Kipindi cha Block 89 kimepatwa na nini?

Kipindi cha Block 89 kimepatwa na nini?

Daaah block sikuwahi kukielewa kamwe zaidi ya kuona wanapiga kelele tu tena wale mademu ndio balaa kuna mmoja anaongea sana mpaka anachapia......bora hakipo kilikua kero tu.....
Mimi nataka kile kipindi chao cha michezo kiwekwe muda sawa na cha efm tuone iyo battle ya listerners wataegemea wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye michezo efm kashapigwa chini teyali.
 
Me nilikupata mapema naona jamaa lugha za mtaani zimempitia kushoto alafu unatakiwa ujue sio wote humu ni vijana wengine wameenda aged na baadhi wanaweza wakawa ni aged lakini wanajua lugha ya sisi vijana lakini kuna wengine hawafahamiki.
kweli aisee mimi ntaendelea na lugha hii hata ntakapokuwa aged
 
Maudhui ya block 98 na the switch ni sawa wotewanaongelea ishu za kiburudani ,the switch wanafanya interview na wasaniii huo ndo msingi mkubwa wa lil ommy na pia block ni hivyo hivyo ,lakini pia kibusiness ni ngumu sana kupata matangazo ya kibiashara hasa kwa vipind vya usiku unafikr ni kampuni gani kubwa inaweza ikaweka hela kwa kipndi Hadi Cha saa tano .ni vipnd vichanche vya usiku vyenye sponsor wengi .mfano ni amplfaya ya milard Ayo nikikwambia utafute mwengine nikungumu kupata efm muda huo ni singel .nafikr wataweka kipnd chengine chenye maudhui tofaut,kuhusu mtu imara na fikr kwenye industry ya redio Kuna kuigizana wasafi walitaka kuwa na mtu anayeendana na Adam mchomvu,ukiangalia xxl b dozen Yuko cool but mchomvu vurugu nyingi same to jonijoo cool but mtu imara machepele but wasafi walichofeli ni kwama mtu imara hajakamilka Kama mchomvu licha ya vurugu ni package iliyokamilika


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu una wivu
Hahah anzisha tu Page yako mkuu then anza:

Kumsifia Diamond kua ndie msanii mwenye mpunga Afrika nzima,akivaaga nguo 1 harudii mwaka mzima,msifie sana mama yake huku ukimwambia yaani una lishepu kama lote kichuna changu,huku ukiwa tayari kupambana na wanaompinga Diamond popote pale from Insta,fb,Jf na usisahau kuwaponda sana ma-ex wa Diamond.

Then ndani ya muda mfupi tu,tutasikia Dj. Yna2 ndani ya mjengo bango kubwa mzee wangu bango linawaka taa sijui nini.

Usitusahau tu mkuu.

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Back
Top Bottom