Huyo lazima aje.Huyu jamaa anaichukia WCB kiwango cha kimataifa. Nimemuita awachemshe kidogo.
Huyo lazima aje.Huyu jamaa anaichukia WCB kiwango cha kimataifa. Nimemuita awachemshe kidogo.
Huyo hana shida mtu I Mala ndo hawez kit Mwanzo nilifikili yeye na diamond ni nduguIla Calpsoo me namkubali.
IMALA ndio nini? NILIFIKILI ndio nini?Huyo hana shida mtu I Mala ndo hawez kit Mwanzo nilifikili yeye na diamond ni ndugu
Ahaha kweli asee bora johnNaked truth. Mtu Imara hana tofauti na dogo mmoja alikuwa na Salama Jabiri kwenye kipindi cha mkasi a.k.a Muba
Piga chini ali shindwa teacher wangu Wa kiswahili uta weza wewe? Ama we ndo mtu imara shekheIMALA ndio nini? NILIFIKILI ndio nini?
Acha ushamba
Acha ushamba wa kujisifu kwa mambo ya kipuuzi. Jifunze kuandika mataga wewe.Piga chini ali shindwa teacher wangu Wa kiswahili uta weza wewe? Ama we ndo mtu imara shekhe
kabla ya lil ommu kuja kilikuwa na kipindi hicho cha usiku ambacho maudhui yake yanafanana na vipindi alivyokuwa anavifanya lil ommy.so nadhani wamefanya some adjustments kipindi wakampa lil ommyKaharibuje mambo?
Hicho kipindi kuna siku nilikisikia wakiwa wanazyngumzia kifo cha Kobe Bryant, full uwongo.
Hata hawajajiandaa, wanaongea vitu vya ajabu.
kabla ya lil ommu kuja kilikuwa na kipindi hicho cha usiku ambacho maudhui yake yanafanana na vipindi alivyokuwa anavifanya lil ommy.so nadhani wamefanya some adjustments kipindi wakampa lil ommy
hiyo lugha tu mzee sio kuharibu kwamba kafanya kitu kibayaOkay, kwa hiyo hapo tunasema ameharibu?
Me nilikupata mapema naona jamaa lugha za mtaani zimempitia kushoto alafu unatakiwa ujue sio wote humu ni vijana wengine wameenda aged na baadhi wanaweza wakawa ni aged lakini wanajua lugha ya sisi vijana lakini kuna wengine hawafahamiki.hiyo lugha tu mzee sio kuharibu kwamba kafanya kitu kibaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahah anzisha tu Page yako mkuu then anza:
Kumsifia Diamond kua ndie msanii mwenye mpunga Afrika nzima,akivaaga nguo 1 harudii mwaka mzima,msifie sana mama yake huku ukimwambia yaani una lishepu kama lote kichuna changu,huku ukiwa tayari kupambana na wanaompinga Diamond popote pale from Insta,fb,Jf na usisahau kuwaponda sana ma-ex wa Diamond.
Then ndani ya muda mfupi tu,tutasikia Dj. Yna2 ndani ya mjengo bango kubwa mzee wangu bango linawaka taa sijui nini.
Usitusahau tu mkuu.
Sawa mkuu, Bango limeungua.Utakuwa wewe upo aged Nini? point yako Ingekuwa na nguvu kama wasafi media isingekuwa media ya entertainment so sizani Kama wazee wanaifuatilia.
Mkuu huu ni Mwanzo Vipindi vyote pale Wasafi vitaanguka Mpaka waache Ku-copy copy
Hiv mzee baba uchawi utaacha lini?Mkuu huu ni Mwanzo Vipindi vyote pale Wasafi vitaanguka Mpaka waache Ku-copy copy
Lily Omy akija kustuka atakua ameshafika level za akina Mtu Imara ni Swala la Mda tug
Bango limekimbia, Bango limechuchumaa mara Bango linamelemetaSawa mkuu, Bango limeungua.
Uchawi wapi si unaona Block tayari Kimeshakula nyasi.. Wawe wabunifu.. Kucopy waviachie vi Online chanelHiv mzee baba uchawi utaacha lini?
hiyo lugha tu mzee sio kuharibu kwamba kafanya kitu kibaya