MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
AAAAAA HEEEEEEEEE
AAAAAA HEEEEEEEEE
AhahahaaaKipawa ukitumia vibaya inakuwa sio kipawa tena bali laana,tafakari,Kipanya anatumia kipawa chake kueneza chuki,kumbuka hata Rwanda walioeneza chuki ni watu waliotumia vipaji vyao kama Kipanya,Kipanya akitaka siasa ajiunge tu na siasa na si kutumia kivuli cha uchoraji wa vikaragosi,nani asiyejua kuwa Kipanya ni kikaragosi cha Chadema?kumbuka pakichimbika hata hivyo vikaragosi vyake hakuna atakyekuwa na muda wa kuvisoma.Je ina maana unapotoa msaada kwa jirani wewe jamaa zako hawana shida?
Absolutely ref. kwa slowslow,bar she ru, bila kumsahau, chair T la.Huyo kipanya akipewa uteuzi tu yote hayo anaacha
Namkubali sana Athuman KingoKipanya ni akili kubwa, mchoro mmoja unatoa habari iliyokamilika.
Uzuri wa katuni kila mtu anaweza kutafsiri anavyoona, kwa hiyo huwezi kudhibitisha unachodhani mchoraji alimaanisha.
Big up Kipanya, unatumia kipaji chako kueleza ukweli
Waombe poo kwa kumpa ukuu wa Wilaya.Huyo kipanya akipewa uteuzi tu yote hayo anaacha
Na upendo wa bukoba jee!!??Magufuli amedhihirisha upendo wa kiafrika
Kipawa ukitumia vibaya inakuwa sio kipawa tena bali laana,tafakari,Kipanya anatumia kipawa chake kueneza chuki,kumbuka hata Rwanda walioeneza chuki ni watu waliotumia vipaji vyao kama Kipanya,Kipanya akitaka siasa ajiunge tu na siasa na si kutumia kivuli cha uchoraji wa vikaragosi,nani asiyejua kuwa Kipanya ni kikaragosi cha Chadema?kumbuka pakichimbika hata hivyo vikaragosi vyake hakuna atakyekuwa na muda wa kuvisoma.Je ina maana unapotoa msaada kwa jirani wewe jamaa zako hawana shida?
Mbona povu linakutoka sana Mkuu?kwani hiyo Cartoon ina shida gani-Si inaonesha upendo wa jamaa kulisha mtoto wa jirani huku akijigamba hatoi chakula kwa wanae au?Kipawa ukitumia vibaya inakuwa sio kipawa tena bali laana,tafakari,Kipanya anatumia kipawa chake kueneza chuki,kumbuka hata Rwanda walioeneza chuki ni watu waliotumia vipaji vyao kama Kipanya,Kipanya akitaka siasa ajiunge tu na siasa na si kutumia kivuli cha uchoraji wa vikaragosi,nani asiyejua kuwa Kipanya ni kikaragosi cha Chadema?kumbuka pakichimbika hata hivyo vikaragosi vyake hakuna atakyekuwa na muda wa kuvisoma.Je ina maana unapotoa msaada kwa jirani wewe jamaa zako hawana shida?