Kipindi cha bibi bomba kinadhalilisha bibi zetu

Kipindi cha bibi bomba kinadhalilisha bibi zetu

Hivi hiki kipindi kinalenga kuifundisha nini Jamii? Ni udhalilishaji tu wa Wazee wale, lugha, ukaaje wao havina maadili kabisa. Huyu kijana nae hana maadili kabisa ya uongozaji wa kipindi hiki, nashauri kipindi hiki kifutwe au kibadilishwe maudhui

Sorry ni Maadili sio hicho nilichokiandika


Samahani kwa atakayeumia, ila ikumbukwe kuwa idadi kubwa ya watanzania inapenda vitu vya kijinga na visivyo na maadili ndani ya jamii, mfano angalie jinsi watu wanavyoshupalia kipindi cha big brother africa. Jiulizeni kile kipindi kina maadili gani hapa TANZANIA?
 
Na kwa kuwa wanapenda ujnga dawa yao ni kuwawekea vipindi vya kishenzi kam big brthr, miss tz, bibi bomb ili vitazamwe na washenzi wanaovishabikia humu jf
 
umenena vyema,maana watanzania tumezidi mno kupenda ujinga,yan
 
Ni kweli kabisa kwamba tunapenda vitu vya kijinga na visivyo na mantiki yoyote kwa maisha yetu, hivi unaburudikaje unapomuona Bibi mtu mzima anafanya au anafanyishwa mambo ya kiupuuzi!!!
Na kwa kuwa wanapenda ujnga dawa yao ni kuwawekea vipindi vya kishenzi kam big brthr, miss tz, bibi bomb ili vitazamwe na washenzi wanaovishabikia humu jf
 
hakuna kipindi cha kipuuzi kama hicho nchini au tuseme africa nzima.

...Kipo kimoja hapo kwa majirani nimekisahau jina ambacho kina mwanamama mmoja mtu mzima hivi ambaye anashirikiana na wasaidizi wake kuonyesha hata mikao mbali mbali ya Kujamiiana!! Angalau hakishirikishi Wazee wetu na kuwadhalilisha kama hiki cha huku Kwetu...! Na Wahusika wakoBZ kufungia Magazeti ya Maana...!!:A S angry:
 
hahahhaaa kipindi laaanifu kile sijapata kuona, hiki hapa Mpwa


https://www.youtube.com/watch?v=J-seD81a3kA

Connect; Mombasa Raha Positions: Ndio Jina lake

CC: mamndenyi Aine Paloma na wengineo akina ladyfurahia na farkhina
...Kipo kimoja hapo kwa majirani nimekisahau jina ambacho kina mwanamama mmoja mtu mzima hivi ambaye anashirikiana na wasaidizi wake kuonyesha hata mikao mbali mbali ya Kujamiiana!! Angalau hakishirikishi Wazee wetu na kuwadhalilisha kama hiki cha huku Kwetu...! Na Wahusika wakoBZ kufungia Magazeti ya Maana...!!:A S angry:
 
Halafu kimeachwa kiendelee kuwa hewani na pia magazeti ya udaku yanayoandika upuuzi mwingi na habari zilizokosa maadili kabisa yanaaachwa tu yanafungiwa magazeti yenye kuheshimika na yenye habari zenye tija kwa mustakabali wa nchi yetu
 
Samahani kwa atakayeumia, ila ikumbukwe kuwa idadi kubwa ya watanzania inapenda vitu vya kijinga na visivyo na maadili ndani ya jamii, mfano angalie jinsi watu wanavyoshupalia kipindi cha big brother africa. Jiulizeni kile kipindi kina maadili gani hapa TANZANIA?

Ni kweli, wengi wa TZ ndivyo tulivyo, vipindi vya kuelimisha wengi wanavikwepa ila hivi vya ujinga ujinga hata kiwe saa tano usiku watu watakisubiri na kuangalia.
 
Bosi mwenyewe wa vipindi Ndugu Ruge Mutahaba,mchambueni kwanza uelewa wake na ikiwezekana ata CV yake mwenye nayo atupie hewani.
 
wanao diss bib bomba ni wale ambao hawana mda na mabibi zao...hata hawatanian na mabib zao...aliyeanzisha hiki kipind nampa salut kubwa sana...haterz wa clouds mkae tu mkidis wenzenu wanafanya yao...hahaha hatari sana...
 
waandeshaji wa kipindi wako juu ya sheria,.. hivyo hakuna mkono unaoweza kuwagusa. full stop
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom