Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,748
- 28,142
Write your reply...
hiyo kitu ni kama vumbi la kongo tu
apa asubuhi hii napata safari bariiidi
hiyo kitu ni kama vumbi la kongo tu
apa asubuhi hii napata safari bariiidi
Nilikunywa ghafla nikaanza kujisikia vibaya mnooo ....naona giza.... mapigo ya moyo yanaenda kasi si kawaida....kwenda hosp nikaambiwa nisirudie kunywa hicho kinywaji maana huwa na tatizo la presha ya kupanda kwa hiyo ni hatari sana kwangu.Ilikuaje Redbul ipoteze uhai wako?
Hivyo vinywaji vya energy-Vyenye cafein- vina madhara sana. Ndio maana hata coke/peps siyo nzuri sana kwa afya zetuHabari waungwana, jana nilinunua kinywaji cha MO EXTRA nikanywa.. Baada ya muda fulan nikaanza kujisikia tofauti...
Maumivu kiasi upande wa moyo kisha yakapotea...
Maumivu ya abnomial hasa upande wa kulia kupanda juu hado katikati ya kiuno na ubavu wa mwisho.... Usawa wa figo
Uvivu katika kufikiri ilhali najisikia uchangamfu kiasi....
Kuna aliyewahi kujisikia hali hii baada ya kutumia hiki kinywaji?
Wajuvi wa afya mna maoni gani juu ya kilichonisibu?.. View attachment 1145914
Ingekuchukua ungekuwa ushaoza udongoni.Nina miaka 7 sinywi energy drink yoyote na hii nimeamua toka Redbul ilipotaka kunichukua uhai wangu.
Haya ma -energy drink si mazuri hata kidogo.
Amewatengenezea wajinga
Usije thubutu kunywa Redbull na hata pafu moja tu ya kahawaNilikunywa ghafla nikaanza kujisikia vibaya mnooo ....naona giza.... mapigo ya moyo yanaenda kasi si kawaida....kwenda hosp nikaambiwa nisirudie kunywa hicho kinywaji maana huwa na tatizo la presha ya kupanda kwa hiyo ni hatari sana kwangu.
Tuheshimiane ErooKinywaji cha wamasai hicho kila ukikutana nao mjini wameshika mo energy
Bora wewe umeliona hiliNaona competitor wa Mo mmeanza kuanzisha nyuzi
Acha tu MkuuIngekuchukua ungekuwa ushaoza udongoni.
Usije thubutu kunywa Redbull na hata pafu moja tu ya kahawa



Tuheshimiane Eroo
Mo energy inanyweka zaidi Tanga kwa Wagosi.
Nenda kajionee
Vipi grand malt ina caffeine nayo?Msisitizo hapo ni kuavoid vinywaji vyenye caffeine,kikawaida sio vizuri kwa afya ya watumiaji,hata kama huna tatizo la kiafya lakini jua kuwa mwisho wa siku vitakuletea shida...
Okmkuu ni vizuri ukapunguza kunywa cafeine. hizi energy drink si nzuri kiafya
Sio ajarbu kuacha kabisa ?!Jaribu ktmia energy nyngne....wengne wakinywa ya azam wanapata tonsillits
Unavyompenda Lissu unapata nini?hivi mnapokunywa hayo madudu mnapata nini ?