Kipimajoto ITV miaka 18 bila Baba wa Taifa; Je, misingi ya utaifa aliyosimamia inaenziwa na kuendelezwa

Tatizo la vijana wa tanzania ni kuoneana wivu na.mambo yasiyo ya msingi,

Si kwamba pole pole kaenda nje ya mada kabisa kuna mazuri pia kachangia ,

Ila.kwakuwa.tumezoea kuja na ID fake na kupinga kila.kitu basi mnadhani mnajenga kumbe tunadumaza akili zetu,

Jamii yetu imemzunguka majungu na pointi pembeni,

Humphrey si ndo huyu mlikuwa mnamshangilia akiwa na warioba?

Tuwe fair
 
Hajapwaya ila kila mtu pale anataka mawazo take yaonekane sawa na pia siasa za mlengo tifauti pia zinachangia
 
Tatizo la vijana wa tanzania ni kuoneana wivu na.mambo yasiyo ya msingi,

Si kwamba pole pole kaenda nje ya mada kabisa kuna mazuri pia kachangia ,

Ila.kwakuwa.tumezoea kuja na ID fake na kupinga kila.kitu basi mnadhani mnajenga kumbe tunadumaza akili zetu,

Jamii yetu imemzunguka majungu na pointi pembeni,

Humphrey si ndo huyu mlikuwa mnamshangilia akiwa na warioba?

Tuwe fair
Nadhani wewe ndo unataka kujidumaza sasa, hivi kweli Pole Pole anayoyaongea sasa hivi mtu anayemkosoa unaona ni kumuonea wivu!?!
 
Chakubanga ndivyo alivyo! Juzi kaongea pia kuhusu katiba mpya yaani ni kichekesho mwanzo mwisho, PUMBA TUPU!

Naangalia kipima joto hapa, Ndg. Pole Pole kawekwa katikati ya Proffesa Baregu na Proffesa mwingine hapa kuongelea miaka kumi na nane bila Baba wa Taifa, je misingi ya utaifa aliyoasisi inaenziwa!?

Ndg Pole Pole hapa anayoongea ki uhalisia hayaendani na Mada na amepwaya mbele ya wachangia Mada wengine.

Hili linaweza lisiwe kosa lake maana watu alionao sio level yake! Ni kosa la muandaa kipindi! Huwezi kumuweka Pole Pole katikati ya wazee tena maprofesa kujadili jambo! Huyu alitakiwa kukaa pembeni na kuwasikiliza kujifunza kutoka kwao
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Tatizo la vijana wa tanzania ni kuoneana wivu na.mambo yasiyo ya msingi,

Si kwamba pole pole kaenda nje ya mada kabisa kuna mazuri pia kachangia ,

Ila.kwakuwa.tumezoea kuja na ID fake na kupinga kila.kitu basi mnadhani mnajenga kumbe tunadumaza akili zetu,

Jamii yetu imemzunguka majungu na pointi pembeni,

Humphrey si ndo huyu mlikuwa mnamshangilia akiwa na warioba?

Tuwe fair
kweli kabisa mkuu, utapia mlo unasababisha vijana wengi wawe dhaifu katika kufikiri.
 
Naangalia kipima joto hapa, Ndg. Pole Pole kawekwa katikati ya Proffesa Baregu na Proffesa mwingine hapa kuongelea miaka kumi na nane bila Baba wa Taifa, je misingi ya utaifa aliyoasisi inaenziwa!?

Ndg Pole Pole hapa anayoongea ki uhalisia hayaendani na Mada na amepwaya mbele ya wachangia Mada wengine.

Hili linaweza lisiwe kosa lake maana watu alionao sio level yake! Ni kosa la muandaa kipindi! Huwezi kumuweka Pole Pole katikati ya wazee tena maprofesa kujadili jambo! Huyu alitakiwa kukaa pembeni na kuwasikiliza kujifunza kutoka kwao

Acha kudanganyika na Maprofesa kwani wengi wao ni watupu sana tu Vichwani mwao. Polepole hajashindwa kwa ajili yao bali ni kwa Upopoma wake tu ambao siku zote nimekuwa nikiusema humu Jamvini.
 
Back
Top Bottom