Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Sasa kwanini wafungwa hawapenyi kwenye kuta za magereza wakatoroka?
Nani ambae alishawahi kupenya kwenye ukuta bila kutumia uchawi?
Kwa nini Dr. Bilal hakugundua bomu la nuclear la Tanzania?

Uchawini nini? Mtu akipenya kwenye ukuta utajuaje huyu katumia uchawi na hajatumia quantum physics tu?

Hususan kwa sababu tushaona zaidi ya 99% ya ukuta ni empty space na zaidi ya 99% ya mwiliwamtu ni empty space?
 
Atagunduaje wakati uwezo hana?
Sasa na hao wafungwa wakikwambia uwezo hawana, utashangaa nini?

Uchawini nini? Mtu akipenya kwenye ukuta utajuaje huyu katumia uchawi na hajatumia quantum physics tu?

Hususan kwa sababu tushaona zaidi ya 99% ya ukuta ni empty space na zaidi ya 99% ya mwiliwamtu ni empty space?

Kama katumia quantum physics tu na wewe huijui, utajuaje huyu katumia uchawi au quantum physics?

quote-clarke-s-third-law-any-sufficiently-advanced-technology-is-indistinguishable-from-magic-arthur-c-clarke-219641.jpg
 
Sasa na hao wafungwa wakikwambia uwezo hawana, utashangaa nini?

Uchawini nini? Mtu akipenya kwenye ukuta utajuaje huyu katumia uchawi na hajatumia quantum physics tu?

Hususan kwa sababu tushaona zaidi ya 99% ya ukuta ni empty space na zaidi ya 99% ya mwiliwamtu ni empty space?

Kama katumia quantum physics tu na wewe huijui, utajuaje huyu katumia uchawi au quantum physics?

quote-clarke-s-third-law-any-sufficiently-advanced-technology-is-indistinguishable-from-magic-arthur-c-clarke-219641.jpg
Na wale wanaonasiana nao ni nini kama sio uchawi
 
Hapahata sielewi unakusudia nini.

Na huo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na ujuzi wote hayupo.

Angekuwepo, kungekuwa hakuna kutoelewana kabisa.
Pinduka pinduka tu.huna jipya

Ulitaka akuumbe mkamilifu?

Sasa kungekuwa na Tofauti Gani kati yake na yako

Mimi na wewe tungechat saa ngapi!? Wakati wewe ndio mimi.!?

"Ignorance is Blessing"_wenye kujua Mungu tu ndio wanafahamu uradhi wa hilo.Na ndio Tamu ya maisha.
 
Na wale wanaonasiana nao ni nini kama sio uchawi
Nimekuuliza, uchawi ni nini? Utajuaje huu ni uchawi na hii ni sayansi ambayo sijaijua tu?

Babu na bibi zetu walivyoona wazungu wamekujana gramophone, na redio, waliona uchawi.

Ukiwafufua uwaoneshe leo tunaangalia TV, ndege zinaruka,tunawasiliana na mitandao dunia nzima, wataona uchawi.

Kumbe si uchawi, ni teknolojia tu ambazo hawazijui.

Sasa wewe utajuaje kwamba hichounachofikiri niuchawi, ni uchawi kweli na si teknolojia tu usiyoijua?

Hujanijibu swali hili.
 
Pinduka pinduka tu.huna jipya

Ulitaka akuumbe mkamilifu?

Sasa kungekuwa na Tofauti Gani kati yake na yako

Mimi na wewe tungechat saa ngapi!? Wakati wewe ndio mimi.!?

"Ignorance is Blessing"_wenye kujua Mungu tu ndio wanafahamu uradhi wa hilo.Na ndio Tamu ya maisha.
Hata hoja yangu hujaielewa, na kwa hiyo huwezi kuijibu.
 
Contradiction anayo Mungu au ipo kwenye Vitabu.?
Utajuaje kama anayo Mungu au ipo kwenye vitabu hata nikikuambia wakati wewe unaamini contradiction na hivyo hujui tofauti ya Mungu na vitabu ni nini, kwa sababu unaamini contradiction inayoweza kufanya kitabu kiwe Mungu na Mungu awe kitabu na usione tofauti ya Mungu na kitabu.

Sasa nitaanzia wapi kukuelewesha?
 
Nimekuuliza, uchawi ni nini? Utajuaje huu ni uchawi na hii ni sayansi ambayosijaijua tu?

Babu na bibi zetu walivyoona wazungu wamekujana gramophone, na redio, waliona uchawi.

Ukiwafufua uwaoneshe leo tunaangalia TV, ndege zinaruka,tunawasiliana na mitandao dunia nzima, wataona uchawi.

Kumbe si uchawi, ni teknolojia tu ambazo hawazijui.

Sasa wewe utajuaje kwamba hichounachofikiri niuchawi, ni uchawi kweli na si teknolojia tu usiyoijua?

Hujanijibu swali hili.
Mkuu tofautisha kati ya sayansi na uchawi
Huwezi kuniambia mtu kawekewa tego na kunasa ukaja kuniambia pengine ni sayansi ambayo sijaijua,. Sayansi ya wapi hiyo
Mke wa mtu anamkausha mtu kama shoti ya umeme halafu uje uniambie itakuwa ni sayansi fulani haijagundulika..
Kama ni hivyo basi hata Mungu nae ni sayansi fulani ambayo wewe hujaijua ila sisi tumeshaijua,. Kwahiyo tunapokwambia yupo usikatae
 
Utajuaje kama anayo Mungu au ipo kwenye vitabu hata nikikuambia wakati wewe unaamini contradiction na hivyo hujui tofauti ya Mungu na vitabu ni nini, kwa sababu unaamini contradiction inayoweza kufanya kitabu kiwe Mungu na Mungu awe kitabu na usione tofauti ya Mungu na kitabu.

Sasa nitaanzia wapi kukuelewesha?
Naamini Contradiction.!?

Acha kujinonesha kufikiri kwangu, sijakuambia chochote kuhusu imani yangu

Unanikadiriaje?

Labda ungefafanua Vile unavyoona naamini hiyo contradiction
 
Mkuu tofautisha kati ya sayansi na uchawi
Huwezi kuniambia mtu kawekewa tego na kunasa ukaja kuniambia pengine ni sayansi ambayo sijaijua,. Sayansi ya wapi hiyo
Mke wa mtu anamkausha mtu kama shoti ya umeme halafu uje uniambie itakuwa ni sayansi fulani haijagundulika..
Kama ni hivyo basi hata Mungu nae ni sayansi fulani ambayo wewe hujaijua ila sisi tumeshaijua,. Kwahiyo tunapokwambia yupo usikatae
Wewe hujui sayansi. Tumeona hapo juu. Na hata mimi niliyekuambia kitu cha sayansi ambacho umeonekana kutokijua, sijaimaliza sayansi, kunamengi sijui.

Ukiona kitu usichokijua, utajuaje huu ni uchawi na si sayansi?

Nimekuuliza, uchawi ni niina utajuaje huu ni uchawi na si sayansi nisiyoijua, habari za uongo au kiinimacho?

Hujanijibu.
 
Naamini Contradiction.!?

Acha kujinonesha kufikiri kwangu, sijakuambia chochote kuhusu imani yangu

Unanikadiriaje?

Labda ungefafanua Vile unavyoona naamini hiyo contradiction
Haya, tuanze upya, naimbie huyo Mungu unayemuamini ni yupi.
 
Naamini Contradiction.!?

Acha kujinonesha kufikiri kwangu, sijakuambia chochote kuhusu imani yangu

Unanikadiriaje?

Labda ungefafanua Vile unavyoona naamini hiyo contradiction
Sijui ni nini sababu mimi sio mchawi
Na wewe usije tena kutuambia habari za Mungu hayupo wakati hujui kama uwepo wake ni sayansi usiyoijua au la
 
Kuulizia Mungu anayemuamini ni kuzungumzia imani,na wewe unasema hautaki habari za kuamini.
Kwa hiyo umekubali Mungu unamuamini, huna hakika yupo, humjui kwa hakika?

Kama la, Mungu unayemjua asiye na contradictiin ni yupi?
 
Kwa hiyo umekubali Mungu unamuamini, huna hakika yupo, humjui kwa hakika?

Kama la, Mungu unayemjua asiye na contradictiin ni yupi?
Ngoja kwanza twende taratibu.

Wewe unasema haupo hapa kuzungumzia imani bali fact,sasa nimeshangaa unamuuliza mtu Mungu yupi anayemuamini.

Hebu weka sawa kwanza hapo.
 
Ngoja kwanza twende taratibu.

Wewe unasema haupo hapa kuzungumzia imani bali fact,sasa nimeshangaa unamuuliza mtu Mungu yupi anayemuamini.

Hebu weka sawa kwanza hapo.
Huyo ninayemuuliza hata hajui tofauti ya imani na fact.

Kama wewe.

Unaelewa hilo?
 
Back
Top Bottom