Kinywaji cha Mo Extra: Ni mimi tu au na wengine...?

Kinywaji cha Mo Extra: Ni mimi tu au na wengine...?

Azamu enegy drink ni nzuri kuliko mo energy kwa sababu nikinywa azamu energy najisikia vizuri tu ila mo inanipa shida sana kwenye viungo


Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
 
Bora wewe umeliona hili
sidhani kama issue ni Mo, hivi vinywaji vyote vya energy sio vizuri unaweza kupata matatizo makubwa ya afya. ila Mo naye bidhaa zake viwango anavijuwa mwenyewe hata maji ya kunywa tu chupa zake na seal ni quality mbaya labda ndio njia ya kuongeza faida sijakuwa mshabiki wa bidhaa zake.
 
Habari waungwana, jana nilinunua kinywaji cha MO EXTRA nikanywa.. Baada ya muda fulan nikaanza kujisikia tofauti...

Maumivu kiasi upande wa moyo kisha yakapotea...

Maumivu ya abnomial hasa upande wa kulia kupanda juu hado katikati ya kiuno na ubavu wa mwisho.... Usawa wa figo

Uvivu katika kufikiri ilhali najisikia uchangamfu kiasi....

Kuna aliyewahi kujisikia hali hii baada ya kutumia hiki kinywaji?

Wajuvi wa afya mna maoni gani juu ya kilichonisibu?.. View attachment 1145914
Una matatizo gani hadi unywe bidhaa hii
 
Nyie watu kahawa mnakunywa mpaka basi,unaogopaje caffeine ya kwenye energy drink?

Coca cola ina kiasi kikubwa cha caffeine kuliko redbull,ila ninawashangaa mnapozungumzia madhara ya hizo energy drink kwa kuogopa cafeine na wakati mnahalalisha soda na kahawa za vijiweni!
Huu ni umbumbumbu na matokeo ya elimu duni.

Hatari ya energy drink ni kiwango cha sukari iliyomo.Hayo mambo ya caffeine kama ni hatari,basi epuka unywaji wa soda,kahawa,cocoa,Milo,ulaji wa chocolate,na energy drink zote.
 
mnatuponda wanywa energy,wakati nyinyi ni walevi wa pombe.

ukikuta mlevi anaichanganua pepsi au energy unaweza sema"My God nakufa kesho".
Hayo ma energy yanaua ghafla tusiwe mbishi.
 
Nyie watu kahawa mnakunywa mpaka basi,unaogopaje caffeine ya kwenye energy drink?

Coca cola ina kiasi kikubwa cha caffeine kuliko redbull,ila ninawashangaa mnapozungumzia madhara ya hizo energy drink kwa kuogopa cafeine na wakati mnahalalisha soda na kahawa za vijiweni!
Huu ni umbumbumbu na matokeo ya elimu duni.

Hatari ya energy drink ni kiwango cha sukari iliyomo.Hayo mambo ya caffeine kama ni hatari,basi epuka unywaji wa soda,kahawa,cocoa,Milo,ulaji wa chocolate,na energy drink zote.
Ushawahi kuambiwa usinywe coka zaidi ya mbili kwa siku? Tafakari chukua hatua
 
Back
Top Bottom