Jinsi ya kumlea mwanao wa kiume

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,701
9,779
USIMUACHIE MKEO AMLEE MTOTO WA KIUME;

~Jukumu ni lako kumfanya awe ngangari

25 mfundishe mwanao.

1. Mwambie marufuku kutoa machozi ukianguka na kuumia

2. Mwambie wanaume tunaoga maji ya baridi na sio vinginevyo

3. Mwambie wanaume wanaoga usiku tu baada ya kazi

4. Mwambie wanaume wanakula vitu vigumu na sio laini

5. Mwambie ugali unashuka bila mboga

6. Mwambie wanaume tunamenya na kutafuta miwa kamili

7. Mwambie wanaume hatukai jikoni na kina mama kupika

8. Mwambie wanaume hatukai na dada zetu kuota moto

9. Mwambie wanaume hatuvai kanga za tukienda kuoga

10. Mwambie wanaume hatulalii tumbo tukiwa ugenini

11. Mwambie akatae majina ya kike hata akiitwa kwa masihara

12. Mwanao akija nyumbani analia mchape mpaka anyamaze

13. Mwanao asivae mlegezo, asikune nazi wala kuchagua mboga

14. Mpe hela mwanao na usimpangie matumizi

15. Mpasue akianza kuandika text kifupi na "xaxa, jomon, oy, aje"

16. Mwambie akongee kwa koromeo sio pua

17. Mzingue akiandika "my birthday.."

18. Kama haangalii ngumi, mieleka zaidi ya tamthiliya mfanye alie

19. Mwambie mwanaume hasusi wala kudhira

20. Mwambie mwanaume hafatilii maisha ya mwanaume mwingine

21. Mwambie mwanaume hacheki mpaka jino la mwisho

22. Mwambie mwanaume hatoi ulimi nje

23. Mwambie mwanaume hakati viuno feni yeye sio demu

24. Hata kama geti kali, mwambie mwanaume anashinda kazini

25. Mwambie mwanao asitafute kupendwa na kila mtu.

Mkuze mwanao kwa misingi hiyo tuongeze wanaume kwa maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.

Ukipata nafasi ya kumwambia mwanao utamwambia nini?
 
USIMUACHIE MKEO AMLEE MTOTO WA KIUME;

~Jukumu ni lako kumfanya awe ngangari

25 mfundishe mwanao.

1. Mwambie marufuku kutoa machozi ukianguka na kuumia

2. Mwambie wanaume tunaoga maji ya baridi na sio vinginevyo

3. Mwambie wanaume wanaoga usiku tu baada ya kazi

4. Mwambie wanaume wanakula vitu vigumu na sio laini

5. Mwambie ugali unashuka bila mboga

6. Mwambie wanaume tunamenya na kutafuta miwa kamili

7. Mwambie wanaume hatukai jikoni na kina mama kupika

8. Mwambie wanaume hatukai na dada zetu kuota moto

9. Mwambie wanaume hatuvai kanga za tukienda kuoga

10. Mwambie wanaume hatulalii tumbo tukiwa ugenini

11. Mwambie akatae majina ya kike hata akiitwa kwa masihara

12. Mwanao akija nyumbani analia mchape mpaka anyamaze

13. Mwanao asivae mlegezo, asikune nazi wala kuchagua mboga

14. Mpe hela mwanao na usimpangie matumizi

15. Mpasue akianza kuandika text kifupi na "xaxa, jomon, oy, aje"

16. Mwambie akongee kwa koromeo sio pua

17. Mzingue akiandika "my birthday.."

18. Kama haangalii ngumi, mieleka zaidi ya tamthiliya mfanye alie

19. Mwambie mwanaume hasusi wala kudhira

20. Mwambie mwanaume hafatilii maisha ya mwanaume mwingine

21. Mwambie mwanaume hacheki mpaka jino la mwisho

22. Mwambie mwanaume hatoi ulimi nje

23. Mwambie mwanaume hakati viuno feni yeye sio demu

24. Hata kama geti kali, mwambie mwanaume anashinda kazini

25. Mwambie mwanao asitafute kupendwa na kila mtu.

Mkuze mwanao kwa misingi hiyo tuongeze wanaume kwa maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.

Ukipata nafasi ya kumwambia mwanao utamwambia nini?
Ukichapika haswa ndiyo mawazo haya huwa yanakujia akilini.
 
USIMUACHIE MKEO AMLEE MTOTO WA KIUME;

~Jukumu ni lako kumfanya awe ngangari

25 mfundishe mwanao.

1. Mwambie marufuku kutoa machozi ukianguka na kuumia

2. Mwambie wanaume tunaoga maji ya baridi na sio vinginevyo

3. Mwambie wanaume wanaoga usiku tu baada ya kazi

4. Mwambie wanaume wanakula vitu vigumu na sio laini

5. Mwambie ugali unashuka bila mboga

6. Mwambie wanaume tunamenya na kutafuta miwa kamili

7. Mwambie wanaume hatukai jikoni na kina mama kupika

8. Mwambie wanaume hatukai na dada zetu kuota moto

9. Mwambie wanaume hatuvai kanga za tukienda kuoga

10. Mwambie wanaume hatulalii tumbo tukiwa ugenini

11. Mwambie akatae majina ya kike hata akiitwa kwa masihara

12. Mwanao akija nyumbani analia mchape mpaka anyamaze

13. Mwanao asivae mlegezo, asikune nazi wala kuchagua mboga

14. Mpe hela mwanao na usimpangie matumizi

15. Mpasue akianza kuandika text kifupi na "xaxa, jomon, oy, aje"

16. Mwambie akongee kwa koromeo sio pua

17. Mzingue akiandika "my birthday.."

18. Kama haangalii ngumi, mieleka zaidi ya tamthiliya mfanye alie

19. Mwambie mwanaume hasusi wala kudhira

20. Mwambie mwanaume hafatilii maisha ya mwanaume mwingine

21. Mwambie mwanaume hacheki mpaka jino la mwisho

22. Mwambie mwanaume hatoi ulimi nje

23. Mwambie mwanaume hakati viuno feni yeye sio demu

24. Hata kama geti kali, mwambie mwanaume anashinda kazini

25. Mwambie mwanao asitafute kupendwa na kila mtu.

Mkuze mwanao kwa misingi hiyo tuongeze wanaume kwa maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.

Ukipata nafasi ya kumwambia mwanao utamwambia nini?
Nilimwambia Tukisafiri hakuna kula mpaka tufike mwisho wa safari
 
10. Mwambie wanaume hatulalii tumbo tukiwa ugenini
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
15. Mpasue akianza kuandika text kifupi na "xaxa, jomon, oy, aje"
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Aloooh weeeeh
 
17. Mzingue akiandika "my birthday.."
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
My barthday loading
 
18. Kama haangalii ngumi, mieleka zaidi ya tamthiliya mfanye alie
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa kama mimi mzazi ndio napenda JUA KALI JE
 
18. Kama haangalii ngumi, mieleka zaidi ya tamthiliya mfanye alie
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa kama mimi mzazi ndio napenda JUA KALI JE
Unaambiwa mfanye alie
Halafu kumbuka hapo hapo ulishamwambia mwanaume halii ata akiumia
 
Unaambiwa mfanye alie
Halafu kumbuka hapo hapo ulishamwambia mwanaume halii ata akiumia
Daaah yaaani nimecheka sana ..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapo ndio ile kauli wanaume tumeumbiwa mateso ina apply
Yaaani tunawekeana mambo magumu magumuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Daaah yaaani nimecheka sana ..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapo ndio ile kauli wanaume tumeumbiwa mateso ina apply
Yaaani tunawekeana mambo magumu magumuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mtoto anatiwa moto mpaka kichwa kinakuwa hacked..
 
USIMUACHIE MKEO AMLEE MTOTO WA KIUME;

~Jukumu ni lako kumfanya awe ngangari

25 mfundishe mwanao.

1. Mwambie marufuku kutoa machozi ukianguka na kuumia

2. Mwambie wanaume tunaoga maji ya baridi na sio vinginevyo

3. Mwambie wanaume wanaoga usiku tu baada ya kazi

4. Mwambie wanaume wanakula vitu vigumu na sio laini

5. Mwambie ugali unashuka bila mboga

6. Mwambie wanaume tunamenya na kutafuta miwa kamili

7. Mwambie wanaume hatukai jikoni na kina mama kupika

8. Mwambie wanaume hatukai na dada zetu kuota moto

9. Mwambie wanaume hatuvai kanga za tukienda kuoga

10. Mwambie wanaume hatulalii tumbo tukiwa ugenini

11. Mwambie akatae majina ya kike hata akiitwa kwa masihara

12. Mwanao akija nyumbani analia mchape mpaka anyamaze

13. Mwanao asivae mlegezo, asikune nazi wala kuchagua mboga

14. Mpe hela mwanao na usimpangie matumizi

15. Mpasue akianza kuandika text kifupi na "xaxa, jomon, oy, aje"

16. Mwambie akongee kwa koromeo sio pua

17. Mzingue akiandika "my birthday.."

18. Kama haangalii ngumi, mieleka zaidi ya tamthiliya mfanye alie

19. Mwambie mwanaume hasusi wala kudhira

20. Mwambie mwanaume hafatilii maisha ya mwanaume mwingine

21. Mwambie mwanaume hacheki mpaka jino la mwisho

22. Mwambie mwanaume hatoi ulimi nje

23. Mwambie mwanaume hakati viuno feni yeye sio demu

24. Hata kama geti kali, mwambie mwanaume anashinda kazini

25. Mwambie mwanao asitafute kupendwa na kila mtu.

Mkuze mwanao kwa misingi hiyo tuongeze wanaume kwa maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.

Ukipata nafasi ya kumwambia mwanao utamwambia nini?
Unao wangapi?
 
Back
Top Bottom