Mgawo wa umeme kufika Ikulu kesho Jumapili 18.02.2024

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,415
Yaani kama ikulu inakatiwa umeme, itakuwaje kwa wananchi?

IMG-20240217-WA0007.jpg
 
NI vizuri nao wajue tunayopitia. Tena ingekuwa wiki nzima
Wakikatiwa wao ndio unadhani watakaa Giza kama wewe?

Spika wa bunge kawapa muda Tanesco mpaka mwezi wa 6 unajuwa Kwa nini? Yeye shida ya umeme haimuathili chochote, Nyumbani ana standby genereta, ofisini lipo na kwenye gari full unyunyu Sasa ana shida gani?

Mama alivyotoka Monduli kaunganisha KIA karuka yupo Ethiopia SAA hizi, nyinyi kaeni na shida zenu umeme kateni mpaka ikulu wao wana shida gani?
 
Back
Top Bottom