Hats rais inawezekana yupo anaangalia shilawadu anasema anakipenda sana kipindi tz viwanda OK basiMkuu ni wachache sana wanaofatilia hiko kipindi, maelfubya Watanzania muda huu wanaangalia Shilawadu.
Tz ya viwanda.
Acha kudanganyika na Maprofesa kwani wengi wao ni watupu sana tu Vichwani mwao. Polepole hajashindwa kwa ajili yao bali ni kwa Upopoma wake tu ambao siku zote nimekuwa nikiusema humu Jamvini.
Tume ya Warioba ilikuwa na maprofesa tu?Mbona kwenye Tume ya Warioba hukushauri akae pembeni?!!
Mzee chakubanga huyoHivi polepole ni mzee ama kijana?
Watupu! Mbona we ndio bogus kabisa acha dharau Zako za
Kidada
Chama kikitetea wezi kwa hiyo suluhu ni kuua viongozi wake? Kwa nini chama kinachopinga wezi kisitumie mwanya huo kujipenyeza kwa wananchi ili kiungwe mkono?Amesema hayo alipokua akijibu hoja za Baregu kuhusu Hali ya uhuru wa kujieleza nchini ambapo alitolea mfano wa kujeruhiwa kwa Tundu lisu
Ndo yale yale kama ya msemaji wa siri-kaliI see Polepole ana IQ ndogo sana
So tulipaswa kuendelea na kumshangilia? Ni robots tu ambao wako static hadi watakapokuwa programmed upya!Tatizo la vijana wa tanzania ni kuoneana wivu na.mambo yasiyo ya msingi,
Si kwamba pole pole kaenda nje ya mada kabisa kuna mazuri pia kachangia ,
Ila.kwakuwa.tumezoea kuja na ID fake na kupinga kila.kitu basi mnadhani mnajenga kumbe tunadumaza akili zetu,
Jamii yetu imemzunguka majungu na pointi pembeni,
Humphrey si ndo huyu mlikuwa mnamshangilia akiwa na warioba?
Tuwe fair