Kipindi cha 'Wanawake Live' na madhara yake

Kipindi cha 'Wanawake Live' na madhara yake

Ni kweli aisee yule bint I think ana nature ya ujeuri!! Yule mzee siku ile alimdharirisha kwa kweli ! Yy alijua kuna nn ndani ya family ile!!! Anajua mis understand ndani ya ndoa za watu!!!!!! Ajirekebishe
 
Ukishindwa kuangalia wanawake live angalia in my shoes kwa kipindi kikiisha unavunja Tv yako
 
Ni kweli aisee yule bint I think ana nature ya ujeuri!! Yule mzee siku ile alimdharirisha kwa kweli ! Yy alijua kuna nn ndani ya family ile!!! Anajua mis understand ndani ya ndoa za watu!!!!!! Ajirekebishe
Amesoma qualifying test (qt) amemaliza f4 in Feminist mwenye mlengo wa WID-Women In Development. Lakini contemporary Feminist wanatumia Gender and Development-GAD .

Huwezi kutumia WID ukampatia mwanamke maendeleo bila kuwashirikisha wanaume.GAD ndilo suluhisho kwani uwashirikisha zaidi wanaume ambao ndio kikwazo kwa wanawake kufikia malengo yao.

So Joyce Kiria anahitaji mtaalam wa masuala ya jinsia ili asije kuharibu badala ya kurekebisha.

Otherwise yupo sawa katika kutoa elimu.
 
Jamani mwacheni amejitahidi na Mwanamke live, fikira etc tuzizingatie esp kama mtu ameishia la saba(nilivyosomaga kwenye mitandao wakisema)
 
Amesoma qualifying test (qt) amemaliza f4 in Feminist mwenye mlengo wa WID-Women In Development. Lakini contemporary Feminist wanatumia Gender and Development-GAD .

Huwezi kutumia WID ukampatia mwanamke maendeleo bila kuwashirikisha wanaume.GAD ndilo suluhisho kwani uwashirikisha zaidi wanaume ambao ndio kikwazo kwa wanawake kufikia malengo yao.

So Joyce Kiria anahitaji mtaalam wa masuala ya jinsia ili asije kuharibu badala ya kurekebisha.

Otherwise yupo sawa katika kutoa elimu.

Kila Jambo halikosi Mapungufu yeye Kama binadamu wengine anateleza lakini kwa kiasi Fulani ameleta Mwamko kwa wanawake wameanza kujitambua sasa na kumbuka Yale anayozungumza Joyce si Sheria eti unalazimishwa kuyafuata kwa nguvu ni hiari ya Mtu kufuata au kuacha hakuna tatizo juu ya kipindi chake
 
Katika television zetu pamekuwa na utitiri wa uanzishwaji wa vipindi vyenye kuongozwa na watu binafsi Mfano Jenerali on Monday, This week in perspective, je tutafika, mimi na tanzania-Hoyce Temu, Diary ya Lady Jay Dee, Wema Sepetu in My Shoes, WANAWAKE LIVE-CHA JOYCE KIWIA Kileo na vingine.

Uanzishwaji wa vipindi hivi sijui unazingatia nini lakini kipindi cha wanawake live ni kipindi Muhimu hasa ambapo wanawake tunahitaji usawa na wanaume lakini SI kuwa sawa., ni kipindi sensitive kinachohitaji mwongozaji makini pengine mwenye uelewa wa hali ya juu ya Gender, Sociology, Sheria, Pschology n.k mi sijui Joyce Kiwia ana elimu gani maana hiki kipindi kitageuka janga siku sio nyingi. Anatumia maneno makali kwa wanaume mf Aliwahi kumwambia mzee mmoja "mbebe mkeo kama ulivyokuwa unamtongoza"! ha-balance story (kusikiliza pande mbili) yeye anahukumu tu.

Lakini anaongea na mambo ambayo yanaweza kusababisha chuki kwenye familia hasa ambazo hazina uwezo wa kuchambua mambo vizuri na ndoa zitavunjika na kusambaratika nyingi. Lakini baadae itaathiri hata siasa za Henry Kilewo negatively kama mambo hayatabadilika.

Wanawawake tunahitaji utetezi bila kuathiri ndoa zetu au kudhalilisha waume zetu.

Anafanya vizuri, ni kweli anahitaji msaada ili aboreshe zaidi.

Nimependa alivyosherekea harusi yake.
Amenifunza kitu, kanishawishi kuiga style hiyo muda ukifika.
 
Wengi mnachangia mada bila kuisoma na kuielewa imelenga nini.
Mleta mada alitaka kujua huyo Joyce anakosea wapi na katoa mfano.
Psychologically anapokuwa anasikiliza matatizo ya mwanamke mwenzie anajihamishia lile tatizo na kumuumiza kama mhusika alivyoumia na anapokuja kupata maelezo ya upande wa pili anakuwa siyo yeye tena bali mhusika mkuu ambayo tunaiita burnout. So, badala ya kuwa empathetic anakuwa sympathetic jambo ambalo linamkosezesha sifa ya kuonekana msaada wa pande zote mbili.
Anatakiwa kujiongezea elimu hasa upande wa counselling na interperson communication nahisi kipindi kitakuwa bora zaidi.
 
Tangu mume wake amwagie ndugu yangu Tindikali kule igunga hata kipindi hicho huwa siangalii.
Kwanza Joyce Kiria alifeli form four na akajaribu kusoma pale ustawi akaangukia pua.
Kwa ufupi ni kilaza.

Kabila hujaacha kuangalia vipindi vyake ulikuwa hujui Kama ni kilaza?jina Lakota linaliflection na ulichokipost.hata hivyo nitajie muaandaji wa vipindi vinavyogusa Jamii Kama vya Joyce Kiria?ambae wewe unamuona kilaza.chuki like ur avatar.
 
Yeees hapo umenena maana daaahh some times inakua bored

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Vipindi kama hivi ndio vinasababisha wanawwake kuwapanda kichwani waume zao, na usababisha ndoa nyingi kuvunjika ovyo! Kiufupi wanawake wa mijini wanaoangalia vipindi kama hivi, hukiuka misingi aliyo iweka MUNGU, ambayo inaainisha mipaka ya mwanamke na mwanaume katka maisha ya mwanadamu! Sasa kwa kujifanya wanajua sana ndoa zao kila siku zinapalaganyika... Eti haki sawa waingie mitaani kubeba nzege sasa ili tuwaamini.... Naunga mkono hoja!
 
Kweli bwana hiki kipindi sio kuna rafiki yangu alikuwa anakiangalia kwa sana siku hizi kawa shoga.SERIUOS MJUE.
 
ukatili wa kijinsia umekua jambo la kawaida kwa sasa ndio mana. watu wengi waona kama BI JOYCE anakosea lakini ukweli ujue kama wewe humnyanyasi mkeo basi dada yako, mama yako mdogo/mkubwa,shangazi yako, jirani yako anakumbana na unyanyasaji. muacheni dada wa watu awasaidie wenye uhitaji kama unaona kipindi kinakukera usiangalie hamia chaneli nyingine
 
joyce nae pia binadamu jamani hakuna haja ya kumtolea maneno machafu ni kumshauri how it should be si kumkashifu
 
Yote uliyosema yanaweza kuwa sahihi,je kama hana elimu na hajapata malezi mazuri haya ni makosa yake?Unamsaidiaje wewe uliyepata elimu ili awe na uwezo wa kupambanua mambo na kipindi kiwe bora?au unashauri kisiwepo na yeye aishi kinyonge tu kwa vile hana elimu?au asijaribu kufanya kitu kizuri kwa vile hakupata malezi mazuri toka kwa wazazi?je ukimshauri akualike wewe uliyepata elimu ili umsaidie kuweka mambo vizuri unadhani atakataa?Heri ya mwaka mpya 2014!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
watu wanajifunza kutokana na mazingira... ikiwa hubadiliki kutokana na mazingira basi wewe tatizo. suala la heshima halihitaji elimu.
heri ya mwaka mpya nawe....!
 
Anajitahidi kwa kweli na anavutia wanawake wengi. Ila kama mtoa mada alivyoongea, anatakiwa kujirekebisha. Mfano kuna siku alishauri wanawake wawashtaki polisi waume zao wanaowaomba kinyume na maumbile. Mi nadhani angesema wawashirikishe viongozi wa dini na wazee kuliko alivyoshauri kwani baba akitoka polisi ndo hakuna ndoa hapo. Ataelewa tu kwani naye ni mwana JF mwenzetu.
 
Back
Top Bottom