwili, halafu mtu akitumia sumu ile kuua hivyo hi yo kwa kumpulizia mtu tumuite mchawi.

Huyo atakuwa mchawi kweli au tunampa cheo cha uchawi tu wakati kiukweli pale katumia Chemistry tu?

Sijajibiwa swali hili.
Mmmh,nakuelewa
Ila nahitaji kujua how to merge this quantum physics in spiritual perfective and hence the so called magics zinatokea
If theres any books tuwekee mkuu wengine tunapenda kujua vitu vingi
 
Mmmh,nakuelewa
Ila nahitaji kujua how to merge this quantum physics in spiritual perfective and hence the so called magics zinatokea
If theres any books tuwekee mkuu wengine tunapenda kujua vitu vingi
That is, if there is such a thing at all.

I have some books.

For starters Sir Roger Penrose's , "The Road To Reality: A Complete Guide to The Laws of The Universe". Caveat, tye book is some 1100 pages the first 383 pages of the book is heavy mathematics. i am talking about top to bottom of page math. Even Physics description starts on page 383.

You probably need another life, an entire life, dedicated to this one book.
 
That is, if there is such a thing at all.

I have some books.

For starters Sir Roger Penrose's , "The Road To Reality: A Complete Guide to The Laws of The Universe". Caveat, tye book is some 1100 pages the first 383 pages of the book is heavy mathematics. i am talking about top to bottom of page math. Even Physics description starts on page 383.

You probably need another life, an entire life, dedicated to this one book.
Samahani Mkuu ,can you upload it over here boss,for the sake of kukitafuta Google na naweza nisikipate exactly chenyewe?
 
Achana na mengine yote jibu swali la asili. . je una AKILI? Ukishalijibu hilo ndio tutakuja sasa kwenye tafsiri ya akili
Kumbuka swali halijibiwi kwa swali kama unajiamini
Mkuu mfafanulie hiyo akili ni nini ili aahindwe kukwepa swali lako!
 
Back
Top Bottom