Kipindi cha 'Wanawake Live' na madhara yake

Believe me, huyo dada ni akili ndogo,ni nafasi tu katika maisha kama ilivyo kwa kina josephine mushumbuzi!!

umekuja na mlengo wa siasa zaidi wakati hapa ishu ni yakijamii.. nirud kwenye mada, huyu dada anajitahd sana kuendesha kipind kutokana na elimu yake pamoja na wajibu wake kwenye kipindi sababu niliwah sikia kuwa anaelim ya darasa la saba japo sina uhakika kama alijiendeleza au laah.. lakini pale anakutana na changamoto nyingi ambzo ni rahis kumpelekea akapanic tokana na hali anayoikuta kwa mwanamke mwenzie, la msing ni aweze kumudu tempa yake katika mazingra ya aina yoyote atakayokutana na hii itamsaidia kuhepusha hata hayo maneno makal.. lakin tukisema eti kiendeshwe na mwanamke mwenye shule, sijui uelewa wa hali ya juu ni uongo kwani kuna vipind vingap vnaendeshwa na watu wa aina hyo ila hakuna tunachojifunza? kwenye swala la maisha kuna ujuz na uelewa sasa unatakiwa kutambua kuendesha vipind km vle vinataka uelewa wa matatzo ya jamii husika na uelewa na uhalisia wa maisha yetu ya kila siku uko mtaani na sio kwenye lecture hall.. yule dada anapozunguka sn ndio anakutana na maisha halis ya mwanamke tofaut na alie kwenye lecture hall lakin elimu inakuja kwenye kurahisisha wakat wa utatuz wa tatzo na sio kwenye presentation ya kipindi.
 
Namshauri Joyce Kiwia atafute editor wa video afiche sura za waliodharirishwa, huwa wanajisikia vibaya kurushwa live na sura zao kwenye vyombo vya habari.
 
usemacho ni kweli,joyce anakuwa hakimu tena na mamlaka ya kuarest,yule mzee hakumfanyia sawa na mara nyingi kwenye familia kuna mambo yako nje ya uwezo wa mtu mwingine kudadafua,kwa ufupi joyce iko siku utapigwa mawe kwenye benzi yako ya jana
Katika television zetu pamekuwa na utitiri wa uanzishwaji wa vipindi vyenye kuongozwa na watu binafsi Mfano Jenerali on Monday, This week in perspective, je tutafika, mimi na tanzania-Hoyce Temu, Diary ya Lady Jay Dee, Wema Sepetu in My Shoes, WANAWAKE LIVE-CHA JOYCE KIWIA Kileo na vingine.

Uanzishwaji wa vipindi hivi sijui unazingatia nini lakini kipindi cha wanawake live ni kipindi Muhimu hasa ambapo wanawake tunahitaji usawa na wanaume lakini SI kuwa sawa., ni kipindi sensitive kinachohitaji mwongozaji makini pengine mwenye uelewa wa hali ya juu ya Gender, Sociology, Sheria, Pschology n.k mi sijui Joyce Kiwia ana elimu gani maana hiki kipindi kitageuka janga siku sio nyingi. Anatumia maneno makali kwa wanaume mf Aliwahi kumwambia mzee mmoja "mbebe mkeo kama ulivyokuwa unamtongoza"! ha-balance story (kusikiliza pande mbili) yeye anahukumu tu.

Lakini anaongea na mambo ambayo yanaweza kusababisha chuki kwenye familia hasa ambazo hazina uwezo wa kuchambua mambo vizuri na ndoa zitavunjika na kusambaratika nyingi. Lakini baadae itaathiri hata siasa za Henry Kilewo negatively kama mambo hayatabadilika.

Wanawawake tunahitaji utetezi bila kuathiri ndoa zetu au kudhalilisha waume zetu.
 
Kwa hiyo wewe kwa hivi vipindi vinavyoonyesha Nyumba watu wakijirusha, wakila bata na kuonyesha vitanda wanavyo lala na huku chupi zikiwa zimeanikwa ndio vinaongozwa na akili Kubwa.

Nitoleee uharo wako hapa!!!mi nshakula pilau ya mwaka mpya,usinitapishe!!Nimezungumzia akili ndogo za bi Joyce Kiria na nikazifanisha udogo wake na akili za Bi Josephine Mshumbuzi.Kiria laiti zingekuwemo,maudhui ya kipindi chake ni mazuri ,angekiendesha kukidhi maudhui,sasa imekuwa kama sehemu ya yeye naye kujidhihirisha naye yupo yupo tusimsahau ni kam tu hawala ya Padri!!na kimbelembele chake,hayo uliyoyazungumza mi cyajui,anzisha thread yake tuchangie!!!!Tafadhali kama hujala pilau ya mwaka mpya husinijibu,naogopa uharo mwenzio nimeshiba mie usije ukanitapisha.
 
Wewe unakuja na hizi shutuma ebu naomba tuangalie kati ya vipindi hivi ni kipi ambacho kimeweza kutoa msaada kwa jamii
- Wema Sepetu in my shoes
- The Mboni Show
- Diary ya Lady Jay Dee
- Wanawake Live
- Nivana
- Wanawake Live

Ukiangalia katika vipindi hivi ambavyo vinaongozwa na wanawake ukipima utaona kabisa hiki kipindi cha Wanawake Live kimejikita zaidi ndani ya yamii na hasa kumkomboa mwanamke kama kinavyojieleza kwani tumeweza kuona maeneo mbalimbali kama vile ndoa za utotoni, manyanyaso ya wanawake na hata manyanyaso ya watoto katika familia kwa hiyo kinatoa elimu tofauti na hivi vingene vya kuonyesha umaarufu tu na matumizi ya fedha ambazo hata hazijulikani wanazitoa wapi mwisho wa siku tutasikia na wao wamekamatwa na sembe huko China wanakoenda kila mara.

Hapo pekundu, huyu ndiye anaelimisha kupita wote, anaelimisha dada zetu wafanye mapenzi na mastaa ili wapate hela
 
umekuja na mlengo wa siasa zaidi wakati hapa ishu ni yakijamii.. nirud kwenye mada, huyu dada anajitahd sana kuendesha kipind kutokana na elimu yake pamoja na wajibu wake kwenye kipindi sababu niliwah sikia kuwa anaelim ya darasa la saba japo sina uhakika kama alijiendeleza au laah.. lakini pale anakutana na changamoto nyingi ambzo ni rahis kumpelekea akapanic tokana na hali anayoikuta kwa mwanamke mwenzie, la msing
ni aweze kumudu tempa yake katika mazingra ya aina yoyote atakayokutana na hii itamsaidia kuhepusha hata hayo maneno makal.. lakin tukisema eti kiendeshwe na mwanamke mwenye shule, sijui uelewa wa hali ya juu ni uongo kwani kuna vipind vingap vnaendeshwa na watu wa aina hyo ila hakuna tunachojifunza? kwenye swala la maisha kuna ujuz na uelewa sasa unatakiwa kutambua kuendesha vipind km vle vinataka uelewa wa matatzo ya jamii husika na uelewa na uhalisia wa maisha yetu ya kila siku uko mtaani na sio kwenye lecture hall.. yule dada anapozunguka sn ndio anakutana na maisha halis ya mwanamke tofaut na alie kwenye lecture hall lakin elimu inakuja kwenye kurahisisha wakat wa utatuz wa tatzo na sio kwenye presentation ya kipindi.

Mkuu sio lengo langu ila nimelinganisha tu!!!kumbuka Mshumbuzi ana shule ila mambo yao na wanayoyatekeleza yanafanana!!!!
 
NI JOYCE KIRIA SIO KIWIA.huyu mdada hoja zake hazina usawa kabisa,mara zote anajikita ktk shutuma dhidi ya wanaume,anashawishi wanawake wawe na kibri,pamoja na kujifanya yeye ni hakimu,
namshauri ajiendeleze kwanza kielimu maana ukimsikiliza uzumbukuku wake uko wazi kabisa.
 
Elimu ya darasani peke yake wakati mwingine inaweza isimsaidie mtu, vipindi kama hivi vinaweza kuongozwa na watu wa elimu ya kawaida.
Ninampinga anayetaka kuhusisha elimu na ubora wa Joyce Kiria katika kuendesha kipindi, mkitaka kujua fuatilieni elimu ya GWIJI WA KIPINDI CHA AINA HIYO LARRY KING ALIYEKUWA NA KIPINDI CHA LARRY KING LIVE. FUATILIENI ELIMU YAKE MUONE, Jamaa hakuwa na elimu ila wasomi na magwiji walikuwa wanamgwaya na bila kuhojiwa naye haupewi nafasi ya kuukwa urais US.

Wasomi tuache dharau, kuna wengi tumewazidi elimu but wapo mbali sana ki mafanikio na hata status kuliko sisi!
 
Katika television zetu pamekuwa na utitiri wa uanzishwaji wa vipindi vyenye kuongozwa na watu binafsi Mfano Jenerali on Monday, This week in perspective, je tutafika, mimi na tanzania-Hoyce Temu, Diary ya Lady Jay Dee, Wema Sepetu in My Shoes, WANAWAKE LIVE-CHA JOYCE KIWIA Kileo na vingine.

Uanzishwaji wa vipindi hivi sijui unazingatia nini lakini kipindi cha wanawake live ni kipindi Muhimu hasa ambapo wanawake tunahitaji usawa na wanaume lakini SI kuwa sawa., ni kipindi sensitive kinachohitaji mwongozaji makini pengine mwenye uelewa wa hali ya juu ya Gender, Sociology, Sheria, Pschology n.k mi sijui Joyce Kiwia ana elimu gani maana hiki kipindi kitageuka janga siku sio nyingi. Anatumia maneno makali kwa wanaume mf Aliwahi kumwambia mzee mmoja "mbebe mkeo kama ulivyokuwa unamtongoza"! ha-balance story (kusikiliza pande mbili) yeye anahukumu tu.

Lakini anaongea na mambo ambayo yanaweza kusababisha chuki kwenye familia hasa ambazo hazina uwezo wa kuchambua mambo vizuri na ndoa zitavunjika na kusambaratika nyingi. Lakini baadae itaathiri hata siasa za Henry Kilewo negatively kama mambo hayatabadilika.

Wanawawake tunahitaji utetezi bila kuathiri ndoa zetu au kudhalilisha waume zetu.

Asikuumize kichwa kaka huyo ni kibaraka miongoni mwa vibaraka wa mataifa ya magharibi yaliyokusudia kumvuruga mwanamke kwa kumdanganya kuwa wanamtetea.
Kama wanamtetea mwanamke apate hadhi na heshima wanazungumzaje juu ya utitiri wa wanawake wanaojiuza,wanazungumzaje kuhusu wanenguaji wa miziki etc mbona hata siku moja hawaonekani kwa nguvu zote wakikemea wanaume wanaowafanya wanawake ni kitu dharili kwa kuwafanya wakae uchi mbele ya watu.
 
Kuna uzi nilishaleta humu kuhusu joyce kuwaonesha waathrika wa kijinsia sura zao. Next vipindi alibadilika na hope atachange pia.
 
namshauri joyce kiwia atafute editor wa video afiche sura za waliodharirishwa, huwa wanajisikia vibaya kurushwa live na sura zao kwenye vyombo vya habari.

it is unethical and i said it here few months ago.
 
"jamani wanaume msiwe mnatugeuza geuza kama samaki "_by joyce kiria on wanawake live tv program.kama kweli umepitia darasa la journalism,kuna maneno mengine huwezi tamka live kwenye tv. Choice of words is very important for journalist.
 
Dada Joyce ni jeeeeembe.........Amethubutu na Ameweza.....Oprah said"With D's(Diplomas,Degrees)or NO D's....You Can Be Who You Want To Be In Life................"
,,,,,People Will Always Have Something To Say But Who Cares?
Bury 'Em Haters With Success Mom........
 
Katika television zetu pamekuwa na utitiri wa uanzishwaji wa vipindi vyenye kuongozwa na watu binafsi Mfano Jenerali on Monday, This week in perspective, je tutafika, mimi na tanzania-Hoyce Temu, Diary ya Lady Jay Dee, Wema Sepetu in My Shoes, WANAWAKE LIVE-CHA JOYCE KIWIA Kileo na vingine.

Uanzishwaji wa vipindi hivi sijui unazingatia nini lakini kipindi cha wanawake live ni kipindi Muhimu hasa ambapo wanawake tunahitaji usawa na wanaume lakini SI kuwa sawa., ni kipindi sensitive kinachohitaji mwongozaji makini pengine mwenye uelewa wa hali ya juu ya Gender, Sociology, Sheria, Pschology n.k mi sijui Joyce Kiwia ana elimu gani maana hiki kipindi kitageuka janga siku sio nyingi. Anatumia maneno makali kwa wanaume mf Aliwahi kumwambia mzee mmoja "mbebe mkeo kama ulivyokuwa unamtongoza"! ha-balance story (kusikiliza pande mbili) yeye anahukumu tu.

Lakini anaongea na mambo ambayo yanaweza kusababisha chuki kwenye familia hasa ambazo hazina uwezo wa kuchambua mambo vizuri na ndoa zitavunjika na kusambaratika nyingi. Lakini baadae itaathiri hata siasa za Henry Kilewo negatively kama mambo hayatabadilika.

Wanawawake tunahitaji utetezi bila kuathiri ndoa zetu au kudhalilisha waume zetu.

Huyo joyce kiwia ni yupi tena.
 
Elimu ya darasani peke yake wakati mwingine inaweza isimsaidie mtu, vipindi kama hivi vinaweza kuongozwa na watu wa elimu ya kawaida.
Ninampinga anayetaka kuhusisha elimu na ubora wa Joyce Kiria katika kuendesha kipindi, mkitaka kujua fuatilieni elimu ya GWIJI WA KIPINDI CHA AINA HIYO LARRY KING ALIYEKUWA NA KIPINDI CHA LARRY KING LIVE. FUATILIENI ELIMU YAKE MUONE, Jamaa hakuwa na elimu ila wasomi na magwiji walikuwa wanamgwaya na bila kuhojiwa naye haupewi nafasi ya kuukwa urais US.

Wasomi tuache dharau, kuna wengi tumewazidi elimu but wapo mbali sana ki mafanikio na hata status kuliko sisi!

Waambie........
 
Naunga mkono lengo la kumkomboa mwanamke hususan wa tz na harakati zake kwakuwa kinamama ndo msingi wa familia bora. lakini napenda kukosoa ktk upande wa namna ya kuwasilisha hususan ktk tv. tuelewe kuwa tv inatazamwa na maelfu ya watu wenye maadili ya ki tz na waliovurugwa ki western. kibaya kunawanaovaa vinguo vifupi balaa, naye prsenta kaumbwa vizuri miguu ndo anapiga vimini full mauzo knye luninga. anafundisha nini kwa wanawake wenzie wanaojua maadili ni kuvaa nguo ya kuvuka goti? namshauri kipindi pia kiwe mfano wa utamaduni wa mtz ili mwanamke anaempigania awe na maadili bora
 
Back
Top Bottom