athumanishapu
Member
- Oct 25, 2017
- 71
- 51
Habarini wana JF,
Naomba kuuliza kati ya hivi vitu vitatu, kipi kina nafasi kibwa ya kukutoa kimaisha?
(1) KUAJIRIWA
(2) KILIMO
(3) BIASHARA
Naomba kuuliza kati ya hivi vitu vitatu, kipi kina nafasi kibwa ya kukutoa kimaisha?
(1) KUAJIRIWA
(2) KILIMO
(3) BIASHARA