Kipindi cha bibi bomba kinadhalilisha bibi zetu

Kipindi cha bibi bomba kinadhalilisha bibi zetu

yani watu wanaoangalia clouds tv wapo kundi moja na wanaosoma magazeti ya udaku, wanaosikiliza clouds fm. sasa unajisikiaje kuwa kundi la wajinga kama hao? na huo muda unapata wapi? punguza stress, toka kwenye hilo kundi.
 
Mi mpaka naona aibu kuangalia maana udhalilishaji ule

Nilifungua TV last week, nikakuta bibi mmoja anaambiwa a pretend kama anamtongoza kijana. Nikaboreka mia. Imagine huyo ni bibi yako, how could you feel? Mbavu zao kabisa!
 
ukiweka kipindi cha kistaarabu hakuna atakayeangalia
 
Mi siwapendi clouds ila naomba kuuliza,hivi wale wa bibi si wana toto?wanalazimishwa na watoto zao au wajukuu zao kwa nini wasiwazuie?
 
Mi siwapendi clouds ila naomba kuuliza,hivi wale wa bibi si wana toto?wanalazimishwa na watoto zao au wajukuu zao kwa nini wasiwazuie?
unachosema ni sahihi lakini kumbuka huwa wanakwenda pasi na kujua aina ya maswali watakayiokumbana nayo
 
Je

kwenye hili shindano la bibi bomba tuwalaumu waendeshaji kwa
ku2dhalilishia bibi zetu, au 2walaumu awa mabibi kwa kukubali
kudhalilishwa, je tatizo ni njaa ndio iliowapeleka au kutokuona aibu,
ebu jifkirie yule bibi anaeambiwa amtongoze yule mvulana mpaka akubali
au yule aliepo kwenye tangazo anaesema yoyoyoyo your sup niga ingalikua
weze wako ungalijiskiaje? ama kwa upand wangu ingalikua wazee wangu nafkiri mulizaji na mtayarishaji vitu vizito vyenye ncha kali vingaliwahalalikia.
 
Njaa mbaya sana,unafikiri wote wanapenda kuvaa green tsherts and caps ?
 
Na uyu anaewahoji na mipanki yake ya kishamba bora uyo kinyozi angalimchinja, kuna uyu bibi ati amempa maik ili arapu duh c juwi wajukuu zake wanajiskiaje? Wakimuona bibi yao anazinguliwa vile.
 
nachukia hicho kipindi with all ma heart ... kuna vitu wangeweza wakaprogram wabibi wakawa wanafundisha jamii kwa vitendo lakini kwa hili ni upuuzi tu
 
Je

kwenye hili shindano la bibi bomba tuwalaumu waendeshaji kwa
ku2dhalilishia bibi zetu, au 2walaumu awa mabibi kwa kukubali
kudhalilishwa, je tatizo ni njaa ndio iliowapeleka au kutokuona aibu,
ebu jifkirie yule bibi anaeambiwa amtongoze yule mvulana mpaka akubali
au yule aliepo kwenye tangazo anaesema yoyoyoyo your sup niga ingalikua
weze wako ungalijiskiaje? ama kwa upand wangu ingalikua wazee wangu nafkiri mulizaji na mtayarishaji vitu vizito vyenye ncha kali vingaliwahalalikia.
Ni upotovu wa maadili, na udhalilishaji... ni jukumu la serikali kupitia vyombo husika kuhakikisha watu hawadhalilishi kwa sababu ya njaa zao, au kitu chochote kile. Tena kuwatumia wazee ambao huenda they are of unsound mind ili kujipatia faida ni kosa kisheria.
 
nachukia hicho kipindi with all ma heart ... kuna vitu wangeweza wakaprogram wabibi wakawa wanafundisha jamii kwa vitendo lakini kwa hili ni upuuzi tu
Wanasheria wetu siyo wajasiriamali, vinginevyo hiyo kesi mtu unainunua na unashinda. Umdhalilishe bibi yangu kiasi kile halafu nikuache, thubutu.!
 
TGNP wako wapi wakemee udhalilishaji huu.....??

Clouds media yote ni uozo mtupu..
 
Na uyu anaewahoji na mipanki yake ya kishamba bora uyo kinyozi angalimchinja, kuna uyu bibi ati amempa maik ili arapu duh c juwi wajukuu zake wanajiskiaje? Wakimuona bibi yao anazinguliwa vile.

Simpendi yula kakaa..! Anatafuta umaarufu wakujunga
 
Wanasheria wetu siyo wajasiriamali, vinginevyo hiyo kesi mtu unainunua na unashinda. Umdhalilishe bibi yangu kiasi kile halafu nikuache, thubutu.!

wameshafanya pepa wakimaliza hawajui tena kitu cha kufanya afu utakuta mwnasheria yupo home analalama amuna kazi ..
 
Tatzo hp ni bibi zetu na watu wao wa karibu ndo wanapaswa kulaumiwa,we umri ushaenda eti unafanya shindano jamani kweli umaskini mbaya.
 
Hamna tatizo pale, mida fulani watu wanajiinjoi kwa kuwa 'vikatuni'. Pia huwa hawatekwi kwamba lazima waenda kushiriki. Endapo m'bibi hajisikii basi aache kwenda na pia kuukosa mkwanja. Ni sehemu ya burudani tu.
 
Hamna tatizo pale, mida fulani watu wanajiinjoi kwa kuwa 'vikatuni'. Pia huwa hawatekwi kwamba lazima waenda kushiriki. Endapo m'bibi hajisikii basi aache kwenda na pia kuukosa mkwanja. Ni sehemu ya burudani tu.

wewe hujielewi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom