sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
Mkuu sasa unabore kilasiku thread zako ni Mnyika na Halima Mdee mbona huku kigamboni husemi acha unafiki una ujinga wa kitoto
Halafu walivyo mapuruzai wakizungumzia Mnyika wanajifanya wakazi wa Ubungo na walimpa kura zao.. Baadae wakija kwa Mdee wanajifanya wakazi wa kawe na kura walimpa..! Hawajui wanatakiwa wawe na kumbukumbu wanapokuwa waongo..