Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,170
lil ommy kaharibu mambo.hivi kabla hajaja the switch ilikuwepo?Contents zake zinaendana na THE SWITCH saa 8 mchana, so hicho kinatafutiwa content zake mpya
lil ommy kaharibu mambo.hivi kabla hajaja the switch ilikuwepo?Contents zake zinaendana na THE SWITCH saa 8 mchana, so hicho kinatafutiwa content zake mpya
Nafikiri hakikuwepo japo sina hakika sanalil ommy kaharibu mambo.hivi kabla hajaja the switch ilikuwepo?
lil ommy kaharibu mambo.hivi kabla hajaja the switch ilikuwepo?
Zembwela aliajiriwa pale East Africa akiwa ajasomea taaluma ya utangazaji kuna pia anaitwa Tbway hapo East Africa nae hajasomea utangazaji pamoja na Suzi.Na EATV/Radio walimuajiri nani baada ya kumsifu Mengi/Regina?
Unazungumziaje role ya mtu imara kwenye block 89?Me naona yule jamaa ana kula mshahara wa bure tu pale WasafiKaharibuje mambo?
Hicho kipindi kuna siku nilikisikia wakiwa wanazyngumzia kifo cha Kobe Bryant, full uwongo.
Hata hawajajiandaa, wanaongea vitu vya ajabu.
Waliajiriwa sababu walikua wanashinda wanawapost maboss wa Media hio mitandaoni na kuwasifia sifia?Zembwela aliajiriwa pale East Africa akiwa ajasomea taaluma ya utangazaji kuna pia anaitwa Tbway hapo East Africa nae hajasomea utangazaji pamoja na Suzi.
Uko na vyeti kibaoo huna Ujuzi.Mwenye ujuzi anaingia stationary anatengeneza cheti anatoboa.Mzee baba Kuna watu dunia hii wanabahati ile mbaya Jamaa kaziba ridhiki ya mtu anayestahili Hana tofauti na wafoji vyeti unakuta mtu unapata ajira kumbe una cheti feki yule mwenye cheti halali anakosa ajira.Jamaa anakula mshahara wa bure aisee.
Mimi nilikua sielewi nikawa nasikia tu kaa humo, bango kubwa , mara bango limewasha taa yani maneno mengi hayaeleweki hadi kipindi kinaisha.
Suzi ndiye yule mwenye mshedede? Anakuwaga na Sammisago?Zembwela aliajiriwa pale East Africa akiwa ajasomea taaluma ya utangazaji kuna pia anaitwa Tbway hapo East Africa nae hajasomea utangazaji pamoja na Suzi.
Wote mule ndani walikua wanafanya kama huyo mtu imara anavyofanya ndiyo maana kipindi kizima kimesimamishwa na sio huyo mtu imara pekee aliyesimamishwa.Wewe subiri uongozi wao wataongea ila kilichobugi kwenye kipindi hiki ni kumweka mtu imara yule jamaa hamna kitu hajui kuuliza maswali sijui walitumia kigezo gani kumuajiri? kipindi kilitakiwa wabaki jonijo na Aaliyah basi ndo wapo vizuri.
Nikuulize Aaliyah ulimjulia wapi Before ya kuajiriwa na Wasafi?Maulidi kitenge alikuwa anamdisi Sana diamond kiasi ambacho akajenga uadui na fans wa diamond mbona diamond kamuajiri.George ambangile aliona sehemu gani kampost diamond mbona diamond kamuajiri? Salma Dakota uliona wapi kampost diamond mbona diamond kamuajiri?Waliajiriwa sababu walikua wanashinda wanawapost maboss wa Media hio mitandaoni na kuwasifia sifia?
That's a million-dollar question.
Yah ndio yeyeSuzi ndiye yule mwenye mshedede? Anakuwaga na Sammisago?
Sijawahi zingatia hiyo taaluma yake ila huku kwingine yuko vizuri😃Yah ndio yeye
😀 Ngoja nianze namimiPale hakuna mambo ya kusomea uandishi wa habari,cha msingi wewe jua tu kumsifia sifia Diamond huko mitandaoni,m-post kwa sana tu then ushapata kazi tayari hapo usafini.
Hapana Jonijo na Aaliyah wapo vizuri na walikuwa wanafanya kazi yao vizuri ndio wanaopendwa Sana na mashabiki ila huyo mtu imara na Calypso ndo watu wa ovyo na nafasi yao walikuwa hawaplay part yao vizuri ndo walikuwa wanaharibu rhythm nzima ya kipindi.Wote mule ndani walikua wanafanya kama huyo mtu imara anavyofanya ndiyo maana kipindi kizima kimesimamishwa na sio huyo mtu imara pekee aliyesimamishwa.
Huyo Hana taaluma mzee babaSijawahi zingatia hiyo taaluma yake ila huku kwingine yuko vizuri😃
Content ya kipindi ndiyo ina tatizo kubwa.Hapana Jonijo na Aaliyah wapo vizuri na walikuwa wanafanya kazi yao vizuri ndio wanaopendwa Sana na mashabiki ila huyo mtu imara na Calypso ndo watu wa ovyo na nafasi yao walikuwa hawaplay part yao vizuri ndo walikuwa wanaharibu rhythm nzima ya kipindi.
Ili kupata kipindi kikubwa waache kucopy wawe wabunifu.Wakita kipindi kuwe Kikubwa pale waweke mtu mbili Lil Ommy na Jonijo pia wanadili maudhia ya kipindi
Sent from my iPhone using JamiiForums