Afande kaweesi
Member
- Sep 11, 2018
- 51
- 60
Akili za watanzania ukifikilia unabaki unawahurumia tu!!yaani unaongea bila evidence wala fact,na bado unajiona ni binadamu uliyekamilika?!!! Kinachowaweza watanzania ni ccm tu,na kinawagruza kama chapati...
almost product zote za mohamed enterprise za upande wa vyakula ni batili. hii ni kwa mujibu wa rafiki yangu anayefanya kazi kwenye kiwanda moja wapo cha Mo.
unaambiwa hata yale maji yao ni batili. kaa mbali na badhaa za vyakula vya Mo.