ginyisi
Senior Member
- Apr 6, 2023
- 147
- 261
wadau habari, naamini mko salama, nisiwachoshe sanaaaa! kama kichwa Cha habari kinavojieleza, Mimi naishi na mwanamke na nmezaa nae na tuna mpango wa kuoana hivi punde!
Sasa kumekuwa na kutokuelewana kutokana na baadhi ya vitu nafanyaga pasipo kumshirikisha nikidhani ya kuwa Haina umuhimu sanaa, kama vile kununua simu, kwenda kwenye meeting na marafiki zangu yaan yeye anataka kila kitu changu akijue jambo ambalo binafsi naona kama ananinyima uhuru kiasi flani
Naombeni maoni yenu tadadhali, nani yupo sahihi hapo!
Sasa kumekuwa na kutokuelewana kutokana na baadhi ya vitu nafanyaga pasipo kumshirikisha nikidhani ya kuwa Haina umuhimu sanaa, kama vile kununua simu, kwenda kwenye meeting na marafiki zangu yaan yeye anataka kila kitu changu akijue jambo ambalo binafsi naona kama ananinyima uhuru kiasi flani
Naombeni maoni yenu tadadhali, nani yupo sahihi hapo!