kuna kipindi kinaendelea sasa hivi star tv kuhusu tiba ya babu, wamekipangilia vizuri wamehoji askofu laizer na wengineo,
kuna Dr Ambokile shilogile wamemhoji ambaye ni wa klinik ya magonjwa sugu Arusha. amesema wagonjwa wote walioathirika waliokuwa wanafika kwenye clinic hiyo arusha na pia wamepata kikombe na amewafuatilia zaidi ya siku 21 bado wako positive. hivyo anashauri waliopata kikombe wasiache dawa mpaka dr awaambie wmepon kwani bil daktari kuwaambia wanaumwa wasingeenda
kuna Dr Ambokile shilogile wamemhoji ambaye ni wa klinik ya magonjwa sugu Arusha. amesema wagonjwa wote walioathirika waliokuwa wanafika kwenye clinic hiyo arusha na pia wamepata kikombe na amewafuatilia zaidi ya siku 21 bado wako positive. hivyo anashauri waliopata kikombe wasiache dawa mpaka dr awaambie wmepon kwani bil daktari kuwaambia wanaumwa wasingeenda