Kiongozi wa wajane aolewa

Kiongozi wa wajane aolewa

Katiba ya chama chao inasemaje kuhusu uongozi? Kapoteza sifa au?
 
RIP mume wa mjane huyo, bibi harusi na mwenyekiti aliyekosa sifa za cheo hicho
 
Kila mwanamke anatamani ndoa sema tu wengi wao wanaangukia kwenye usingo maza
Ukiwakuta utasikia kuolewa ni utumwa.Kama kazi,fedha,nyumba,gari na biashasha(baadhi yao? ninayo.Tabu ya nini kuwa chini ya himaya ya mlevi/mnuka jasho/kwapa?

Kama ni mkuyenge akina Masasawe,Musherija,Mwita,Qwarima,Drooboy, na washenzi wengine wakijilengesha siku moja moja nampa maisha yanasonga.

Lakini mioyoni mwao ni fukuto la moyo.Wale wasio na maisha wao kutwa nzima kudanga kujaribu bahati na waosha rungu wanachapa kweli kweli na kusepa.

Tatizo linaweza kuwa;
1.Mapepe na kudanga kwingi
2.Majivuno/kiburi na selectives nyingi
3.Sura kama kipande cha lami
4.Sura nzuri kujiona matawi ya juu
5.Tamaa ya fedha na nyege nyegezi
6.Handaki/bwawa la Mtera

AGALIZO: KUNA WANAUME WENGINE NAO NI PASUA KICHWA HATA KWA KULUMANGIA HAWAFAI ASLANI,BORA MWANAMKE/MSICHANA/MAMA AKAE SINGO TU.

nk, nk, nk, nk-ongezeeni sababu zingine.

Sipotoshi na tusipotoshane.
 
Ukiwakuta utasikia kuolewa ni utumwa.Kama kazi,fedha,nyumba,gari na biashasha(baadhi yao? ninayo.Tabu ya nini kuwa chini ya himaya ya mlevi/mnuka jasho/kwapa?

Kama ni mkuyenge akina Masasawe,Musherija,Mwita,Qwarima,Drooboy, na washenzi wengine wakijilengesha siku moja moja nampa maisha yanasonga.

Lakini mioyoni mwao ni fukuto la moyo.Wale wasio na maisha wao kutwa nzima kudanga kujaribu bahati na waosha rungu wanachapa kweli kweli na kusepa.

Tatizo linaweza kuwa;
1.Mapepe na kudanga kwingi
2.Majivuno/kiburi na selectives nyingi
3.Sura kama kipande cha lami
4.Sura nzuri kujiona matawi ya juu
5.Tamaa ya fedha na nyege nyegezi
6.Handaki/bwawa la Mtera

AGALIZO: KUNA WANAUME WENGINE NAO NI PASUA KICHWA HATA KWA KULUMANGIA HAWAFAI ASLANI,BORA MWANAMKE/MSICHANA/MAMA AKAE SINGO TU.

nk, nk, nk, nk-ongezeeni sababu zingine.

Sipotoshi na tusipotoshane.
Umeolewa? Au na we ni singo maza?
 
Kweli ni wajane,ona nyuso zilivyokakamaa,utafikili dada zake na mtoto wa mkulima
 
Alikuwa aliendesha Chama kinyume Cha biblia Biblia inataka wajane vijana waolewe.Naunga mkono mjane yeyoye ambaye hajafikisha miaka sitini hastahili kuitwa mjane na hatakiwi kuwemo.
chama Cha wajane labda awe mwislamu.Wasabato hawajui biblia
Aksante YEHODAYA ila wewe ni mbishi kwa tabia. Mbona unawagusa hao wenzetu?? Kwani ukisema tu kuwa kuna wasioijua biblia utapungukiwa nini?? Mengine yote, nakuunga mkono
 
Sijaolewa,sioi wala sio singo maza.Unataka nikuoe au unioe?Jielekeze kwenye hoja kama inakidhi matakwa ya kilichosemwa ni kweli ama la!!!

You dude,think more and broadly!!!Hahahahaha!!!
Umeolewa? Au na we ni singo maza?
 
Hata km angevaa shela lkn siyo nyeupe. Tatizo watu wengi huwa wanavaa shela bila kujua kwa nn wanavaa na wavae rangi gani. Shela nyeupe huvaliwa na binti anayeolewa akiwa bikra. Huwezi kuvaa shela nyeupe ukiwa unabariki Ndoa. Ni kuondoa thamani ya wale wanaostahili....!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unazikua bikira wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom