Sensei Tai
Senior Member
- May 26, 2022
- 126
- 359
Hiki ni kipimo sahihi cha kujua kama mpenzi wako anakupenda kweli au anapenda tu pesa zako na hapa naongelea zaidi kwasisi wanaume.
Unakuta mtu ana mpenzi wake wa kike na anajinadi kwa watu kwamba mimi mwanamke wangu ananipenda, umetumia kigezo gani kujiaminisha hayo unayotamka ?
Umeingia kwenye mahusiano na mwanamke na amekukuta tayari una ajira na umepiga ka hatua flani kwenye maisha, unadhani kwa hali hiyo kuna msichana gani atashindwa kukuektia kwamba anakupenda hata kama hakupendi ?
Wanawake ni mabingwa wa kuigiza upendo hasa hasa anapoona kuna maslahi flani.
Ukitaka kumpima mpenzi wako kama anakupenda kweli au anakuektia jaribu mara moja au mara mbili kumwambia huwezi tatua shida aliyokuomba mfano kakuomba kiasi cha pesa na kipo ndani ya uwezo wako mwambie siko vizuri halafu tazama reaction yake.
Jaribu hiyo mbinu kwa mtu ambae una malengo nae na una mpango siku moja aje kuwa mke wako wa ndoa mana kwenye ndoa kuna kupata na kukosa sasa kama mwanamke yupo after something hashindwi kupeleka mbususu kwa wahuni waichakate sababu tu ameona kwamba huna kitu.
Kama nia yako ni hit and run huna sababu ya kumjaribu mana shida yako inakua tu ni kuichakata mbususu and you pay as you go.
Mwenye masikio na asikie, usije sema hukuambiwa.
Unakuta mtu ana mpenzi wake wa kike na anajinadi kwa watu kwamba mimi mwanamke wangu ananipenda, umetumia kigezo gani kujiaminisha hayo unayotamka ?
Umeingia kwenye mahusiano na mwanamke na amekukuta tayari una ajira na umepiga ka hatua flani kwenye maisha, unadhani kwa hali hiyo kuna msichana gani atashindwa kukuektia kwamba anakupenda hata kama hakupendi ?
Wanawake ni mabingwa wa kuigiza upendo hasa hasa anapoona kuna maslahi flani.
Ukitaka kumpima mpenzi wako kama anakupenda kweli au anakuektia jaribu mara moja au mara mbili kumwambia huwezi tatua shida aliyokuomba mfano kakuomba kiasi cha pesa na kipo ndani ya uwezo wako mwambie siko vizuri halafu tazama reaction yake.
Jaribu hiyo mbinu kwa mtu ambae una malengo nae na una mpango siku moja aje kuwa mke wako wa ndoa mana kwenye ndoa kuna kupata na kukosa sasa kama mwanamke yupo after something hashindwi kupeleka mbususu kwa wahuni waichakate sababu tu ameona kwamba huna kitu.
Kama nia yako ni hit and run huna sababu ya kumjaribu mana shida yako inakua tu ni kuichakata mbususu and you pay as you go.
Mwenye masikio na asikie, usije sema hukuambiwa.