Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
At least ameongea ukweli! Manake leo na nyumba ndogo zitapelekewa nyama na mchele. Walau, manake kutolewa out ni mpaka hangover ya utakatifu ipungue, jumanneee!
Ramadhani ingekuwa mwaka mzima na selective days za kufunga, mambo yangekuwa tofauti
At least ameongea ukweli! Manake leo na nyumba ndogo zitapelekewa nyama na mchele. Walau, manake kutolewa out ni mpaka hangover ya utakatifu ipungue, jumanneee!
Ramadhani ingekuwa mwaka mzima na selective days za kufunga, mambo yangekuwa tofauti
Usimtafute ubaya kipanya kwa nia ya kumfunga mdomo,katuni hii inatulenga na kutukumbusha baadhi yetu sisi waislamu.
Kipanya endelea na kuelimisha makundi mbalimbali katika jamii hii yenye watu wanaojisahau.