Kukaa Kijijini ni kufeli maisha

aBuwash

Senior Member
Dec 26, 2023
108
202
Habari wana jf napenda kutanguliza huu uzi kama ulivyoandikwa hapo juu. Najua kuna baazi ya watu hawawezi kunielewa. Ila ukweli upo hivi kukaa kijijin kwa kijana unaejitafuta kimaisha ni kufeli na nasema hivi kwasbabu nazoziona mimi.

1. KUZUNGUKWA NA WATU WASIOSAHIHI NA WENYE MITAZAMO HASI
Kijijini watu wengi hawaamin kuish ndoto zao na wanaamin kila aliyefanikiwa ni mchawi, freemason,jambazi.. na kila ukijaribu kufanya kitu tofaut na mila za hapo kijijin. Wengi hawaamin unaweza kufanikiwa watakukatisha sana tamaaa

2. KUDUMAA AKILI NA KULIZIKA MAPEMA
Kijijni ukimilki pikpik tu wanaanza kukuita boss kitu ambacho kinalufanya ujionee umefanikiwa na kulizika mapema. Pia hata mazingira hayaruhusu mtu ukue kiuchumi unakosa sehem ya kutizamia au role model tofaut na mjin

3. MZUNGUKO WA PESA NI MDOGO SANA
Kijijni ni rahis sana kuuwa pesa ukifungua biashara kutokana na mzunguko. Pesa huja mara moja tu wakat wa mavuno na kuna baazi ya biashara kama nguo baazi ya wanakijij huwa na dhana kwamba kununua nguo mpka sikukuu au safari. Na ukinunua nguo bila kuzingatia hivo vitu husema unaharibu pesa au unatumia pesa ovyo.

4. KUKOSA NDOTO ZOZOTE
Kijijini mtu akiamka asubuh anaenda shamba na akirud shamb anawaza aoge akae kijiweni apige stori bas siku imeisha. Na kubishana na vitu visivokuwa na msingi na kupiga umbea.

Kiufupi yapo mengi yanayomzuia mtu kukua na kuwa na mtazamo chanya ila kwa machache ndo hayo

NB. Ushauri wangu kama unajitafuta kimaisha usikae kijijini sana ni bora uanze na level za wilaya
ILA KUKAA VIJIJINI VIJANA WENZANGU NI KUFELI KIJIJINI HAKUNA MAENDELEO NA NDO MAANA HAKUNA AFSA BIASHARA WALA MASOKO

KIJIJINI SHUGHULI KUBWA NI KILIMO NA NDO MAANA KUNA AFSA KILIMO

Kama una maoni unaweza ukashare ila mi kwa mtazamo wangu upo hivyo
 
Nakuunga mkono 100%
Mimi kukosa Baba Angu kunichukia Basi naamin ningekuwa mwanakijij saizi , Dingi alikuwa hapatani na Mimi ikapelekea kunifukuza home kwa Nguvu za police , ilichukua muda Sana kuamini katika maisha ya kupanga , ila nilifanikiwa kuingia town nakuanza maisha ya kupanga , taratibu nikaanza kujitafuta mpaka sasa Namshukuru Mungu , kitu ambacho bado sijamiliki ukiondoa nyumba , viwanja ,mashamba , pkpk baskeli Basi NI gari Tu ndo nalitafuta soon nitaendesha ndinga na family
 
Nakuunga mkono 100%
Mimi kukosa Baba Angu kunichukia Basi naamin ningekuwa mwanakijij saizi , Dingi alikuwa hapatani na Mimi ikapelekea kunifukuza home kwa Nguvu za police , ilichukua muda Sana kuamini katika maisha ya kupanga , ila nilifanikiwa kuingia town nakuanza maisha ya kupanga , taratibu nikaanza kujitafuta mpaka sasa Namshukuru Mungu , kitu ambacho bado sijamiliki ukiondoa nyumba , viwanja ,mashamba , pkpk baskeli Basi NI gari Tu ndo nalitafuta soon nitaendesha ndinga na family
Hakika mzee kijijin hakunaga maisha
 
Nakuunga mkono 100%
Mimi kukosa Baba Angu kunichukia Basi naamin ningekuwa mwanakijij saizi , Dingi alikuwa hapatani na Mimi ikapelekea kunifukuza home kwa Nguvu za police , ilichukua muda Sana kuamini katika maisha ya kupanga , ila nilifanikiwa kuingia town nakuanza maisha ya kupanga , taratibu nikaanza kujitafuta mpaka sasa Namshukuru Mungu , kitu ambacho bado sijamiliki ukiondoa nyumba , viwanja ,mashamba , pkpk baskeli Basi NI gari Tu ndo nalitafuta soon nitaendesha ndinga na family
Barikiwa Mtumishi na Endelea kupambana
 
Ww kaa na akili zako hivyo hivyo kuna watu wanapiga hela mara hata kumi ya vihela unavyokimbizana nazo huko town.Kuna dogo aliuza tu mpunga wake kapiga m 50 ww una hata m 5 hapo
Sasa milion 50 ndio kapiga pesa hapo?

Mjini itabaki kuwa mjin tu na ndio maana ma viwanda , ma kampuni na kila aina ya huduma bora zipo town

Milion 50 mpaka auze mpunga wakati mjin mafogo wanazipiga kila leo

Na ndio maana akina manji, bakhresa na kina Mo wengi wapo mjin
 
Habari wana jf napenda kutanguliza huu uzi kama ulivyoandikwa hapo juu. Najua kuna baazi ya watu hawawezi kunielewa. Ila ukweli upo hivi kukaa kijijin kwa kijana unaejitafuta kimaisha ni kufeli na nasema hivi kwasbabu nazoziona mimi.

Cha kwanza.... KUZUNGUKWA NA WATU WASIOSAHIHI NA WENYE MITAZAMO HASI.
Kijijini watu wengi hawaamin kuish ndoto zao na wanaamin kila aliyefanikiwa ni mchawi, freemason,jambazi.. na kila ukijaribu kufanya kitu tofaut na mila za hapo kijijin. Wengi hawaamin unaweza kufanikiwa watakukatisha sana tamaaa

2.KUDUMAA AKILI NA KULIZIKA MAPEMA.
kijijni ukimilki pikpik tu wanaanza kukuita boss kitu ambacho kinalufanya ujionee umefanikiwa na kulizika mapema.
Pia hata mazingira hayaruhusu mtu ukue kiuchumi unakosa sehem ya kutizamia au role model tofaut na mjin

3.MZUNGUKO WA PESA NI MDOGO SANA
Kijjn ni rahis sana kuuwa pesa ukifungua biashara kutokana na mzunguko. Pesa huja mara moja tu wakat wa mavuno na kuna baazi ya biashara kama nguo baazi ya wanakijij huwa na dhana kwamba kununua nguo mpka sikukuu au safari. Na ukinunua nguo bila kuzingatia hivo vitu husema unaharibu pesa au unatumia pesa ovyo

5.KUKOSA NDOTO ZOZOTE
kijijin mtu akiamka asubuh anaenda shamba na akirud shamb anawaza aoge akae kijiweni apige stori bas siku imeisha. Na kubishana na vitu visivokuwa na msingi na kupiga umbea

Kiufupi yapo mengi yanayomzuia mtu kukua na kuwa na mtazamo chanya ila kwa machache ndo hayo

NB.ushauri wangu kama unajitafuta kimaisha usikae kijijini sana ni bora uanze na level za wilaya
ILA KUKAA VIJIJINI VIJANA WENZANGU NI KUFELI KIJIJINI HAKUNA MAENDELEO NA NDO MAANA HAKUNA AFSA BIASHARA WALA MASOKO
KIJIJINI SHUGHULI KUBWA NI KILIMO NA NDO MAANA KUNA AFSA KILIMO

kama una maoni unaweza ukashare ila mi kwa mtazamo wangu upo hivyo
Dont conclude in that, kila mtu panamfaa mahali anapoishi kulingana na mtazamo wake (Vision)
Kuna watu ukiwaangalia mjini wanaishi maisha ya tabu sana. Usikae mjini kama huna akili ya kimaisha.

Wapo watu wanaishi mijini wala haisaidii bali wanajitengenezea umaskini tu
 
Back
Top Bottom