cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,867
Tazama Bwana Humphrey Polepole, Prof. Baregu na Prof. Mbwiliza wanachangia hoja kuhusu miaka 18 bila baba wa Taifa; Je, misingi ya utaifaa aaliyoisimamia inaenziwa na kuendelezwa?
Hakika hata sauti yake inashuhudia hayoProfesa J. Mbwiliza ni kiongozi makini na watu waliopitia kivukoni wanamtambua.
Nhahahaaahaa analeta citations mapema hivi!Namuona Polepole akitepeta mapema kabisa
Jikite kwenye mada mkuu...achana na propaganda za personal attacks.Namuona Polepole akitepeta mapema kabisa
Ni mtu makini sana. Fuatilia mchango wake mpaka mwisho wa kipindi utanielewa mkuu. Hao ni baadhi ya wazee ambao tuna wajibu kuwaenzi. Siku zote nilipomfahamu alisimamia Haki na Usawa.Hakika hata sauti yake inashuhudia hayo
Nhahahaha hapana huyo ndivyo alivyo kashiba nondo za siasa.Jamani huyu prof. Mbwiliza sio kama kaonja kitu?
Polepole leo, ndipo anapotezwa vibaya..! Afu prof. Baregu na huyo gwiji mwingine prof. Bwiliza wanamwona HP km kidudu mtu..!Tazama Bwa.H.Polepole anatabaruku
Prof. BAREGU yupo na Mchangiaji mwingine ni Prof Mbwiliza!
Ok sawa, nimepata tabu kidogo.Nhahahaha hapana huyo ndivyo alivyo kashiba nondo za siasa.
Mbona kwenye Tume ya Warioba hukushauri akae pembeni?!!Naangalia kipima joto hapa, Ndg. Pole Pole kawekwa katikati ya Proffesa Baregu na Proffesa mwingine hapa kuongelea miaka kumi na nane bila Baba wa Taifa, je misingi ya utaifa aliyoasisi inaenziwa!?
Ndg Pole Pole hapa anayoongea ki uhalisia hayaendani na Mada na amepwaya mbele ya wachangia Mada wengine.
Hili linaweza lisiwe kosa lake maana watu alionao sio level yake! Ni kosa la muandaa kipindi! Huwezi kumuweka Pole Pole katikati ya wazee tena maprofesa kujadili jambo! Huyu alitakiwa kukaa pembeni na kuwasikiliza kujifunza kutoka kwao
How do you know!?Mbona kwenye Tume ya Warioba hukushauri akae pembeni?!!