Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,604
- 8,733
Ugonjwa wa covid19 ulipoingia tulijaribu kuweka mbinu nyingi kila mtu kujua atajisaidia vipi ili kujiokoa na gonjwa ili sitosahau mpaka malimau yakapanda bei.
Serikali ikaweka mpango maalumu wa kila sehemu kuhakikisha kuna ndo ya maji safi na kila sehemu utakapo kwenda kunawa mikono kabla ya kuingia.
Kwa kiasi kikubwa ilipunguza magonjwa mengi sehemu nyingi kama kipindupindu na mengine ila tokea ugonjwa huu kuto kuwekewa umakini tena watu wamerudi kwenye tabia zao za kutozingatia usafi wa mikono ndio maana ni rahisi kusambaa magonjwa haya ambayo tuliyasahau.
Swala la kunawa mikono liwe lazima ili kupunguza magonjwa.
Serikali ikaweka mpango maalumu wa kila sehemu kuhakikisha kuna ndo ya maji safi na kila sehemu utakapo kwenda kunawa mikono kabla ya kuingia.
Kwa kiasi kikubwa ilipunguza magonjwa mengi sehemu nyingi kama kipindupindu na mengine ila tokea ugonjwa huu kuto kuwekewa umakini tena watu wamerudi kwenye tabia zao za kutozingatia usafi wa mikono ndio maana ni rahisi kusambaa magonjwa haya ambayo tuliyasahau.
Swala la kunawa mikono liwe lazima ili kupunguza magonjwa.