Wezako wana generator za automatic ile umeme unakatika tu sikunde moja kitu kinajiseti ,umeme unawaka mpaka chooni .People with money hawategemei umeme wa TANESCO per sef
Shida hii ya kuzoeana na mbwa ona sasa anakufuata hadi msikitini.
Sijui kwa nini watu wengine wameshindwa wanarubunika kirahisi.Hao ni kitu kimoja na Raisi wao wanacheza na akili za watu tu ila Lao moja
Nasubiri siku Zanzibar ikikatiwa umemeShida hii ya kuzoeana na mbwa ona sasa anakufuata hadi msikitini.
Ahya tunaanza na WanaMUHASSO🤣
mkuu umefikiria mbali sana nakubaliana na ili tuseme kumbe hata ikulu mgao upo big up sanaHao ni kitu kimoja na Raisi wao wanacheza na akili za watu tu ila Lao moja
Wakikatiwa wao ndio unadhani watakaa Giza kama wewe?NI vizuri nao wajue tunayopitia. Tena ingekuwa wiki nzima