Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,906
Kwani mkuu nimefanya vibaya kuuliza hivyo vitabu kwanini vifichwe na sio kuchomwa moto vikapotea kabisa?Umekuja na majibu yako tayari. Thats why hutakubali. Mtu yeyote anayetaka kufahamu jambo, atasikiliza kwanza bila bias, atafanya his own reserch na atajua asimame wapi. Hivyo ni juhudi zako binafsi.
Nikuulize tu, hivi kama biblia inayote juu ya maisha kwanini isitumike pekee kufundishia yote? Si imebeba yote yapasayo? Kwanini uitenge na elimu nyingine? Kama yafaa waweke biblia shuleni na kila mahali iweyenyewe tu.Kwakua imebeba yote.
Biblia ilipaswa ikufungue juu ya kila kitu na usitegemee other sources. Sasa wewe unasoma biblia ukitaka jambo juu ya nutrients na matibabu ya afya yako unatafuta vitabu visivyo niambie kwanini?
Maana naona umetmchukulia kama vile nimeuliza kwa shari.