Kweli kabisa, huyo Joyce Kiria, not Kiwia or Kirya? Ni janga, nadhani hajui hata matumizi ya maneno, nadhani Elimu yake pia ni tatizo ndio maana anashindwa kuchambua mambo kwa uweledi na lugha ya staha. Na si yeye tu Kuna jamaa anaendesha Kipindi Radio EATV anaitwa Zembwea, duuuh, janga hajui hata mfumo wa serikali ukoje, hajui hata wapi watu wanapata haki zao..... Joyce Kiria alikuwa mchambuzi wa Bongo Movie kule Clouds FM kabla ya kuja wanawake LIVE, nadhani hayo mazingira ya Clouds na Kipindi alichokuwa anaongoza kule ndio kimemfanya ashindwe kufikir vyema na kujua lugha (muktadha) sahihi kwa wakati.
Elimu: Nina uhakika ni drs la saba, labda kama amejiendeleza sasa hivi, na alikuwa anauza duka la nguo KARIAKOO kwa Anaitwa Moria, analifukuzwa baada ya kutuhuma za kuwa mwingi wa habari kwenye eneo la kazi.
ALIWAHI KUOLEWA NA DJ maarafu ndani ya Clouds FM anaitrwa Muli Bling cjui nn, wanajua majina yao wenyewe! Unaweza kukonect dots..uwezo wake katika Wanawake Live na maisha yake ya nyuma...