Kipindi kigumu jimboni Kawe

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
Wananchi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi kigumu cha kukosa mwakilishi aliye makini bungeni katika kipndi cha mwaka 2010 kuelekea 2015. Mbunge aliyeingia kwa mbwembwe nyingi Halima Mdee amekuwa ni zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe.

Tangu amechaguliwa:
1. Hapendi kuitisha mikutano ili kupata mawazo ya wananchi
2. Wananchi wa Madale waliopatwa na mashambulizi ya polisi wamekosa pole na msaada wake
3. Wakazi wa Majipwande wanamlilia kwa kutopata msaada wa mali na faraja toka kwake
4. Mfuko wa Jimbo haujatolewa maelelezo kwa wananchi
5. Kushindwa kutekeleza ahadi zake za kuinua kiuchumi vikundi vya vijana na wanawake
6. Kushindwa kutatua matatizo wanayoyapata vijana wa bodaboda na bajaji

Hizo ni kero chache ambazo zilitakiwa zifanyiwe kazi na mbunge wetu.

Kwa kweli wakazi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi tete tunamkumbuka RITA Mlaki ambaye alikuwa karibu na wapiga kura.
 
Ww c cuf na ccm hata kula hukumpa mdee. kaa pembeni then kula G.
 
...We kweli akili magamba!!!....unamuona Halima Mdee zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe...lakini wakati huo huo humuoni DHAIFU alivyo zigo kwa wapiga kura na kujisaidia mwenyewe, mafisadi wenzake, wageni wanaojifanya wawekezaji na familia yake!!!! Ama kweli Nyani haoni......

Wananchi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi kigumu cha kukosa mwakilishi aliye makini bungeni katika kipndi cha mwaka 2010 kuelekea 2015. Mbunge aliyeingia kwa mbwembwe nyingi Halima Mdee amekuwa ni zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe.

Tangu amechaguliwa:
1. Hapendi kuitisha mikutano ili kupata mawazo ya wananchi
2. Wananchi wa Madale waliopatwa na mashambulizi ya polisi wamekosa pole na msaada wake
3. Wakazi wa Majipwande wanamlilia kwa kutopata msaada wa mali na faraja toka kwake
4. Mfuko wa Jimbo haujatolewa maelelezo kwa wananchi
5. Kushindwa kutekeleza ahadi zake za kuinua kiuchumi vikundi vya vijana na wanawake
6. Kushindwa kutatua matatizo wanayoyapata vijana wa bodaboda na bajaji

Hizo ni kero chache ambazo zilitakiwa zifanyiwe kazi na mbunge wetu.

Kwa kweli wakazi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi tete tunamkumbuka RITA Mlaki ambaye alikuwa karibu na wapiga kura.
 
Tunasubiri 2015 tumkabidhi jimbo KIPE,ni wendawazimu anachokifanya huyu dada tena hana adabu anafanya utumbo kwenye jimbo analoishi katibu mkuu wake.
 
sasa kwanini tunapenda kujustfy udhaifu wa mtu kwa kulinganisha na udhaifu wa Jk? Nafikiri mleta mada kaeleweka,tatizo hapa baadhi tunapenda au kuchukia mada bila kuwa na sababu.
"sikiliza shauri na kupokea mafundisho upate hekima ya kukufaa siku zijazo" (Meth 19:20)
 
Wananchi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi kigumu cha kukosa mwakilishi aliye makini bungeni katika kipndi cha mwaka 2010 kuelekea 2015. Mbunge aliyeingia kwa mbwembwe nyingi Halima Mdee amekuwa ni zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe.

Tangu amechaguliwa:
1. Hapendi kuitisha mikutano ili kupata mawazo ya wananchi
2. Wananchi wa Madale waliopatwa na mashambulizi ya polisi wamekosa pole na msaada wake
3. Wakazi wa Majipwande wanamlilia kwa kutopata msaada wa mali na faraja toka kwake
4. Mfuko wa Jimbo haujatolewa maelelezo kwa wananchi
5. Kushindwa kutekeleza ahadi zake za kuinua kiuchumi vikundi vya vijana na wanawake
6. Kushindwa kutatua matatizo wanayoyapata vijana wa bodaboda na bajaji

Hizo ni kero chache ambazo zilitakiwa zifanyiwe kazi na mbunge wetu.

Kwa kweli wakazi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi tete tunamkumbuka RITA Mlaki ambaye alikuwa karibu na wapiga kura.

Gombea basi wewe tukupe. We unataka mbunge ashugulikie kila kitu? hao wabunge wengine wamefanya nini? Magamba mna shida sana,, hizo pesa za jimbo waulize magamba wenzio maana wao ndo wanajua ziko wapi,,, wala usimlaumu Mdee. Na aliyekutuma mwambie huku JF tuko vizuri magorofani hatujadili hoja zisizo na mshiko. Huwezi anza kumlaumu mbunge wakati bado ana miaka miwili na ushee. Haya zile ahada 77 za mheshimiwa sana mbona huuliziii? kuna meli ngapi zimeshatengenezwa? Je kigoma imekuwa kama Dubai? Reli je? Nakushauri ukiwa bored badala ya kupost vitu kama hivi ingia hapa www.theudaku.blogspot.com:A S-coffee:
 
Gombea basi wewe tukupe. We unataka mbunge ashugulikie kila kitu? hao wabunge wengine wamefanya nini? Magamba mna shida sana,, hizo pesa za jimbo waulize magamba wenzio maana wao ndo wanajua ziko wapi,,, wala usimlaumu Mdee. Na aliyekutuma mwambie huku JF tuko vizuri magorofani hatujadili hoja zisizo na mshiko. Huwezi anza kumlaumu mbunge wakati bado ana miaka miwili na ushee. Haya zile ahada 77 za mheshimiwa sana mbona huuliziii? kuna meli ngapi zimeshatengenezwa? Je kigoma imekuwa kama Dubai? Reli je? Nakushauri ukiwa bored badala ya kupost vitu kama hivi ingia hapa www.theudaku.blogspot.com:A S-coffee:

Punguza JAZBA hoja ni kuhusu mbunge wetu usipende kuficha udhaifu wake kwa kuleta hoja isiyo na tija. Msaada kwake ni kupokea mawazo na kuyafanyia kazi kwa manufaa ya wakazi wa Kawe
 
hoja zinahitaji utekelezaji lakini sio kumlaumu maana aliyeshika kila kitu ni ccm sasa utakapo lalamika hatutakuwa tunamtendea haki yeye anapiga kelele ccm ndio wanafanya ingekuwa serikali iko chini ya chama chake hapo kila lawama zilitakiwa kuelekezwa kwake
 
hoja zinahitaji utekelezaji lakini sio kumlaumu maana aliyeshika kila kitu ni ccm sasa utakapo lalamika hatutakuwa tunamtendea haki yeye anapiga kelele ccm ndio wanafanya ingekuwa serikali iko chini ya chama chake hapo kila lawama zilitakiwa kuelekezwa kwake
Hivi kukutana na wanachi na kuwajulia shida zao nalo linahitaji jitihada za serikali ya ccm? mbona katika muda mfupi wa uchaguzi aliweza kuzungukia kata,kaya,mitaa yote ya jimbo lake na kutoa ahadi lukuki zenye matumaini.Any way tutakachokifanya hatoamini majicho yake atabakia kulalamika kuibiwa kula baada ya wananchi kughairi 2015.

 
hoja zinahitaji utekelezaji lakini sio kumlaumu maana aliyeshika kila kitu ni ccm sasa utakapo lalamika hatutakuwa tunamtendea haki yeye anapiga kelele ccm ndio wanafanya ingekuwa serikali iko chini ya chama chake hapo kila lawama zilitakiwa kuelekezwa kwake
hapana mkuu ni bora ange kuwa anafanya hata mikutano ya hadhara jimboni mwake kama wenzake wanapotoka bungeni tu inasaidia sana kuepusha maneno kama haya
 
Hakuna tofauti yoyote ya kimaendeleo jimbo la kawe tangu aingie halima.labda anajipanga kwa 2015 ndio ataleta maendeleo
 
hoja zinahitaji utekelezaji lakini sio kumlaumu maana aliyeshika kila kitu ni ccm sasa utakapo lalamika hatutakuwa tunamtendea haki yeye anapiga kelele ccm ndio wanafanya ingekuwa serikali iko chini ya chama chake hapo kila lawama zilitakiwa kuelekezwa kwake

hapo manake hatoshi.inabidi uchaguzi ujao tumpe mbunge wa chama kilichopo madarakani ili aweze kutekeleza
 
Wananchi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi kigumu cha kukosa mwakilishi aliye makini bungeni katika kipndi cha mwaka 2010 kuelekea 2015. Mbunge aliyeingia kwa mbwembwe nyingi Halima Mdee amekuwa ni zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe.

Tangu amechaguliwa:
1. Hapendi kuitisha mikutano ili kupata mawazo ya wananchi
2. Wananchi wa Madale waliopatwa na mashambulizi ya polisi wamekosa pole na msaada wake
3. Wakazi wa Majipwande wanamlilia kwa kutopata msaada wa mali na faraja toka kwake
4. Mfuko wa Jimbo haujatolewa maelelezo kwa wananchi
5. Kushindwa kutekeleza ahadi zake za kuinua kiuchumi vikundi vya vijana na wanawake
6. Kushindwa kutatua matatizo wanayoyapata vijana wa bodaboda na bajaji

Hizo ni kero chache ambazo zilitakiwa zifanyiwe kazi na mbunge wetu.

Kwa kweli wakazi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi tete tunamkumbuka RITA Mlaki ambaye alikuwa karibu na wapiga kura.
Mkuu wa Wilaya amefanya nini?
 
Wananchi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi kigumu cha kukosa mwakilishi aliye makini bungeni katika kipndi cha mwaka 2010 kuelekea 2015. Mbunge aliyeingia kwa mbwembwe nyingi Halima Mdee amekuwa ni zigo lisilosaidia wapiga kura badala yake anajisaidia mwenyewe.

Tangu amechaguliwa:
1. Hapendi kuitisha mikutano ili kupata mawazo ya wananchi
2. Wananchi wa Madale waliopatwa na mashambulizi ya polisi wamekosa pole na msaada wake
3. Wakazi wa Majipwande wanamlilia kwa kutopata msaada wa mali na faraja toka kwake
4. Mfuko wa Jimbo haujatolewa maelelezo kwa wananchi
5. Kushindwa kutekeleza ahadi zake za kuinua kiuchumi vikundi vya vijana na wanawake
6. Kushindwa kutatua matatizo wanayoyapata vijana wa bodaboda na bajaji

Hizo ni kero chache ambazo zilitakiwa zifanyiwe kazi na mbunge wetu.

Kwa kweli wakazi wa jimbo la Kawe tupo katika kipindi tete tunamkumbuka RITA Mlaki ambaye alikuwa karibu na wapiga kura.

Ni afadhali na bora ww umesema, mie niliisha andika humu zaidi ya mara 10 ahadi na ulaghai wa HM kwa wananchi wa kawe, mpaka sasa hajafanya chochote, yeye ni kwenye kumbi za starehe tu ndio utamuona, halafu tukisema mnasema anaonewa. HM ni janga la sie wana kawe, nadhani katika katiba ijayo kuwe na kipengele cha mbunge akishindwa kazi basi , mtu mwingine atoke kwenye chama chake aje achukue hiyo nafasi. Mie sina shida eti kwa kuwa ametoka cdm , ila cdm next election wamlete mtu makini sio HM hawezi kitu

 
Back
Top Bottom