Mkubwa nashukuru sana kwa matusi yako lakini tulikuwa tuna ARGUE mimi na wewe sasa kuanza kutukana na kukashifu watu wote wa CHADEMA si vizuri. Mzee wetu Dr. SLAA anaingiaje tena hapa na kuanza kumkashifu? Tushindane kwa hoja hata kama mimi ni chizi na sina akili but twende kwa hoja,, ulitakiwa unijibu kwa hoja na si kuporomosha matusi. Kama nilikugusa sana usiwe na jazba na kama huwezi kwenda kwa hoja basi kaa kimya tu. Kukaa kimya nako ni dawa kaka. ALL IN ALL NASHUKURU SANA NIMEKUSAMEHE HUJUI USEMAYO BUT IKO SIKU UTAJUTIA. UBARIKIWE SANA MKUBWA. 😛eace: