Las Mas Bobos
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 991
- 326
Ukweli unauma eeh! Kama wewe huendi huko inakuhusu nini?
Asante Kipanya kwa kutukumbusha kua baadhi ya waislam
wanasubiri ramadhan iishe tu ili warudie tabia zao ambazo
haziendani na mafunzo ya kiislam. We will pray for them
allah awawezeshe kuachana na tabia hizo, insha'allah.
Hakuna alie kamilika.
Dah, afadhali wamefungua make kijiwe changu cha HOT fire kilikuwa kimesinzia sana! karibuni tena!
Shindwa!! Kati jina la "Amani na Upendo"!!!
wafitini utawajua tu, mwisho wa ubaya ni aibu.
sioni tatizo kafikisha ujumbe,waslam waendeleze yale waliokuwa wanayafanya kwenye siku za mfungo si kuyatupa kapuni....