Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Mara zote huwa unaniambia sijui tofauti ya hayo maneno na mie huwa sichoki kukuambie unipe maana ya hayo maneno,ila matokeo yake unaingia mitini.

Na leo nakwambie tena eleza tofauti ya hayo maneno ujuzi,kujua na kuamini.

Kila mara natoa huu mfano.

Nikiwa nakuja kwako,sina hakikakama upo kwako,lakini nafikiriutakuweponyumbani, maana kuna mpira leo na wewe hupenda kutulia nyumbani kuangalia mpira, wakati nakuja,sina hakika ya kusema upo kwako, hapo naamini upokwako.

Nakuja kwako, kwakuaminikwamba upo, sina hakika, sijuikama upo kwako au umebanwa kazini.

Hapo naamini.

Nikifika kwako, nikakuona, uko kwako, hapo nimeshajua kwamba upo kwako, siamini tena kwamba upo kwako, najua.

Sasa weweunachanganya mawili hayo. Unataka kutuambia kwamba kuna kitu unakiamini n akukijua kwa wakati mmoja.

Wakati kukua maana yake si kuamini na kuamini si kujua.
 
Kila mara natoa huu mfano.

Nikiwa nakuja kwako,sina hakikakama upo kwako,lakini nafikiriutakuweponyumbani, maana kuna mpira leo na wewe hupenda kutulia nyumbani kuangalia mpira, wakati nakuja,sina hakika ya kusema upo kwako, hapo naamini upokwako.

Nakuja kwako, kwakuaminikwamba upo, sina hakika, sijuikama upo kwako au umebanwa kazini.

Hapo naamini.

Nikifika kwako, nikakuona, uko kwako, hapo nimeshajua kwamba upo kwako, siamini tena kwamba upo kwako, najua.

Sasa weweunachanganya mawili hayo. Unataka kutuambia kwamba kuna kitu unakiamini n akukijua kwa wakati mmoja.

Wakati kukua maana yake si kuamini na kuamini si kujua.

Sijakwambia utoe mifano kwanza,maana hiyo mifano bado haielezi maana hasa ya hayo maneno.

Nimekwambia uniambie maana ya hayo maneno Ujuzi,kujua na kuamini.
 
Sijakwambia utoe mifano kwanza,maana hiyo mifano bado haielezi maana hasa ya hayo maneno.

Nimekwambia uniambie maana ya hayo maneno Ujuzi,kujua na kuamini.
Mbona maana nimekwambia nimetoanamifano, badounauliz amifano.

Kujua ni kufahamu kitu kwa hakika, kuamini ni kutarajia kitu kiwe namna fulani, bila ya kuwa na hakika kuwa kiko hivyo.

Huwezi kujua na kuamini kitu kwawakati mmoja, it is either or.
 
Mbona maana nimekwambia nimetoanamifano, badounauliz amifano.

Kujua ni kufahamu kitu kwa hakika, kuamini ni kutarajia kitu kiwe namna fulani, bila ya kuwa na hakika kuwa kiko hivyo.

Huwezi kujua na kuamini kitu kwawakati mmoja, it is either or.
Acha uongo.!vyote vinaweza kutumika kwa pamoja
 
Mbona maana nimekwambia nimetoanamifano, badounauliz amifano.

Kujua ni kufahamu kitu kwa hakika, kuamini ni kutarajia kitu kiwe namna fulani, bila ya kuwa na hakika kuwa kiko hivyo.

Huwezi kujua na kuamini kitu kwawakati mmoja, it is either or.
Ukisema kuamini ni kutarajia wewe unaona maana hiyo itaendana na mtu akisema anaamini kitu kuhusu marehemu babu yake aliyekufa maika mingi huko?

Kwa sababu kutaraji ni mategemeo au matazamio,sasa hauwezi ukataraji kitu ambacho kilishatokea hakipo.

Sioni kama hiyo maana inaendana na uhalisi wa matumizi ya neno kuamini.

Kama kujua ni kufahamu kitu kwa hakika basi watu wengi hatuwajui baba na mama zetu.
 
Uchawi ni nini?

Mababu zetu walipoona wazungu wanakuja na gramophone inapiga muziki waliona uchawi.

Walivyoona redio inatangaza habari, waliona uchawi.

Wangekuwepo leo na kuona ndege zinapaaangani, na sisi tunawasiliana moja kwa moja kwenye internet dunia nzima, wangeona uchawi.

Muandishi maarufu wa Science Fiction, Arthur C.Clarke, alikuwa na msemowake "Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic".

Sasa wewe unajuaje kwamba huo unaofikiri ni uchawi ni uchawi kweli, ana sikarata tatu tu, ugonjwa wa akili au chemistry ambayo hujaijua?

Kuna watu walikamatwa wanacheza uchi Kenya, wiki chache zilizopita, watu wakasema uchawi.

Wamekamatwa wakiwa wameiba gari, ikadaiwa kwamba mwenye gari aliweka uchawi kwenye gari, wakawehuka, wakaanza kucheza uchi.

Watu wanaopenda kuamini uchawi wakasemahilo linathibitisha uchawi.

Nikasema, hilo ni changa la macho. Baadaye ikaja kugundulikani mpango umepangwa na mganga wa kienyeji apate kiki.

Soma zaidi hapa

Police arrest fake thieves, witch doctors for stage-managing Mombasa incident - Nairobi News

Juzi hapa tumesikia habari za mtu eti kashindwa kutua mzigo alioiba, mpaka mwenye mali akaja.

Kumbe ni uzushi na njama tupu, jamaa alihojiwa mpaka Clouds FMikaonekana ni mpango tu umesukwa.

Sasa wewe unajuaje hayo unyoaminini uchawi, na sikitu kingine tofauti?

Kuna watu kibao wana matatizo ya umasikini, magonjwa ya akili ambayo hata majina yake hatuyajui.Ukimkuta mtu kaanguka uchi,badala ya kuchunguza ujue sababu, kwa nini unakimbilia kusema uchawi?
Uchawi ni kumfuma mtu ndani kwako akiwa uchi na mahali alipopitia hapaeleweki huku milango na madirisha yote yamefungwa madhubuti kiasi hata ukiwa na jiwe fatuma huvunji
Uchawi ni kutembea na mke wa mtu aliyefungwa tego matokeo yake mnanasiana viungo vyenu vya uzazi hamtoki mpaka mwenye mke aje..(nimeshashuhudia)
Uchawi ni kutembea na mke wa mganga aliyefungwa tego..(nimeshuhudia kwa ndugu yangu) Kitendo cha kumuingilia tu unakauka hapohapo kama mtu aliyekumbatia transformer la umeme!!(nenda tanga katembee na mke wa mganga halafu uje kutupa mrejesho tayari ukiwa kuzimu)

Uchawi upo mkuu
 
Hujaeleza kivipi.

You are less thanmuongoau aliyekosea.

Umebwabwaja tu.
Hivyo unataka kuniambia mpaka leo watanzania wengi Bado Tunaamini kuwa Magufuli ni raisi

Lakini bado hatujajua kwakuwa hatujaonana nae ana kwa ana?
 
Uchawi ni kumfuma mtu ndani kwako akiwa uchi na mahali alipopitia hapaeleweki huku milango na madirisha yote yamefungwa madhubuti kiasi hata ukiwa na jiwe fatuma huvunji
Uchawi ni kutembea na mke wa mtu aliyefungwa tego matokeo yake mnanasiana viungo vyenu vya uzazi hamtoki mpaka mwenye mke aje..(nimeshashuhudia)
Uchawi ni kutembea na mke wa mganga aliyefungwa tego..(nimeshuhudia kwa ndugu yangu) Kitendo cha kumuingilia tu unakauka hapohapo kama mtu aliyekumbatia transformer la umeme!!(nenda tanga katembee na mke wa mganga halafu uje kutupa mrejesho tayari ukiwa kuzimu)

Uchawi upo mkuu

First things first.

Unaelewa kwamba mtu kuingia chumbani kwako hivyo hakuhitaji uchawi,ni kitu kinachoweza kuelezewa vizuri tuna sayansi bila kuhitaji uchawi wowote?
 
Hivyo unataka kuniambia mpaka leo watanzania wengi Bado Tunaamini kuwa Magufuli ni raisi

Lakini bado hatujajua kwakuwa hatujaonana nae ana kwa ana?
Kwani ni wapi nimekwambia kujua ni lazima kuona?

Wanaosema wanajua 1 + 1 = 2, hiyo 1 wameiona wapi?
 
Uchawi ni kumfuma mtu ndani kwako akiwa uchi na mahali alipopitia hapaeleweki huku milango na madirisha yote yamefungwa madhubuti kiasi hata ukiwa na jiwe fatuma huvunji
Uchawi ni kutembea na mke wa mtu aliyefungwa tego matokeo yake mnanasiana viungo vyenu vya uzazi hamtoki mpaka mwenye mke aje..(nimeshashuhudia)
Uchawi ni kutembea na mke wa mganga aliyefungwa tego..(nimeshuhudia kwa ndugu yangu) Kitendo cha kumuingilia tu unakauka hapohapo kama mtu aliyekumbatia transformer la umeme!!(nenda tanga katembee na mke wa mganga halafu uje kutupa mrejesho tayari ukiwa kuzimu)

Uchawi upo mkuu
Kuhusu tanga mkuu ni ukweli 100%
 
First things first.

Unaelewa kwamba mtu kuingia chumbani kwako hivyo hakuhitaji uchawi,ni kitu kinachoweza kuelezewa vizuri tuna sayansi bila kuhitaji uchawi wowote?
Enhee anaingiaje ingiaje ilhali hata funguo malaya hana yupo uchi tu?
Au unataka kuleta habari ya teleportation ishafika bongo[emoji3]
 
Enhee anaingiaje ingiaje ilhali hata funguo malaya hana yupo uchi tu?
Au unataka kuleta habari ya teleportation ishafika bongo[emoji3]
Kwa sababu ukuta wowote utakaoujenga 99.999999% ni empty space.
 
Tatizo mkuu ww unayo elimu nzuri hutaki kuwapa faida wenzako umekaa nayo mwenyewe hiyo inakuwa huitendei haki nilitaka kujifunza mengi kupitia ww lakn unanikatisha hutaki challenge kama sijakosea ktk post yako ya nyuma ukanitoa mkuku ukisema hutaki mjadala sasa hv naona km unadonoa unaondoka unatakiwa utupe elimu ili tukubali nashndwa kukuelewa, Mkuu Samaritan mbn tunaenda vzr?
Sijakupata vema
 
Kwani ni wapi nimekwambia kujua ni lazima kuona?

Wanaosema wanajua 1 + 1 = 2, hiyo 1 wameiona wapi?
Kupitia mfano uliotoa kutofautisha imani na kujua

Kwakuwa si huyo tu uliyewahi kumwambia hajui tofauti.

Na huu mfano wako wa namba pia unakuhusu_Wema+Ubaya=Mungu.

kwani haiwezekani.
 
Kupitia mfano uliotoa kutofautisha imani na kujua

Kwakuwa si huyo tu uliyewahi kumwambia hajui tofauti.

Na huu mfano wako wa namba pia unakuhusu_Wema+Ubaya=Mungu.

kwani haiwezekani.
Hapahata sielewi unakusudia nini.

Na huo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na ujuzi wote hayupo.

Angekuwepo, kungekuwa hakuna kutoelewana kabisa.
 
Back
Top Bottom