mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,135
Nikuulize Aaliyah ulimjulia wapi Before ya kuajiriwa na Wasafi?Maulidi kitenge alikuwa anamdisi Sana diamond kiasi ambacho akajenga uadui na fans wa diamond mbona diamond kamuajiri.George ambangile aliona sehemu gani kampost diamond mbona diamond kamuajiri? Salma Dakota uliona wapi kampost diamond mbona diamond kamuajiri?
Na Juma Lokole,Dida,Lilian Mwasha nao wakapewa kazi wasafi sababu walikua wakiperform vzr sana mitandaoni sio,hahah.
Kusaga anawacheki tu anasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiii