Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,368
Ni kweli, wengi wa TZ ndivyo tulivyo, vipindi vya kuelimisha wengi wanavikwepa ila hivi vya ujinga ujinga hata kiwe saa tano usiku watu watakisubiri na kuangalia.
Na utashangaa hata Kikwete anaangalia au mtu mwenye akili timamu kabisa anajipangia asikose kipindi, then asubuhi utamsikia anasimulia kwa mbwembwe kabisa huku akinywa supu. Yaani basi tu....huku kupata television ukubwani kuna madhara yake haki ya nani.