Nasema kwa mara nyingine.,taarifa hizi zinanipa faraja sana katika moyo wangu..!!
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinadai kuna kiongozi muandamizi wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) anategemea kujiengua katika Baraza hilo na kujiunga na Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM)
Mpaka sasa bado haijawa confirmed kama kiongozi huyo atahama peke yake ama kutakuwa na wafuasi nyuma yake.
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinadai kuna kiongozi muandamizi wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) anategemea kujiengua katika Baraza hilo na kujiunga na Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM)
Mpaka sasa bado haijawa confirmed kama kiongozi huyo atahama peke yake ama kutakuwa na wafuasi nyuma yake.
Baada ya uchaguzi itajulikana kama kwa ujio wa lowasa chadema imetetereka au la.Sio watu wote wenye roho kubwa ya kuyapokea mabadiliko.
Kama Slaa ameondoka na hatujatetereka nani huyo wa kutusumbua akili?
Mbona mbinu hizo tulishazisikia na tunazijua?? Fumueni zile kubwa kubwa zaidi ili tuweze kuwaelewa mapema. It is too late now!!
Mioyoni mwa watu kumejaa jina moja tu LOWASAaaaaaaa. Jumapili asubuhi, Karatasi ya kwanza, ni kuchukua, angalia picha ya Lowasa, weka vema, kunja vizuri, tumbukiza kwenye box la rais. Angalia UKAWA chagua mbunge wa UKAWA na diwani wa UKAWA. Usisikilize maneno ingine. Kwenda kaa mita 200, ngojea matangazo