and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,107
RIP James Dandu
RIP James Dandu
Sijui wasukuma wenzangu hawa.
(Halafu bado sijakwambia ujue.)






RIP James Dandu
Kama ni mjane?Inaelekea unamfahamu status yake, tiririka Mkuu.Kumbuka walijuana muda mrefu hao.Harusi ilikuwa fomalite tu.
Kumbee
Ila bwa harus nahisi ni Mario .....msiniulize why nimesema hivyo



Acha ujinga BasiKumbee
Ila bwa harus nahisi ni Mario .....msiniulize why nimesema hivyo
Sidhani Kama hyo ndio maana ya shela nyeupe, Kama ingekuwa kwa ajili ya mabikira basi wengi Sana wasingeruhusiwa kuvaa shelaHata km angevaa shela lkn siyo nyeupe. Tatizo watu wengi huwa wanavaa shela bila kujua kwa nn wanavaa na wavae rangi gani. Shela nyeupe huvaliwa na binti anayeolewa akiwa bikra. Huwezi kuvaa shela nyeupe ukiwa unabariki Ndoa. Ni kuondoa thamani ya wale wanaostahili....!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mwanamke anatamani ndoa sema tu wengi wao wanaangukia kwenye usingo maza
Haha Haha Mkuu umeua bendi. Tena eti alienda kukitambulisha huko kipindi fulani. Tusubiri kweli ale shavu la uongozi. Sijui naye atapiga 11 ndiyo apate wa kuzikana?Jaclkine Mengi arithi cheo
Kakudanganya nani shekhe mzigo umetinduliwa sana2 si ndo mana jamaa kahalalisha sio fala huyo baharia
Alikuwa aliendesha Chama kinyume Cha biblia Biblia inataka wajane vijana waolewe.Naunga mkono mjane yeyoye ambaye hajafikisha miaka sitini hastahili kuitwa mjane na hatakiwi kuwemo.Paulo anatuambia; Tusimwite mwanamke yeyote "Mjane" hadi afikishe miaka 60. Huyo mlimchagua kuwa m/kiti sasa chagueni mwingine haraka lakini awe zaidi ya 60
Mtu akifiwa anarudi.kuwa miss kikawaida siku ya mazishi inatakiwa hata Pete ya ndoa aliyovoshwa aitupe ndani ya jeneza na jina anatakiwa kubadili asiendelee Tena kitwa Mrs marehemu fulani .Jina la marehemu linatakiwa kuondolewa .Mfano mama Maria Nyerere alitakiwa jina la mumewe aliondoe.Ila kea kuwa Nyerere alipofariki mama Maria na zaidi ya miaka 60 Ni haki yake kuitwa mjane na kuitwa mama Nyerere sababu uwezekano wa kumpata bwana mwingine wa kumuoa haupo.Ni mimi labda kutokujua.
Lakini,
Sijaona sababu ya msingi yeye kuvaa shela tena.
Angeweza kuvaa vazi lingine zuri tu.